Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Hebu jaribu kutumia hata uwezo wa 0.0007%ya ubongo wako, ulionao kwani najua %nyingine haipo, kwani kipindi kile akiwa hai , hali hii haikutokea?huko ulaya/marekani muda wote vifo vinakuwa vile vile, unaposikia wimbi la kwanza, la pili , la tatu la covid19, unaelewa nini??ngoja uone Mama anakoelekea kwenye mbinu za kisayansi tu, siku hizi hata wale waganga wa kienyeji huwasikii tena, yaani waliifanya TBC, kama ndio kilinge chao, wataalam wa afya wakawa hawajulikani!!daaa ila kama taifa tulikokuwa tunaelekea, ...MUNGU FUNDI

kwahiyo watu hawafi wanasubiri mama alekee kwenye sayansi[emoji16][emoji16][emoji16].

nyie watu hata nguruwe wanawazidi utashi.
 
Kwa bandiko lako hili unamtuhumu mwendazake zake kuwa ana mkono na vifo vilivyokuwa vinatokea wakati wa uhai wake. Shauri yako, hizi ni tuhuma nzito sana
usinilishe maneno mkuu

nimemtuhumu wapi?
thibitisha
 
Duniani akuna ugonjwa unao itwa covid 19 corona aipo Bali ni propaganda za awa wanao jifanya mapingwa wa duniani iyi

Mimi na ishi canada
Mwaka 2020 nili taka kusafiri nika ambiwa akuna kusafiri bila test ya covid
Nika ambiwa ni ende kupimwa nika enda kufanya test
Nika ambiwa niko positive
Nika ambiwa baada ya siku kazaa uta anza kusikia dalili nenda ukae ndani siku 14 cha ajabu nili kaa umo siku 14 bila kusikia dalili yeyote ya covid 19 nika baki na jiuliza maswali mengi ivi iyi ndo covid au bado ina kuja
Nika rudi hospitalini kufanyiwa test ya pili waka ni ambia covid yako ime isha
Nika jiuliza ivi ni ugonjwa gani ambao una malizika duniani bila mtu kutumia Dawa

Maswali yote niliyo jiuliza siku pata majibu nika ona potelea mbali

Nika safiri
Nika rudi kutoka safarini nika taka kuanza kazi
Mimi na wadogo zangu tuka enda kupimwa mimi na mdogo wangu wa pili tuka ambiwa tuna corona
Eti tukae ndani 14 waka tujaza hofu pale tuka kaa cha ajabu tena ndani ya izo siku 14 tuli kaa ndani atukuona dalili yeyote juu ya corona
Tuka rudi kupimwa mara ya pili mimi nika ambiwa nime pona mdogo wangu yeye bado ana corona ahija Malizika
Ili kaa ndani siku 14 bila chochote aka rudi waka mwambia amepona

Sasa maswali yangu juu ya corona

Uwaga na jiuliza sipatagi majibu

Nikaja kukumbuka tena
2017 kipindi ambacho tuli fika canada sisi vijana wote ambao tuli kuwa zaidi ya miaka 18 tuli ambiwa tuna ugonjwa wa hepatite B wote ambao tuli kuja nao
Mimi nili anza kusikia ugonjwa uo kwa rafiki yangu ali kuwa mnyonge saana aka ni ambia rafiki yangu mimi nataka kuwa acha duniani ndugu nina ugonjwa makali saana aka ni ambia hepatite B mimi nili kuwa si ujuwi nika mpa pole siku nyingine nika itwa mimi
Nika enda kupimwa nika nika ambiwa nina ugonjwa uho uo
Mimi nili lia saana mpaka nili tunga wimbo eti nikifa
Rafiki yangu wa tatu naye ali pimwa ivo ivo apo ndipo nika anza kujiuliza maswali juu ya uo ugonjwa siku rizika na majibu yao nili amuwa kurudi hospital kuliza juu ya ugonjwa uhu cha Ajabu waka ni ambia ugonjwa uhu upo saana barani afrika zaidi saana Tanzania
Nika uliza dalili zake nika ona sija wai sikia dalili izo

Nika uliza marafiki zangu juu ya dalili kama wamesha wai kusikia waka sema apana
Ivo wali kuwa wamesha pewa apwenti menti ya kwenda kuonana na docter bingwa wa magonjwa aya
Marafiki zangu waka kubali mimi nika pinga sito enda
Waka ni ambia una kataa kwenda kuonana na docta ukweli wata kufungia kwenda kupimwa au kwenda hospitalini nika kataa nika amini kitu ambacho wana ita bora kufia ukweli kuliko kusimamia uongo

