Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Habari JF,

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
 
Kawaulize maaskofu waliotutangazia kuwa wamefiwa na mapadri zaidi ya 25 na watawa zaidi takriban 60, Je nao walikuwa kwenye mpango wa kummaliza au la

Tuna bahati wadau waliibuka kwa kasi kumpinga approach yake ya kutofanya lolote. Kitendo cha wadau hao hasa Makanisa makubwa kuwataka watu waanze kunawa tena mikono na kujilinda ilisaidia sana, Tungeendelea vilevile bora liende hali ingeweza kuwa mbaya zaidi
 
Covid kwetu ni ugonjwa wa msimu (kwaimani yangu) so kuna wave ya wiki 2 hadi 3 kwa maambukizi ya mwezi 1 hadi mwezi 1½ ikipita hiyo basi hapo kuna kuwa na vifo vingi baada hapo pana poa na wataoondoka ni wenye udhaifu mkubwa kiafya.
 
Habari Jf, nilikuwa nimepigwa benchi na mod mmoja hivi pasi na sababu zenye mashiko thanks God nimerejea imara na kasi ya 5G

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Hii inasaidia nini kubadilisha matokeo?
 
You never know,may be god has decided to exchange his life for ours,

Yeye magu fool was always saying that amejitoa maisha yake muhanga KWA ajili yetu watz maskin na wanyonge,so may be god kaamua kuiondoa corona tanzania KWA gharama ya kumchukua magu fool Ili akawaongoze malaika kama yeye mwenyew alivyokuwa akitaman,sounds good??....
 
Nyambari, Dr (PhD) alikuwa napima pale maabara Kuu ya serikali, Jiwe akamtumbua kama unakumbuka.....
naisemea hii awamu ya pili ya corona, jiwe mwenyewe kelele zilimzidi akaonesha dalili za kuikubali mpaka akaanza kujibu mashambulizi kuikataa chanjo

mlikuwa mnapata taarifa wapi
 
Back
Top Bottom