Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

Habari JF,

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
Umefanya utafiti/uchunguzi na kuwa na data za kusibitisha hilo. Task Force/Kamati kuhusiana na Corona imeshaundwa kulingana na maeleze ya Rais tusubiri tuone.......
 
Covid inaenda kwa kitu kinachoitwa ''waves'' au tuseme awamu. Maambukizo yanakuwa makubwa kwa muda fulani au wataalam wanasema peak period, watu anakufa kwa wingi, halafu inapoa. Baada ya muda inarudi tena tena ''wave'' nyingine. Unakumbuka ilipoingia mwaka jana Tanzania kwenye miezi ya 4, 5 na 6 kulikuwa na vifo vingi baadae ikapungua kiasi ambacho Magufuli alisema imenalizwa na maombi? Na mwaka jana mwishoni vifo vikaanza kidogo kidogo na ilipofika January, February na March vifo vikawa vingi mpaka ikamwondoa rais wetu? Basi kuna uwezekano inaweza kurudi tena!
Mimi nina vyojua hizo waves zinakuwepo kutokana na matukio fulani fulani. Mfano mabadiliko ya hatua zilizochukuliwa za kupambana na covid kama lockdown. Unakuta serikali imepunguza masharti ya lockdown ndio inasababisha wave au wanafunzi kurudi mashuleni au festival kama xmas.
Sasa hapa kwetu hakuna hatua zozote zilichukuliwa ni nini kilisababisha hizo waves?
 
Mtu alikua na matatizo makubwa tu ajabu nae anajiweka mbele ya watu waliokua wazima kiafya na kuhamasisha wasivae barakoa..

Ni mtu huyu huyu ambaye nchi ilipoteza pesa kumgharamia asome Sayansi halafu bado leo hii anakuja kuikana sayansi kwa nadharia za ajabu ajabu...

Kuna nyakati nasema pale serikali ilipoteza pesa kumsomesha sayansi bora angeeenda kusoma kupiga marimba Pale UDSM au wangempeleka Kaole
Acha Mihemko, ww hiyo shahada yako imekusaidia nn mpaka sasa
 
Covid ni ugonjwa wa kuambukizana kwa hewa. Wataalamu wanasema kuwa mgonjwa akiwa na wewe kwa karibu zaidi ya futi sita bila kinga basi utaambukizwa. Mke wake alikuwa karibu naye chini ya hizo futi sita kwa muda mrefu sana bila kinga yoyote hivyo na yeye angeambukizwa!
Toka Magufuli hatutoke ni muda sasa! Mjane mpaka sasa hivi anatibiwa bado unadai ni Covid aliyoambukizwa na Magufuli?
 
Habari JF,

Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote

Tanzia nyingi ziliripotiwa kila uchwao, hali hii ilianza kumshake hayati lakini kwa ushujaa wake alisimama imara, akapinga wazi uwepo wa hali mbaya ya uwepo wa athari za corona japo alikiri kuwa ipo

Tangu hayati magufuli kufariki mwezi mmoja sasa hakuna kelele tena za tanzia wala tishio dhidi ya ugonjwa huu, wanaharakati wa mitandaoni nao kimya, wapinzani waliojifanya kuwapenda watanzania kupita kiasi nao ni vivyohivyo wameufyata

Je, kelele zile kwa mheshimiwa hayati magufuli kuhusu corona zilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha rais wetu dhidi ya covid 19?
Nini kimebadilisha hali ile ilhali nchi haijachukua hatua yoyote na zile taarifa za tanzia hakuna tena

nini kimebarika sasa hatusikii kujaa kwa wagonjwa wa covid 19 hospitalini?

Nini kimebadilika sasa Dodoma haisikiki tena kwamba ndio ilikuwa na maambuzi zaidi ya corona?
 

Attachments

  • VID-20210418-WA0055.mp4
    5.9 MB
Hvi kuna suala linaweza kufanyiwa kazi na serikali bila kelele za media? Hvi suala la bando bila kelele za media wangebadili maamuzi?

So hata hivyo vifo bado vipo juzi tu hapa Mwandosya katangaza kupona Covid ila the thing is vilikua vinatangazwa ili kumpa pressure JPM afanye mabadiliko ya approach yake.

So SSH ameonyesha seriousness sasa watangaze vifo ili wapate nini wakati walichotaka kimepatikana tayari (Serious approach).
Wewe mpaka sasa hivi pamoja na kuandikwa sana bado haujapa elimu ya kutosha ya magonjwa kama Covid. Haya magonjwa hakuna button ya “pause” ya kukusubiri!! Hili gonjwa wakati wa Magufuli lilitumiwa kisiasa labda ni kutokana na matamko yake kuhusu Covid. Mama amecheza nyimbo mnayotaka kuisikia lakini mpaka sasa hivi mambo ni yale yale!
 
Mimi nina vyojua hizo waves zinakuwepo kutokana na matukio fulani fulani. Mfano mabadiliko ya hatua zilizochukuliwa za kupambana na covid kama lockdown. Unakuta serikali imepunguza masharti ya lockdown ndio inasababisha wave au wanafunzi kurudi mashuleni au festival kama xmas.
Sasa hapa kwetu hakuna hatua zozote zilichukuliwa ni nini kilisababisha hizo waves?
Hapana. Waves zinatokea hata kama hatua hazijachukuliwa. Magojwa ya jamii hii hayajaanza kutokea sasa. Soma historia kuhusu magonjwa ya aina hii yaliyoua watu wengi miaka ya nyuma kama Spanish Flu kipindi hata hawajajua ni kwa nini watu wanakufa na hakuna hatua zozote zinachukuliwa uone hali ilivyokuwa. Kulikuwa na ''waves''.
 
