Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
The same to you.Mkuu Salama? Happy New year 2022
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The same to you.Mkuu Salama? Happy New year 2022
Mama ajengewe sanamu pale posta, yule askari uchwara mwenye gobole astaafishwe
Siyo lazima aliyosoma, pengine zipo anazozifahamu.. Kwani aliyesifia hii ya kwenye uzi, amesoma hapo?Taja shule uliyosoma tuone hayo madarasa
Fedha ya mkopo imejenga madarasa mengi zaidi ndani ya miezi miwili, na watoto wote wataingia madarasani. Hakutakuwa na second selection. Fedha ya Tozo tungejenga madarasa machache machache kila mwezi watoto wengi wasingeweza kuwa na madarasa ya kusomea. Ungeshauri kwa vile tumekopa na tunaendelea kukusanya tozo, basi fedha za tozo zitumike kulipia deni.Wewe ndio utakuwa mpumbavu kwa taarifa yako hiyo pesa ni ya mkopo ndio maana ndugai anamnanga samia kwa nini ameenda kukopa pesa ya kujenga madarasa wakati wao bungeni wamepitisha tozo za miamala ya simu kwa ajili hiyohiyo.
Na kwa taarifa yako deni Ia taifa lililosababishwa na serikali ya ccm limefika tirioni 70
Ona aibu, mkopo ni wa Umoja wa Mataifa, Je ni nchi gani hiyo? Mkopo umetolewa kwa nchi zote kupambana na Corona. Kwetu tukaamua kujengea madarasa ili wanafunzi wasibanane na kuambukizana Covid.
Kama tumeuza rasilimali kwanini deni la taifa liongezeke si tushawapa cobalt unayoisema?
Acheni uzushi watu wanaakili
acha uchawa, ina maana waliopita wote hawajawahi kujenga madarasa kama hayoTangu tupate uhuru soma vizuri...
Jenista anatisha kwa maneno,View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
anajitahidi ni kweliJenista jembe Sana aise
Sawa laakini sio kila Mkoa au Wilaya kuna baadhi ya maeneo hayapo kabisa vado wanaugulia ya zamani sana.View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Anasemaje pia kuhusu wale wabunge 19? Tungepata ajira za walimu wangapi kwa hiyo miaka mtano ya pesa znazopotea bure?View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Zingatia... Hatujawahi kupatwa na korona na IMF kutusaidia mkopo usio na riba na kutusimamia tuutumieje.View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Middle school niliyosoma 1964 ilikuwa nzuri sana kuliko hii unayoisemea. Secondary ilikuwa nzuri zaidiView attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Marahaba, zilijengwa nyingi ila hatuna mtindo wa kukarabati majengo kila mwaka. Subiri haya majengo yapitishe miaka mitatu utayaona yalivyochoka. Hela ya repair and maintanance ya majengo inatolewa kila mwaka ila haionekani. mfano angalia majengo ya UDSM miaka kumi iliyopita yalikuwa ni machakavu mno, viongozi wanapenda sifa zaidiKwanza Shikamoo Mzee wangu,
Hizo zilijengwa kabla ya Uhuru Mzee wangu,
Hapo wamezungumzia baada ya Uhuru,
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Kichwa cha habari na content iliyomo ni vitu viwili tofouti, hayo ndio madarasa ambayo hayajapata kuwepo tangu uhuru? Jifunze kuwa mkweli na uache kuandika mihemukoWapi mkuu nimeandika kibaya?
Moshi kulikuwa na madarasa mazuri sana. Mleta mada hajafanya utafitiKichwa cha habari na content iliyomo ni vitu viwili tofouti, hayo ndio madarasa ambayo hayajapata kuwepo tangu uhuru? Jifunze kuwa mkweli na uache kuandika mihemuko
ila maza anatishaView attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Yaani wewe mleta mada unafikiri Tanganyika ikiwa katika kipindi cha "post independence" hasa katika utawala wa Mwl. Nyerere, fursa, vipaumbele na changamoto zilizokuwapo kwa wakati huo zinafanana na hizi zilizopo hivi sasa? Na wala si kwa Mwalimu peke yake, bali pia katika vipindi vya tawala za Mwinyi, Mkapa na Kikwete, sitaki kumzungumzia JPM kwani naamini wapo katika awamu moja na SSH.View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,
Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,