Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Warudishiwe Manispaa, madiwani ndio wanajuwa vipaumbele vya Kata zao.Kuna barabara ziko chini ya tan road
Na tarura
Hawa tarura ndiyo ovyo kabisa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warudishiwe Manispaa, madiwani ndio wanajuwa vipaumbele vya Kata zao.Kuna barabara ziko chini ya tan road
Na tarura
Hawa tarura ndiyo ovyo kabisa
Ova
Hawahusiki siyo hawahusiki mpumbavu wewe.hawahusiki siyo awahusiki
Tuanze na Tanroads, wakimaliza za kwao ndo twende Tarura. Itakuwa aibu barabara ya Tarura ijengwe iunganishwe kwenye barabara mbovu ya Tanroads.Kuna barabara ziko chini ya tan road
Na tarura
Hawa tarura ndiyo ovyo kabisa
Ova
Nina uhakika asilimia 100%.Una uhakika hiyo ni ya Tanroads?
tusiwe tunalaumu tu tujufunze kushukuru pia
Ukishasema barabara zenu tayari umemaanisha wana hiari kuziacha zilivyo wewe unatendewa hisani tu huna haki kuwaambia wakati ni kodi zakoHali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
Sijui Tanroads hawaioni hii barabara??Ni kweli kabisa barabara ya Mpiji Magoe ni mbovu zaidi,kutoka Mbezi stand ya daladala mpaka mwisho wa gari (Kwa kengega) umbali wa kama 11KM gari linatumia lisaa lizima kufika. Kwa ubovu huo magari nayo yameharibika karibu yote,usafiri umekuwa wa tabu hasa asubuhi na jioni. Watu wanapata shida sana hasa wanafunzi.
Dar......Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
Barabara ya Mpigi ipo chini ya Tanroads.Una uhakika hiyo ni ya Tanroads?
Unajua mji unaoongoza kwa kuchangia pato kubwa la taifa?? Unajua uchumi wa nchi hii unategemea Dar? Kwa nini kuongeza hela kwenye mafuta wakati mkoa unachangia zaidi ya 60% ya mapato ya nchi? Ishu hapa ni kuujali huu mji ili uzidi kukusanya zaidiMumeambiwa iwekwe 💯 kwenye mafuta mjengwe Barabara za Dar hamtaki,komaeni hivyo hivyo na Jiji lenu la uswazi lenye msongamano.
Na hizi mvua mtaisoma namba.
DAR high way ndo nzuri kwingine kote ni ujinga ujinga mtupu..Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
Mvua zimeharibu barabara nyingingi sana, hata Tabata Kimanga kuelekea kisukuru lami imevunjika kama biskuti..., magari yanaharibika, usafiri umekuwa mgumuHali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
Lakini angalau huko mna lami kilometa kadhaa na hata madaraja. Mna gari za kwenda Kariakoo au Posta na kufanya nauli zipungue. Ingawa haitoshelezi, inatakiwa barabara zote ziwekwe lami kama ilivyo Temeke kule Yombo, Buza nkNjooo ukonga uone Palivyo. Banana - kitunda_ kivule_ msongola mama YANGU. KUTUNDA _ kibeberu_ magole. Maweeeeee.BANANA HADI PUGU ( BARABARA YA NGOMBE AU ZAMBIA) , MY GOD
Mpigi Kupanda basi ni kwa foleni.Ni kweli kabisa barabara ya Mpiji Magoe ni mbovu zaidi,kutoka Mbezi stand ya daladala mpaka mwisho wa gari (Kwa kengega) umbali wa kama 11KM gari linatumia lisaa lizima kufika. Kwa ubovu huo magari nayo yameharibika karibu yote,usafiri umekuwa wa tabu hasa asubuhi na jioni. Watu wanapata shida sana hasa wanafunzi.
Ukiwa highway unaweza ukajisemea mji ndio huu,sasa chepuka kidogo tu mtaani utashangazwa.Pale kimara zilipo ofisi za TRA na CRDB lile eneo lina mashimo muda wote,ikinyesha mvua panageuka bwawa na hakuna hata anayeshtuka.DAR high way ndo nzuri kwingine kote ni ujinga ujinga mtupu..
1.Moro road
2.Mandela.+Samjoma
3.Ally Hasan mwinyi
4.Nyerere road
5.Kawawa. .
Barabara za mtaa MUNGU mwenyewe anajua
Tuliambiwa wapinzani wanachelewesha maendeleoMpigi Kupanda basi ni kwa foleni.
Kibamba Hondogo, Kibwegere, Kwa kisima huko hakuna daladala kabisa, ni mwendo wa bodaboda. Kipindi cha mvua hiki nao nauli wanapandisha.
Mbunge anauchapa usingizi na kula per diem. Diwani wa Kibamba tunaambiwa amehama kabisa kata anakaa Mbezi Beach, wananchi mtajijua wenyewe
Acheni kutuona wehu, umeona watu wa mikoani wanalia na barabara na nyie watu wa Tanzania mnajifanya kujiliza.Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
Ni barabara ipi mmeshakwama kwa angalau hata siku 2?, maana huku kwetu Handeni-kilindi-Kiteto tunalala mpaka wiki nzima. Nyie si mna mpaka fly-overs? Kuna barabara inapita juu ya bahari ya Hindi? au Darisalama gani unazungumzi weye?Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.