Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
- #41
Kwa wasiojua, Kenya mgombea binafsi wa urais yuko nafasi ya tatu kwa wingi wa kura, yale maneno ya ukabila ni ya kukaririshwa kwani wagombea wote wamepata kura nyingi kwenye maeneo ya mbali na kwao.