Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Huyo engineer wa hayo madarasa 0 kweli

Unaweka tiles za ninibwakati miguu ya madawati na viti ni ya chuma

Madirisha ya alluminium, madirisha ambayo yanafunguka nusu na ambayo hayaitaji usumbuf wakufungua mara kwa mara

Hapo barazani ilitakiwa aweke gypsum board na sio PVC
 
Huyo engineer wa hayo madarasa 0 kweli

Unaweka tiles za ninibwakati miguu ya madawati na viti ni ya chuma

Madirisha ya alluminium, madirisha ambayo yanafunguka nusu na ambayo hayaitaji usumbuf wakufungua mara kwa mara

Hapo barazani ilitakiwa aweke gypsum board na sio PVC
Daaah 😀😀😀
 
Huyo engineer wa hayo madarasa 0 kweli

Unaweka tiles za ninibwakati miguu ya madawati na viti ni ya chuma

Madirisha ya alluminium, madirisha ambayo yanafunguka nusu na ambayo hayaitaji usumbuf wakufungua mara kwa mara

Hapo barazani ilitakiwa aweke gypsum board na sio PVC
Daaah
 
View attachment 2059200
View attachment 2113401
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania.

Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan".

Mnaweza kukubaliana na mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana.

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi.

Tunaamini, madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya wanafunzi kupenda shule na madarasa yao.

Tuweni wakweli, hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake.
Asante Dada Mkuu
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
Kazi iendelee kwa kasi,
 
Huu uzi umekaa kimasikini sana , yani hayo mabanda ndio hayajawahi kuonekana tangu uhuru? labda uhuru wa burundi , kuna watu wamesoma shule kali tangu enzi hizo huwezi kulinganisha na hizo force accounts
 
Huu uzi umekaa kimasikini sana , yani hayo mabanda ndio hayajawahi kuonekana tangu uhuru? labda uhuru wa burundi , kuna watu wamesoma shule kali tangu enzi hizo huwezi kulinganisha na hizo force accounts
Daaah,
 
View attachment 2059200
View attachment 2113401
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania.

Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan".

Mnaweza kukubaliana na mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana.

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi.

Tunaamini, madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya wanafunzi kupenda shule na madarasa yao.

Tuweni wakweli, hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake.
 
Back
Top Bottom