Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Mkuu kumbuka hizo waves za Spanish flu zilikuwepo 1918 -1920 kipindi cha kukaribia miaka mitatu. Hata Corona miaka hijayo inaweza kurudi tena na kuwa “wave”. Na wataalamu watatupa sababu za kuwa na wave nyingine. Mafano Spanish flu 2nd wave inasemekana ilitokana na movement za wanajeshi!
Kumbe unakubali ilikuwa ni waves siyo? Na Bongo wave ya kwanza si ilikuwa 2020 na ya pili 2021? Kwani hujui hata siku hizi kuna movements za watu tena kubwa kuliko kipindi hicho? Mbona unakubali na kukana?
 
Lilitumikaje? Mie wazazi wangu waliugua na waliponea ICU!! So tukubaliane corona ipo

Hoja hapa ni kwanini media haitangazi tena... Jibu ni kwamba walikuwa wanatangaza ili kumpa presha alichukulie hatua

Ila kuhusu corona kuwepo na kuua hilo halina ubishi unless ulikua hutembelei muhimbili February
Unabishana na nyumbu watakuelewa? Wao ni mpaka waone mtu wao wa karibu amekufa kwa corona ndiyo watakubali ipo. Tatizo ni elimu yetu. Watu wanakariri na kumaliza bila kuelimika. Halafu asilimia kubwa ya wanaobisha hapa vyombo vya habari na vitabu wanavyosoma ni Ayo TV, Uwazi na vitabu vya Shigongo and the likes. Hawa hawana uwezo wa ku-absorb vitu vilivyoandikwa na vyombo au vitabu vyenye viwango.
 
Kwani nyumbu huwa wanatafakari?
Una kiwiliwili kichwa hufahamu unekiweka wapi kichwa,yaani tuombe nguo kwa hao wapuuzi ambao wapo uchi,ndio maana kila unacho ambiwa hukichambui,si shangai kwa unacho kiamini najua sio ww,ushauziwa chai na wanao jiita wanaharakati.
 
Una kiwiliwili kichwa hufahamu unekiweka wapi kichwa,yaani tuombe nguo kwa hao wapuuzi ambao wapo uchi,ndio maana kila unacho ambiwa hukichambui,si shangai kwa unacho kiamini najua sio ww,ushauziwa chai na wanao jiita wanaharakati.
Nimeulizaje? Nyumbu huwa ana uwezo wa kutafakari?
 
Duu mtazamo huu ni very negative into combating this COVID 19. Nakumbuka Rais aliwaeleza viongozi wa dini waase waumini wao juu ya kujikinga na COVID 19 jana tu. Sasa mtoa mada anukuja ha hoja yake kuwa imeisha au imepungua kabisa, waliokuwa wanazungumzia COVID 19 ni kumkwamisha Mwendazake. Hii sii sahihi. Tunatakiwa tupime na kutoa takwimu zinazoeleweka badala ya kuficha ugonjwa.
 
Kuna thread ukizisoma unagundua mtoa/muandika threa alikaa mahali peke yake

kichwa kikawaza kikawazua kikaumia kweli kweli na hii ndio maana halisi ya mtu kuwa GT.
 
Duu mtazamo huu ni very negative into combating this COVID 19. Nakumbuka Rais aliwaeleza viongozi wa dini waase waumini wao juu ya kujikinga na COVID 19 jana tu. Sasa mtoa mada anukuja ha hoja yake kuwa imeisha au imepungua kabisa, waliokuwa wanazungumzia COVID 19 ni kumkwamisha Mwendazake. Hii sii sahihi. Tunatakiwa tupime na kutoa takwimu zinazoeleweka badala ya kuficha ugonjwa.
wewe hujaelewa kitu
tuambie kwanini tanzia zimekwisha baada ya jpm kufariki
 
You never know,may be god has decided to exchange his life for ours,

Yeye magu fool was always saying that amejitoa maisha yake muhanga KWA ajili yetu watz maskin na wanyonge,so may be god kaamua kuiondoa corona tanzania KWA gharama ya kumchukua magu fool Ili akawaongoze malaika kama yeye mwenyew alivyokuwa akitaman,sounds good??....
Mr zungu siyo magu fool !!
no! just say magufuli means padlocks.
 
Back
Top Bottom