Ndo nataka kusema wasio juwa wanzungu ndo awa ambao wali kuwa wana mpinga magufuli ata iyi covid akuna apa
mkuu kuna watu wanapiga propaganda tu
Tanzania tunaishi salama zaidi tunatishwa tu
 
Habari JF,

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Wewe acha tu,Magufuli wamemuua kabisa,ila Mungu ni mwema
 
Kawaulize maaskofu waliotutangazia kuwa wamefiwa na mapadri zaidi ya 25 na watawa zaidi takriban 60, Je nao walikuwa kwenye mpango wa kummaliza au la

Tuna bahati wadau waliibuka kwa kasi kumpinga approach yake ya kutofanya lolote. Kitendo cha wadau hao hasa Makanisa makubwa kuwataka watu waanze kunawa tena mikono na kujilinda ilisaidia sana, Tungeendelea vilevile bora liende hali ingeweza kuwa mbaya zaidi
Siku nilipoona Kikwete kavaa Barakoa na wale mapadri,Magu mwenyewe alitepeta sana,Mungu ailinde familia ya Magu
 
Habari JF,

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Hatuna haja ya kupiga kelele,Raisi aliyepo anakubali Covid ipo,na watu wachukue hatua,hakuna ushenzi ule wa kuwalazimisha watu wavue Barakoa,Wala hakuna dhihaka dhidi yao,na Raisi ameahidi kuunda tume kucheki madhara ya Covid,hatuna haja ya kupiga kelele Tena.
Sasa hv tupo huru kusema mgonjwa kafa kwa corona.
Jiwe hakutaka tuseme kitu,ukisema kuna covid,unaambiwa mchochezi.
 
Habari JF,

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Hakuna jambo jipya humu duniani yote unayoyaona sasa yalikwisha tokea huko zamani, Kama sayansi biblia inabainisha. Kusudi la tukio likisha pita linalofuata kusudi jingine jipya lililo pangwa. Utaelewa kidogo kidogo baadaye
 
Siku nilipoona Kikwete kavaa Barakoa na wale mapadri,Magu mwenyewe alitepeta sana,Mungu ailinde familia ya Magu
Ule mwezi wa pili huenda ulimpa Magufuli stress sana maana alishuhudia watu wakikataa style yake ya uongozi wa nchi waziwazi. Wakatoliki walimgomea waziwazi, nahisi pale ndipo alipojua kuwa uraisi wake una mipaka
 
A third wave is coming Next Year,miezi ya January kuelekea March.
Its gonna strike again.
 
Tanzia zimepotea sana saizi humu jukwaani.......nadhani vifo viliisha baada ya jeipiemu kuondoka......anywei nchi hii ngumu sana

Sababu kubwa ni wale ambao hawakujikinga kipindi cha mwendazake walianza kujikinga aliopoondoka. Wengi waliamini korona ipo lakini wasingeweza kujikinga kwa sababu walipenda kuonekana hawampingi mwendazake.

Vifo bado vipo sana na mama yangu ni mmoja waliokufa hata baada ya mwendazake kuiacha dunia hii. Korona ipo, tujilinde!!
 
Mleta mada, umeshasikia kiongozi yeyote akisema “Tanzania hakuna korona” toka JPM aiache dunia hii?? Umesikia tena habari za nyungu japo wapigadebe wa nyungu bado wangali na sisi katika uongozi??

Sababu ni hii - watanzania wengi wamekubali korona ipo na wanajaribu kukabiliana nayo. Waliopiga kelele kipindi cha mwendazake walitaka tukiri ipo na hata SSH na Mwinyi wameshakiri ipo na twende pamoja na dunia!!

Kilichokuwa kikitafutwa kimeshapatikana - kukiri tuna tatizo. Tusubiri Taskforce ya SSH ituleteee ushauri wa kitaalamu.
 
Hata misururu ya malori tukiambiwa yamebeba maiti kwenda kuzika na kupigwa picha yamejipanga eti yote hayo yamebeba miili kuelekea mikoa fulani kwa changamoto ya upumuaji hakuna, Tz tunataka kucopy siasa mbaya sana.
 
Back
Top Bottom