Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Huoni hata aibu kutaja hio figure mkuu ?

Walimu elfu 7 baada ya miaka mingapi..., (Hivi unajua tangu tupate uhuru kuna kipindi kila mwalimu mwenye cheti chake alikuwa darasani anafundisha) ? Au unadhani Madarasa ndio yanafundisha...
Kwa sasa outflow ya walimu kutoka vyuoni ni kubwa sana,

Serikali peke yake haiwezi kuwamudu wote
 
Kwa sasa outflow ya walimu kutoka vyuoni ni kubwa sana,

Serikali peke yake haiwezi kuwamudu wote
Jibu la ajabu sana hili Kipindi kile hata waliokuwa wanafundishwa walikuwa wachache..., Sasa hivi wanaohitaji kufundishwa ni wengi hivyo ratio ya sasa ni duni kuliko ratio ya kale....

Pili... naomba nikuulize hivi wingi wa watu ni rasilimali au ni hasara..., (kama ni rasilimali basi serikali imeshindwa kutumia vema rasilimali watu hio hence they are not fit for purpose)
 
Jibu la ajabu sana hili Kipindi kile hata waliokuwa wanafundishwa walikuwa wachache..., Sasa hivi wanaohitaji kufundishwa ni wengi hivyo ratio ya sasa ni duni kuliko ratio ya kale....

Pili... naomba nikuulize hivi wingi wa watu ni rasilimali au ni hasara..., (kama ni rasilimali basi serikali imeshindwa kutumia vema rasilimali watu hio hence they are not fit for purpose)
Kwani walimu waliokuwepo wamekufa mkuu siwapo pia?
 
Kwani walimu waliokuwepo wamekufa mkuu siwapo pia?
population ina increase exponentially ndio maana mashule zaidi yamejengwa ilipokuwepo shule moja sasa hivi zipo kumi angalau tungesema kiwango cha waalimu kuajiriwa kimeremain constant ila hapa kimeshuka to almost zero..., sasa hapo utaona mathematically something is not right....
 
population ina increase exponentially ndio maana mashule zaidi yamejengwa ilipokuwepo shule moja sasa hivi zipo kumi angalau tungesema kiwango cha waalimu kuajiriwa kimeremain constant ila hapa kimeshuka to almost zero..., sasa hapo utaona mathematically something is not right....
Sawa lakini walimu wazamani pia wapo,

Kwani Mwalimu mmoja anapashwa kufundisha wanafunzi wangapi?
 
Sawa lakini walimu wazamani pia wapo,

Kwani Mwalimu mmoja anapashwa kufundisha wanafunzi wangapi?
Student–teacher ratios vary widely among developed countries.[3] In primary education, the average student–teacher ratio among members of the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) is just below 16, but ranges from 40 in Brazil to 28 in Mexico to 11 in Hungary and Luxembourg.[3]


Personally nadhani zaidi ya 50 ni ku-push it a little bit far...., pia mwalimu mmoja angalau awe na somo moja ikizidi sana matatu...,
 
Student–teacher ratios vary widely among developed countries.[3] In primary education, the average student–teacher ratio among members of the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) is just below 16, but ranges from 40 in Brazil to 28 in Mexico to 11 in Hungary and Luxembourg.[3]


Personally nadhani zaidi ya 50 ni ku-push it a little bit far...., pia mwalimu mmoja angalau awe na somo moja ikizidi sana matatu...,
Mkuu baadae nikitulia nitakujibu kwa kina hapa
 
IMG-20220204-WA0042.jpg
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Jenista ni motivation Speaker mzuri sana,
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Usimamizi mzuri. Hapa amejitofautisha na watangulizi wake. Ndiyo Tanzania ya ndoto za kila mtu mpenda nchi yake
 
Rais Samia atamaliza kila kitu mkuu, kuwa na amani kabisa,
Tunajengan mtu au tunajenga nchi ?

Kwa minajili hii tutaendelea kusubiri sana mpaka pale tutakapotegemea Taasisi na Mipango ya muda mrefu kama Taifa Huku tukiwa na Dira (Vision) ya wapi tunataka kwenda..., hili la kumtegemea mtu amalize / afanye kila kitu ni impossible na matumizi mabaya ya rasilimali watu
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania,

Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan"

Mnaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao,

Tuweni wakweli,hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Mkuuu mi nimesoma ya kata na ni ghorofaaa na SSH alikuwa ajaingia madarakniiii
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania.

Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan".

Mnaweza kukubaliana na mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana.

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi.

Tunaamini, madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya wanafunzi kupenda shule na madarasa yao.

Tuweni wakweli, hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake.

Acha upu... Kukopa ukajenga madarasa hakuna MTU anayeshindwa!! Ata wewe ungekuwepo ukapewa mkopo unajenga tuu.

Tuache kusifu kijinga,kazi muhimu ni kujenga uchumi,kuinua kilimo na ufugaji,kurekebisha mtaala wetu nk. hivyo havifanyiki tunasifu MTU kukopeshwa akajengajenga!!!

Mikopomikopo kilasiku alafu badala itumike kwenye miundombinu itayorudosha fedha haraka inaenda kujenga madarasa machache huku shule zimezingirwa na adarasa chakavu mengi.

Bora wangejenga computer room nakufunga computer kila shule tz
 
Back
Top Bottom