Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza mleta Maada haeleweki Mara ya kwanza kasema Lishangazi alafu kwenye kumalizia kasema Kibinti.haaa haaa, huyo shangazi au pepo?
Si unajua ukiwa na miaka 60 na mwenzako naye akiwa kwenye miaka hiyo, kuitana binti au kijana ni kawaida?Mwanzoni umeanza kwa kusema li shangazi ulikutana nalo bar mkanywa gambe, mwishoni mwa hadithi yako ukasema utafuta namba ya huyo binti na sio tena lishangazi, unawezekana umeanza kuchanganyikiwa mwenzetu.
Inawezekana, dunia ina maajabu mengijiandae kunyonywa damu, ulikutana na zombi