Tangu tufahamiane naye, nimekuwa naota ndoto za ajabu ajabu

Ni kweli Kuna wanawake wana

Huyo shangazi ulikutana nae akakutamkia anakupenda ameamua akujie kivingine katika ulimwengu wa roho.upo katika process ya kurogwa....Kaa nae mbali Sali sana pia soma neno sana pia
Nikivunja mawasiliano, hawezi kuniijia tena kiroho?
 
Ila kwenye ndoto sikuona sura yake, hapo naomba unifafanulie mkuu.
 
Nikivunja mawasiliano, hawezi kuniijia tena kiroho?
Mambo ya kiroho yanatibiwa kiroho zaidi na ya mwili yanatibiwa mwilini...hio ishu ishakua ya kiroho hapo ata useme umblock au uhame haitasaidia cha muhimu Sali sana ndo utaokoka na huyo jezebel
 
B
Binti au lishangazi??
 
Ungekuwa wewe ungefanyaje, ungemfukuza?
Anaanzaje kuja kwangu sasa...mimi naongea kama Ke..nawajua ke wenzangu ukiona ke ana ujasiri wa kumfata me akiwa hamjui na kukaa nae ujue ana ujasiri wa kufanya lolote...
 
Anaanzaje kuja kwangu sasa...mimi naongea kama Ke..nawajua ke wenzangu ukiona ke ana ujasiri wa kumfata me akiwa hamjui na kukaa nae ujue ana ujasiri wa kufanya lolote...
Wengi sasa hivi hawaoni aibu, wana ujasiri uliopitiliza, na mpaka anakuja kuna maamuzi anakuwa alishayafanya.
 
Yaani ulikemea pepo kuanzia saa tano Hadi saa tisa usiku?Unafaa kuwa mtume na nabii.Fungua kanisa lako upate maokoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…