G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Siyo moyo mkuu, alikufa kifo cha kawaida cha uzeewewe unaota!
rais wetu aliondoka kwa maradhi ya moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo moyo mkuu, alikufa kifo cha kawaida cha uzeewewe unaota!
rais wetu aliondoka kwa maradhi ya moyo
kwani jiwe mwenyewe anasemaje
Kumbe unajua kuwa alirudishwa kwenye koma - yaani akiwa hajitambui - na hivyo hayo mambo yaliyotokea pale mzena baina ya familia yake na viongozi wa dini hayakutokea! Je unaweza kutusaidia kujua alipelekwa Kenya tarehe ngapi, na kurudishwa tarehe ngapi kusudi tuunganishea timeline ya kuugua hadi kifo chake.Hakufia Kenya. Alirudishwa akiwa kwenye coma baada ya madokta wa Kenya kusema hakuna cha kufanya zaidi kumuokoa.
Umetumia kipimo gani kuwa hakuna vifo vitokanavyo na covid?Habari Jf, nilikuwa nimepigwa benchi na mod mmoja hivi pasi na sababu zenye mashiko thanks God nimerejea imara na kasi ya 5G
Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote
Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo
Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata
Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena
nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?
Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Ajieleze mzushi brazaj maana alishadidia ajabu
Apime na mashine gani wakati jiwe alituambia kuwa mashine zile ni feki hadi akamfukuza yule mama mkurugenzi wa maabara?Unajuaje kuwa hakuna corona, umepima wangapi?
Corona imejaaaBavicha njooni mtupe majawabu!
Mbona unamchongea mkuu!!!!Naimani inabidi upigwe tena ban
Hawa watu wanao shindana na maelezo ya wataalam ndiyo wanataka kuliingiza taifa kwenye janga zaidi.Kawaulize maaskofu waliotutangazia kuwa wamefiwa na mapadri zaidi ya 25 na watawa zaidi takriban 60, Je nao walikuwa kwenye mpango wa kummaliza au la
Tuna bahati wadau waliibuka kwa kasi kumpinga approach yake ya kutofanya lolote. Kitendo cha wadau hao hasa Makanisa makubwa kuwataka watu waanze kunawa tena mikono na kujilinda ilisaidia sana, Tungeendelea vilevile bora liende hali ingeweza kuwa mbaya zaidi
Kwani waliokufa si unawajua hadi sasa mmebakia wajane kisa coronahapo awali mlijuaje kama kuna corona?
mlikuwa mnapima watu wangapi kwa sikubna katika maabara ipi?
Afadhali wakutandike tena ban ya maishaHakuna corona
Yeye mungu wake yupo chatouKwa mtazamo wako huo Mshukuru Mungu hujawa mmoja wa walioathiriwa na hiyo kitu.Ila isifike tu mahali hata uka mkosea Mungu.
kwasababu serikal walichukua vipimo. until walipoacha kuchukuahapo awali mlijuaje kama kuna corona?
mlikuwa mnapima watu wangapi kwa sikubna katika maabara ipi?
Unajuaje kuwa hakuna corona, umepima wangapi
Naona ulifurahii adui wenu kufaTunasubiria taarifa ya tume ya wataalamu wabobezi ya mama Samia.
Hii ndiyo njia sahihi itakayo tuvusha. Makelele ya nini?
Laiti, nwendazake angetusikiliza si ajabu gonjwa hili wala lisingemsambaratisha.
vile vifo mlivyokuwa mnaripoti kuwa vimetokana na corona mlikuwa mnatumia kipimo gani?Umetumia kipimo gani kuwa hakuna vifo vitokanavyo na covid?