Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
Yaani Slaa mbunge asijisumbue wakati ujao kuhombeaHujazunguka jimbo la ukonga wewe
Na uchumi wa nchi una multiplier effect kubwa kwa Dar.Acheni kutuona wehu, umeona watu wa mikoani wanalia na barabara na nyie watu wa Tanzania mnajifanya kujiliza.
Asante sana, mpumbavu ni mimi!Hawahusiki siyo hawahusiki mpumbavu wewe.
Dar kuna maeneo ukifika huamini kabisa km upo Dar yaan panashindwa hata na mikoa mingine, mvua ikinyesha ndio balaa kudadekMimi nikajuaga Daresalama nzima ni lami hadi vibarazani, kumbe kuna sehemu ni kama huku vijijini ambapo tangu kuumbwa kwa nchi hatujawahi kujua lami ni nini
Sasa mbunge mnashindwa kumpa makavu yake anzeni na Mwenyekiti na Diwani wenu wa mtaa mnaoishi mpeni makavu, mnamchekea chekea kuna eneo lilikua linaleta ukorofi taarifa ikapelekwa kwa Mwenyekiti Mwenyekiti kapeleka kwa Diwani na Diwani hio ni njia yake anapita na Gari lake daily akaongea na Halmashauri ikaenda kwa wenyewe bungeni ikaombwa Million 100 pajengwe daraja, ninavyakwambia Daraja imara limejengwa Ila barabara ilibidi ipigwe lami haijapigwa lami mpaka leo Ila shida ilikua Daraja sio lamiJimbo ka kibamba limetelekezwa kabisa.siyo barabara tu hadi maji ya kunywa hamna kabisa.watu kwa sasa wanatumia ya mvua,na masika ikiisha wanahamia visima vya watu binafsi kwa shi 5000kwa unit moja.mbunge wa huko kila siku anamsifu rais eti picha yake iwekwe kwenye pesa?haya ndiyo walikutuma wananchi wako wewe mbunge?
Bora hata huko mpaka mvua, vijijini kiangazi vumbi na rasta, masika mashimoDar kuna maeneo ukifika huamini kabisa km upo Dar yaan panashindwa hata na mikoa mingine, mvua ikinyesha ndio balaa kudadek
Dar ni JIJI sio KIJIJI jaribu kutofautisha hapoBora hata huko mpaka mvua, vijijini kiangazi vumbi na rasta, masika mashimo
Najaribu kulinganisha tabu za huko vs za vijijiniDar ni JIJI sio KIJIJI jaribu kutofautisha hapo
Hii ni ya Tanroad... Ebu waiwekee lami mpaka bunju. Wananchi wamechokaKumbe huko haijawa mbaya zaidi? Ebu pita hii ya mbezi high ndo utajua barabara mbaya zaidi zinavyofanana. Hii ni hatari mnooo.
Yes mkuu hapa umesema ukweliNajaribu kulinganisha tabu za huko vs za vijijini
Nb: huduma kama barabara nzuri, maji, umeme zinahitajika kwote tuu iwe mjini au vijijini
Utofauti utakuja kwenye baadhi ya mambo, mfano vijijini hatuwezi kudai fly over, ila barabara nzuri wote tunahitaji
Wanakula mishahara, posho na marupurupu mengi ya Serikali Ila kazi zao sasa, barabara ya Maji Chumvi iliyojengwa kwa ZEGE tupu ni barabara moja imara sana kajenga Nani Tarura au TanRoads ?Hii ni ya Tanroad... Ebu waiwekee lami mpaka bunju. Wananchi wamechoka
Lakini angalau huko mna lami kilometa kadhaa na hata madaraja. Mna gari za kwenda Kariakoo au Posta na kufanya nauli zipungue. Ingawa haitoshelezi, inatakiwa barabara zote ziwekwe lami kama ilivyo Temeke kule Yombo, Buza nk
Sasa ukitoka Kibamba kwenda Kariakoo nauli sio chini ya elfu 5, maana bodaboda ni elfu 3 (kwenda na kurudi), mwendokasi ni Tshs. 2,900/=, jumla ni Tshs. 5,900/, sasa hapo ni bajeti ya kila siku. Madaladala hakuna sababu barabara ni mbovu watu hawaleti mabasi sababu yataharibika.
Mheshemiwa Naibu Speka Mzee Zungu anapita hapa anasoma comments Ilala inamhusu,Wilaya ya Temeke wako vizuri mnoo kwenye barabara na huduma nyengine mfano unataka kuweka umeme yani hakuna longolongo.
Ilala ni Wilaya ya hovyo sana kwa miundombinu hapa Dar na huduma nyengine.