Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
- Thread starter
- #81
ninyi mlikuwa mnapata report kutoka hospitali ipi?Nenda hospital kapate ripoti.muhimu chukua tahadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ninyi mlikuwa mnapata report kutoka hospitali ipi?Nenda hospital kapate ripoti.muhimu chukua tahadhari
Inawezekana aliambukizwa lakini hakuugua. Hii hutokea sana. Najua jamaa watatu ambao walifariki kwa corona na wake zao hawakuugua hata mafua ya kusingizia. Hili siyo jambo geni hata kidogo. Ndiyo moja ya maajabu ya huu ugonjwa. Jingine: nyumba za watu ni usku wa giza. Unaweza kukuta mke na mume wanaishi nyumba moja lakini hawako karibu hata kidogo. Haya kulala wanalala sehemu tofauti. Lakini huu mfano wa wanaume waliofariki kwa covid na wake zao wakabaki salama bila kuonyesha dalili zozote upo sehemu nyingi tu.Covid ni ugonjwa wa kuambukizana kwa hewa. Wataalamu wanasema kuwa mgonjwa akiwa na wewe kwa karibu zaidi ya futi sita bila kinga basi utaambukizwa. Mke wake alikuwa karibu naye chini ya hizo futi sita kwa muda mrefu sana bila kinga yoyote hivyo na yeye angeambukizwa!
Alifariki tarehe 12.03 nasiyo 17 kama ilivyotangazwa. Jaribu kupeleleza tu kama una watu unawajua wa ngazi za juu serikalini. Haya niliambiwa na mtu wa uhakika kabisa. Hata gazeti la Daily Nation la Kenya lilielezea vizuri tu.Kumbe unajua kuwa alirudishwa kwenye koma - yaani akiwa hajitambui - na hivyo hayo mambo yaliyotokea pale mzena baina ya familia yake na viongozi wa dini hayakutokea! Je unaweza kutusaidia kujua alipelekwa Kenya tarehe ngapi, na kurudishwa tarehe ngapi kusudi tuunganishea timeline ya kuugua hadi kifo chake.
Waliokufa tuliwaona, au wewe hujui?vile vifo mlivyokuwa mnaripoti kuwa vimetokana na corona mlikuwa mnatumia kipimo gani?
SOMA POST #1Kumbe unajua kuwa alirudishwa kwenye koma - yaani akiwa hajitambui - na hivyo hayo mambo yaliyotokea pale mzena baina ya familia yake na viongozi wa dini hayakutokea! Je unaweza kutusaidia kujua alipelekwa Kenya tarehe ngapi, na kurudishwa tarehe ngapi kusudi tuunganishea timeline ya kuugua hadi kifo chake.
wewe wacha kudanganywa kama toddlersAlifariki tarehe 12.03 nasiyo 17 kama ilivyotangazwa. Jaribu kupeleleza tu kama una watu unawajua wa ngazi za juu serikalini. Haya niliambiwa na mtu wa uhakika kabisa. Hata gazeti la Daily Nation la Kenya lilielezea vizuri tu.
Ni kama hujuma ilikuwaUkiwaza sana uma point hapo. Why hali iko swari tu, na pia why walitangulia wale wa karibu yake hivyo.
Anyways time will tell.
Punguza chuki bobWe naww vip??
Sasa ukitaka apone Ili iweje??
Let's celebrate at least he is gone now
Naona ulifurahii adui wenu kufa
ndio anaeza kuwa aliambukizwa akapona, au kwani kila anayeambukizwa anapona?Covid ni ugonjwa wa kuambukizana kwa hewa. Wataalamu wanasema kuwa mgonjwa akiwa na wewe kwa karibu zaidi ya futi sita bila kinga basi utaambukizwa. Mke wake alikuwa karibu naye chini ya hizo futi sita kwa muda mrefu sana bila kinga yoyote hivyo na yeye angeambukizwa!
Bifo ze dethi ofu Magu ,Tanzia zote zililetwa humuVifo vipo ila havitangazwi
mwanaume huyu hapa, wewe sawa na Juma Lokole warumi akusaidieMaadui zake wakubwa ni hawa hapa:
View attachment 1755549
Na wewe umo humo.
Mlifanya nini hata kumuasa tu? Mliomletea majani ya nyungu ndiyo wavaa barakoa.
Haiyumkiniki mna furaha sana.