fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,758
- 2,713
Ukiamua kufikiria kwa kuondoa mihemko mnachokisema humu kama kina sound vile.Tanzia zimepotea sana saizi humu jukwaani.......nadhani vifo viliisha baada ya jeipiemu kuondoka......anywei nchi hii ngumu sana
Yani vile vifo vimepotea ghafla.