Tangu tufahamiane naye, nimekuwa naota ndoto za ajabu ajabu

Huo mshangazi uache mkuu ! Hata hawa malaya wa kitaa wa kununua wana majanga kichizi sio wa kuzoea kabisa !!
Ni kweli mkuu, kuna siku nipo hapa town/dsm nikaingia escort ili kupata mtu wa kampani, ile amefika nikaongea naye maneno mawili matatu, akanithibitishia anatembea na mafuta ya upako, na alipotoka kwangu, akajipaka na kunuia baadhi ya mambo huko anakoenda kukutana na mwingine.​
 
Mrudishie bia zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…