mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Hebu jaribu kutumia hata uwezo wa 0.0007%ya ubongo wako, ulionao kwani najua %nyingine haipo, kwani kipindi kile akiwa hai , hali hii haikutokea?huko ulaya/marekani muda wote vifo vinakuwa vile vile, unaposikia wimbi la kwanza, la pili , la tatu la covid19, unaelewa nini??ngoja uone Mama anakoelekea kwenye mbinu za kisayansi tu, siku hizi hata wale waganga wa kienyeji huwasikii tena, yaani waliifanya TBC, kama ndio kilinge chao, wataalam wa afya wakawa hawajulikani!!daaa ila kama taifa tulikokuwa tunaelekea, ...MUNGU FUNDI
kwahiyo watu hawafi wanasubiri mama alekee kwenye sayansi[emoji16][emoji16][emoji16].
nyie watu hata nguruwe wanawazidi utashi.