Tangu Soka lianze hadi leo hii, Kuna Mchezaji yeyote aliyefikia kiwango cha Maradona au Messi?


Maradona hakuwahi kubeba UEFA champions League wala hako ka Nesi kenu hakana World Cup wala Copa America...
taja watu wenye mafanikio katika Soka.
 
Hivi kuna kipimo gani cha kujua kiwango cha ubora WA uchezaji toka soka liaze, ambacho kitatusaidia kuelewa jambo hili, pasipo kuwa na ushabiki. Tena tuzingatie nyakati, kumlinganisha Pele na Messi walioishi nyakati tofauti sidhani kama ni sawa. Hao kila mmoja ni bora kwa nyakati zake na mashabiki wake. Hata Leo wengine hawamkubali Messi, wanamkubali Ronaldo. Ushabiki na nyakati vizingatiwe kupima ubora WA mchezaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa chako kitakuwa kigumu kuelewa....nimekusaidia lkn naona bado unarudi pale pale! Pole sana
Black panther ,mbona hoja ya compact iko wazi sana?watu wanakuwa bora kwa vigezo maalum kwanza ulitakiwa utoke vigezo gani vilivyokufanya uwa weke hao juu na kuwataka wadau waweke wanaoweza kuwa beat hao.
Na ukifuatilia comments kuna member humu kaweka list tofauti ambapo messi na maradona hawapo.
Kwa kuweka vigezo itapunguza kelele humu labda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeamia upande wako sasa ,am hooting for M and M!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachezaji wa leo messi na ronaldo wanakimbilia kufunga magoli tu na kuvunja rekodi, zaman kuwa mchezaji bora hivi vitu walikua hawaangaliii ndio maana unaweza kukuta beki kawa mchezaji bora, messi na Ronaldo ukitaka kuwashindanisha unaangalia magori na record lakin ukitaja kuangalia ufundi wa mpira yaani unaenda kuangalia mpira sio magori tu na pasi bali utam wa mpira GAUCHO ndo mhezaji aliekua amekamilika kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmemfatilia pele vilivyo.. naamin kabisa pele alikuwa mchawi wa soka he is the best, alikuwa na kipaji cha soka sijui angezaliwa kwenye dunia ya sasa ingekuwaje, alikuwa na speed, power, anatumia miguu yote, skills za hali ya juu.. mfupu lakin anaenda hewan..

Then messi, kwangu messi amemzid maradon vitu vdogo, dribbling na wepes messi anadribble mpira vzur zaid ya shuja maradona na pia maradona alikuwa mzito kidogo.. n hii ni baada ya kuwachek na kuwafatlia vzur..

Ronaldo de lima na wenzie wanafata..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gaucho ndo mtu pekee anaeweza kuucommand mpira anavyotaka yeye, tangu uanze mchezo wa soka had leo hakuna kiumbe alieweza kusogelea uwezo wa gaucho hata robo, yule ni mteule kwa ajil ya burudan ya soka. Kitu pekee ambacho messi kamzid gaucho ni idadi ya magoli

Sent from koromije using bashite
 
Sasa mkuu ulishasikia wataalam wanaojua soka ndio walimtawaza pele kuwa mchezaji wa karne ila KURA ZA INTERNET ndio akashinda maradona sasa je hapo kwa vigezo vyako nani ni bora??? Aliyechaguliwa na washabiki au na wataalam??

Yaani by 2000 kizazi chote cha waliochesa mpira na pelel plus washabiki waliomshuhudia live walishakuwa wamekufa ila kufkia 2000 maradona alikuwa na miaka 6 tu tangu astaafu soka la kimataifa!!!! Sasa hapo nani ambaye alikuwa bado kwenye limelight ya mpira???

We ulitegemea poll iliyofanyika ulaya kwa kutoa 70% ya kura wamchague mchezaji ambaye hawakuwahi muona akicheza alafu wamuache maradona waliomuona live akicheza!!!!mkuu i assure u hata ssa wakimshindanisha muhamed ali na mauweather kwa kura tu atashinda mayweather
 
Hahahahahaa embu kapitie mechi za hungary miaka ya 50 umuone njemba inaitwa ferenc puskas ndio urudi hapa kumsifia messi
Sina haja ya kumaliza bundle langu what I know is lapulga is d baddest player I ever seen......


Hao wengine I'd just a history

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
😛😛Mkuu Watapata wapi facts...ukweli utabaki pale pale,wanajua yupi mkali wa soka ila hawataki kusema tu, maradona na messi kitu ingine hakuna wakuwakamata wafalme hawa
Messi atastafu timu ya Taifa Bila kunyanyua kwapa Kombe la dunia
 
Sina haja ya kumaliza bundle langu what I know is lapulga is d baddest player I ever seen......


Hao wengine I'd just a history

Sent From My Nokia Ya Tochi
Duh kaz kwelikweli watanzania yaani unafanya conclusion hata puskas humfaham na hata huelewi kwanni fifa wamededicate tuzo za goal of the year kwa jina lake ????? Ushamsikia Telmo zara???? Kocsis je??? Kwa ufupi messi hamkuti hata zico afu mnataka kuconclude tu kisa umeangalia mpira enzi za messi??? Ni vzuri uka dedicate muda wako kuangali channel kma espn classics uone biography za hizo njemba nlizozitaja ndio uje na conclusion ila kma huwafaham then unajidanganya tu kuwa messi ndio best eva
 


Lionel Messi Akiwa na Miaka 30 tayari ameshafikisha magoli zaidi ya 500

Huyo Puskas Mpaka anastaafu alikuwa na Magoli takribani 500 .... Sasa nadhani utakuwa unaelewa who is the best, usidanganyike na tuzo kuitwa majina yao,



Nakusihi tena Lionel Messi ni mchezaji balaa saaaaaana tena mshukuru mungu umebahatika kumshuhudia kiumbe huyu ....


Hivi huyo Puskasi record zake pale real Madrid zikoje mbele ya Cr7


NB: MIAKA HIYO KULIKUWA HAKUNA OFFSIDE

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…