It seems the curve has started flattening. The second wave started November immediately after 2020 Elections, through December and in January we entered the third wave with a rapidly rising parabola, which seems to have started flattening in April. Tusubiri!
Mkuu ni kitu gani kimesababisha kuwe na curves! Mafano Europe ni kutokana na hatua zilichukuliwa na serikali ndio imesabisha hizo curves! Hapa baada ya Magufuli kufa na gafla Corona nayo imeyoweka kwenye media!!
 
Acha Mihemko, ww hiyo shahada yako imekusaidia nn mpaka sasa
Shahada ya jiwe ilimsaidia nini ?

Kusema virusi vinatibiwa kwa kula malimao !??

Kukataa chanjo ya dhidi ya kirusi kwa madai ni agenda za mabeberu huku akipokea chanjo lukuki za watoto na ARV ! Huoni huo ni upofu wa fikra?
 
Kawaulize maaskofu waliotutangazia kuwa wamefiwa na mapadri zaidi ya 25 na watawa zaidi takriban 60, Je nao walikuwa kwenye mpango wa kummaliza au la

Tuna bahati wadau waliibuka kwa kasi kumpinga approach yake ya kutofanya lolote. Kitendo cha wadau hao hasa Makanisa makubwa kuwataka watu waanze kunawa tena mikono na kujilinda ilisaidia sana, Tungeendelea vilevile bora liende hali ingeweza kuwa mbaya zaidi
Je kwenye maombolezo walitembea na bakuli za kunawia?
FB_IMG_1618259235103.jpg
 
Kama ungeelewa hoja wala usingekurupuka kama unaoga nje!!

kuna hoja gani wakati walevi mmevamia uzi hapa!!!!

mleta mada anahoji,viko wapi vifo vya corona baada ya magufuli kututoka!!!mbona kama vile tatizo linaonekana haikuwa corona ila magufuli ndiye alikuwa tatizo???maana kelele zingeendelea.

nyumbu mnasema mama atachukua hatua si kama mwenda zake,kwamba corona inasubiri achukue hatua ndipo iamue inaendelea au maana yake nini!!!!
 
Hapana. Waves zinatokea hata kama hatua hazijachukuliwa. Magojwa ya jamii hii hayajaanza kutokea sasa. Soma historia kuhusu magonjwa ya aina hii yaliyoua watu wengi miaka ya nyuma kama Spanish Flu kipindi hata hawajajua ni kwa nini watu wanakufa na hakuna hatua zozote zinachukuliwa uone hali ilivyokuwa. Kulikuwa na ''waves''.
Mkuu kumbuka hizo waves za Spanish flu zilikuwepo 1918 -1920 kipindi cha kukaribia miaka mitatu. Hata Corona miaka hijayo inaweza kurudi tena na kuwa “wave”. Na wataalamu watatupa sababu za kuwa na wave nyingine. Mafano Spanish flu 2nd wave inasemekana ilitokana na movement za wanajeshi!
The second wave

The second phase of Spanish flu occurred in the autumn of 1918. In Spain, there are several theories about how it spread. Some believe it was because the soldiers doing military service returned home in the summer, or that Portuguese people who returned home by train after the war ended, were to blame. A mutation of the virus has not been ruled out. This time, the number of deaths soared. In some places, summer festivals increased contagion, and churches were ordered to stop ringing their bells at funerals, so people didn't panic about how many there were.

Covid imekuwa ni mwaka mmoja na ushee sasa. Hizi waves tunazozisoma uko Europe zimesababishwa na matukio fulani fulani hasa zimehusishwa na lockdowns.
Ninachopinga hapa ni Magufuli kafa gafla na Covid nayo imekuwa sio gumzo(kimya)! Mnasema ni waves!
 
Ule mwezi wa pili huenda ulimpa Magufuli stress sana maana alishuhudia watu wakikataa style yake ya uongozi wa nchi waziwazi. Wakatoliki walimgomea waziwazi, nahisi pale ndipo alipojua kuwa uraisi wake una mipaka
yaani hilo ndilo jibu
aliona kila dalili kuwa tamati imefikia, makusanyo yalishagota kabisa mpaka akaingia kodi za wenye kuwapangisha wapangaji mitaani nao walipe, miradi lukuki ikasimama km SGR, Nyerere Dam, Kigongo Busisi akajionelea ngoja akafungue Daraja la Kijazi na stand ya Magufuli, hapo hasira na matamshi vikaanza pishana ziara nzima ya DSM
 
Wewe mpaka sasa hivi pamoja na kuandikwa sana bado haujapa elimu ya kutosha ya magonjwa kama Covid. Haya magonjwa hakuna button ya “pause” ya kukusubiri!! Hili gonjwa wakati wa Magufuli lilitumiwa kisiasa labda ni kutokana na matamko yake kuhusu Covid. Mama amecheza nyimbo mnayotaka kuisikia lakini mpaka sasa hivi mambo ni yale yale!
Lilitumikaje? Mie wazazi wangu waliugua na waliponea ICU!! So tukubaliane corona ipo

Hoja hapa ni kwanini media haitangazi tena... Jibu ni kwamba walikuwa wanatangaza ili kumpa presha alichukulie hatua

Ila kuhusu corona kuwepo na kuua hilo halina ubishi unless ulikua hutembelei muhimbili February
 
Covid kwetu ni ugonjwa wa msimu (kwaimani yangu) so kuna wave ya wiki 2 hadi 3 kwa maambukizi ya mwezi 1 hadi mwezi 1½ ikipita hiyo basi hapo kuna kuwa na vifo vingi baada hapo pana poa na wataoondoka ni wenye udhaifu mkubwa kiafya.
Now the shift is below 40 yrs of age, be careful....
 
Back
Top Bottom