Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Swali lako halieleweki, labda hukuunganisha mtililiko wa mjadalaToka Magufuli hatutoke ni muda sasa! Mjane mpaka sasa hivi anatibiwa bado unadai ni Covid aliyoambukizwa na Magufuli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lako halieleweki, labda hukuunganisha mtililiko wa mjadalaToka Magufuli hatutoke ni muda sasa! Mjane mpaka sasa hivi anatibiwa bado unadai ni Covid aliyoambukizwa na Magufuli?
I am a victim of covid, anayesema ujinga kuwa hakuna asubiri tu maana hata young age inaanza kuwa infected with hospitalisation with severe formLilitumikaje? Mie wazazi wangu waliugua na waliponea ICU!! So tukubaliane corona ipo
Hoja hapa ni kwanini media haitangazi tena... Jibu ni kwamba walikuwa wanatangaza ili kumpa presha alichukulie hatua
Ila kuhusu corona kuwepo na kuua hilo halina ubishi unless ulikua hutembelei muhimbili February
wacha kusoma habari za kutunga hizo ambazo hazina hata picha ya kuzisapoti. Je yeye alipitia uwanja gani kwenda na kurudi kutoka nairobi akiwa kwenye kife support, uwanja wa Dar es Salaama au uwanja wa Chato? Yaani na wewe unakubali apitishwe Dar es salaama airport akiwa kwenye life support watu wasijue? Hao Daily Nation walikuwa wanarudia habari za kutunga zilizokuwa zinatolewa za Lissu tu.SOMA POST #1
Last moments of the ‘Bulldozer’ John Pombe Magufuli
Tanzanian President John Magufuli was discharged from Nairobi Hospital while on life support and flown to Dar es Salaam late last week after doctors concluded that he could not be resuscitated, the Nation has established. The President, who was flown to Kenya secretly on March 8 after suffering...www.jamiiforums.com
Njia moja ni suala la kutangulia tu, unahisi utaandika upuuzi wako hapa jf milele.
Chai hizi!!!! yaani Tanzania iombe nguo kwa mtu aliye uchi.Hakufia Kenya. Alirudishwa akiwa kwenye coma baada ya madokta wa Kenya kusema hakuna cha kufanya zaidi kumuokoa.
Lilitumikaje? Mie wazazi wangu waliugua na waliponea ICU!! So tukubaliane corona ipo
Hoja hapa ni kwanini media haitangazi tena... Jibu ni kwamba walikuwa wanatangaza ili kumpa presha alichukulie hatua
Ila kuhusu corona kuwepo na kuua hilo halina ubishi unless ulikua hutembelei muhimbili February
I am a victim of covid, anayesema ujinga kuwa hakuna asubiri tu maana hata young age inaanza kuwa infected with hospitalisation with severe form
Chai yaani Tanzania iombe nguo kwa mtu aliye uchi.
Kwani ''classmate'' wako anasemaje? Si tulikubaliana alikua kwenye maombi ya mfungo!!wacha kusoma habari za kutunga hizo ambazo hazina hata picha ya kuzisapoti. Je yeye alipitia uwanja gani kwenda na kurudi kutoka nairobi akiwa kwenye kife support, uwanja wa Dar es Salaama au uwanja wa Chato? Yaani na wewe unakubali apitishwe Dar es salaama airport akiwa kwenye life support watu wasijue? Hao Daily Nation walikuwa wanarudia habari za kutunga zilizokuwa zinatolewa za Lissu tu.
Kaunda kamati si utulie majibu ya kamati ndio maamuzi yatachukuliwa.mama amechukua hatua gani mwezi sasa!!!!
unajua tatizo letu ni unafiki,kuliko tatizo lenyewe.
mapadre bado wanakufa kufa,na hatusikii matamko.
ujinga ujinga tu.
Na jana hukumsikia mwanae akisema mama yao anaumwa alipata mshtuko wa msiba wa mmewe kwa hiyo wewe unaamini hivyo? ndio anarecover from COVID 19 ule ugonjwa unatoka taratibu sanaKuna watu wa karibu kuliko mke wake?
Pole sana kwa wazazi. Mungu azidi kuwatunza wanaongea hawajui watu walipitia hali gani. Ila Mungu ni Mungu tuuKaunda kamati si utulie majibu ya kamati ndio maamuzi yatachukuliwa.
Yule mwingine alitoa maelekezo yake bila kuwa na taarifa sahihi... Anasimama jukwaani anadai Corona hamna ilihali wazazi wangu almanusura iwaondoe na uzee wao ule!!
Kubalini tu JPM alifeli kwenye kuhandle Covid tumekua kituko dunia nzima.... Pitia Reddit kule uone kejeli tumetetea sana mpaka tumezidiwa!!
Na ndio anarecover now jana hukumsikia kijana wake akisema mama yao mgonjwa?Covid ni ugonjwa wa kuambukizana kwa hewa. Wataalamu wanasema kuwa mgonjwa akiwa na wewe kwa karibu zaidi ya futi sita bila kinga basi utaambukizwa. Mke wake alikuwa karibu naye chini ya hizo futi sita kwa muda mrefu sana bila kinga yoyote hivyo na yeye angeambukizwa!
You never know,may be god has decided to exchange his life for ours,
Yeye magu fool was always saying that amejitoa maisha yake muhanga KWA ajili yetu watz maskin na wanyonge,so may be god kaamua kuiondoa corona tanzania KWA gharama ya kumchukua magu fool Ili akawaongoze malaika kama yeye mwenyew alivyokuwa akitaman,sounds good??....
Uwanja wa Dar unaujua? Kwa taarifa yako kuna sehemu ya jeshi, Airwing, na kiongozi anaweza kupitia kule na isijulikane kabisa. BTW hizi habari za Daily Nation zime-support nilichoambiwa na mtu wa uhakika kabisa. Siko hapa kukuaminisha ninachosema ila niko hapa kusema ukweli. Kama wewe unaona ni habari za kutunga una uhuru wa kuamini hivyo. BTW siyo wewe uliyesema haumwi bali amefunga kipindi cha Kwaresma?? 😎 🤣. Ok, yaishe na baki na ''ukweli wako.wacha kusoma habari za kutunga hizo ambazo hazina hata picha ya kuzisapoti. Je yeye alipitia uwanja gani kwenda na kurudi kutoka nairobi akiwa kwenye kife support, uwanja wa Dar es Salaama au uwanja wa Chato? Yaani na wewe unakubali apitishwe Dar es salaama airport akiwa kwenye life support watu wasijue? Hao Daily Nation walikuwa wanarudia habari za kutunga zilizokuwa zinatolewa za Lissu tu.
Kwani nyumbu huwa wanatafakari?Chai hizi!!!! yaani Tanzania iombe nguo kwa mtu aliye uchi.