Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Habari Jf, nilikuwa nimepigwa benchi na mod mmoja hivi pasi na sababu zenye mashiko thanks God nimerejea imara na kasi ya 5G

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Hebu jaribu kutumia hata uwezo wa 0.0007%ya ubongo wako, ulionao kwani najua %nyingine haipo, kwani kipindi kile akiwa hai , hali hii haikutokea?huko ulaya/marekani muda wote vifo vinakuwa vile vile, unaposikia wimbi la kwanza, la pili , la tatu la covid19, unaelewa nini??ngoja uone Mama anakoelekea kwenye mbinu za kisayansi tu, siku hizi hata wale waganga wa kienyeji huwasikii tena, yaani waliifanya TBC, kama ndio kilinge chao, wataalam wa afya wakawa hawajulikani!!daaa ila kama taifa tulikokuwa tunaelekea, ...MUNGU FUNDI
 
Habari Jf, nilikuwa nimepigwa benchi na mod mmoja hivi pasi na sababu zenye mashiko thanks God nimerejea imara na kasi ya 5G

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Walikuwa wanatangaza ili kupata attention ya Rais alishughulikie vyema ila kwa kuwa mama samia kashaonyesha kulipa kipaumbele hakuna haja ya kupile taarifa wakati tayari ameapa kufanyia kazi.

Hiyo ndio nguvu ya media inaweza swing ajenda ili kuiweka kwenye limelight
 
Habari Jf, nilikuwa nimepigwa benchi na mod mmoja hivi pasi na sababu zenye mashiko thanks God nimerejea imara na kasi ya 5G

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Yeye mwenyewe ndio alikuwa kovidi

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Hebu jaribu kutumia hata uwezo wa 0.0007%ya ubongo wako, ulionao kwani najua %nyingine haipo, kwani kipindi kile akiwa hai , hali hii haikutokea?huko ulaya/marekani muda wote vifo vinakuwa vile vile, unaposikia wimbi la kwanza, la pili , la tatu la covid19, unaelewa nini??ngoja uone Mama anakoelekea kwenye mbinu za kisayansi tu, siku hizi hata wale waganga wa kienyeji huwasikii tena, yaani waliifanya TBC, kama ndio kilinge chao, wataalam wa afya wakawa hawajulikani!!daaa ila kama taifa tulikokuwa tunaelekea, ...MUNGU FUNDI
wewe unaetumia 110% ya ubongo

tuambie kwanini baada ya kifo cha magufuli zile taarifa za vifo hazisikiki tena?
 
Mtu alikua na matatizo makubwa tu ajabu nae anajiweka mbele ya watu waliokua wazima kiafya na kuhamasisha wasivae barakoa..

Ni mtu huyu huyu ambaye nchi ilipoteza pesa kumgharamia asome Sayansi halafu bado leo hii anakuja kuikana sayansi kwa nadharia za ajabu ajabu...

Kuna nyakati nasema pale serikali ilipoteza pesa kumsomesha sayansi bora angeeenda kusoma kupiga marimba Pale UDSM au wangempeleka Kaole
 
Walikuwa wanatangaza ili kupata attention ya Rais alishughulikie vyema ila kwa kuwa mama samia kashaonyesha kulipa kipaumbele hakuna haja ya kupile taarifa wakati tayari ameapa kufanyia kazi.

Hiyo ndio nguvu ya media inaweza swing ajenda ili kuiweka kwenye limelight
kutangaza kuipa kipaumbele ndio kinga dhidi ya corona?
 
Uzi wangu wa tar 18 Machi 2020 ulijibu swali lako kwa uzuri zaidi.
Sema tu jf is not independent forum.
Kwa ufupi Mungu aliniambia kuwa COVID aliiruhusu nchini kama kisasi na mara baada ya kifo cha Magufuli COVID is no more in Tanzania.
 
Back
Top Bottom