johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Inamchukua Siku moja tu kwa sababu ana wasaidizi kila Tarafa Kata, Kijiji, Mtaa na KitongojiKama ndivyo hivyo basi DED itamchukua mwezi kupita kila kituo na kuchukua makasha kisha ayapeleke Dar au Dodoma.