Tanzania bado nchi masikini sana, kwa miaka 8 watanzania wameagiza magari 561,875

Tanzania bado nchi masikini sana, kwa miaka 8 watanzania wameagiza magari 561,875

Kwani magari ni utajili? Nani alikwambia Watanzania wakinunua magari wengi ndio ishara ya kuondokana na umasikini? Kwanza elezea umasikini upi ulikusudia maana Watanzania wengi ni maskini wa akili unakuta msomi PhD anagang'ana na siasa uyo ni masikini wa akili,
Kuna wasiojua Ccm inavyotafuna nchi kutwa kucheza iyena iyena ao nao ni maskini wa akili na wengine niwezi wa mali za Umma wanaiba mabilion ya kodi zetu wanaenda kuzificha ughaibuni wakifa zile fedha uchukuliwa na wazungu awa nao ni maskini wa akili.
 
Tunajifufulia " ZALOO SHINDIKANA" mitaani, zaloopelekwa chuma chakavu tuna zi re cycle zinarudi mtaani. Hivi uliwahi kuuliza garama za gari japani ulinganishe na kodi za kuitoa bandarini?
 
Lbda niulize nAmba za gar zinawezakufanana labda ukute lorry Lina t448 dby alfu ukakuta kiriku ipo na nAmba t 450 dby hyo hyo ya gar la lorry hyo ibaweza kutokea


Au Nissan ikawa 450 dfn hyo hyo namb ikakuta ktk gar la Toyota la Carina t450 dfn

Naombeni majibu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Pengine ungeweka ulinganishi na nchi nyingine kama kenya au afrika kusini ili uweze kuonyesha haya ni machache au mengi.
Kwa tanzania kodi ya magari bado ipo juu sana yaani 100% ya bei ya ununuzi , hiki nadhani ni kikwazo.

Lakini pia barabra zetu bado sio za kutosha magari mengi hasa miji mikubwa kama Dar, Arusha au Mwanza. Barabara zetu zinahitaji kuwa kubwa ili ziweze kuhimili magari mengi zaidi.
Lakini pia nadhani serikali inahitaji kuweka kizuizi cha uchakavu angalau miaka 10 ili nchi isiendelee kuwa jalala la magari mabovu. Wenzetu hapo Ke gari mwisho miaka 8 tu.
 
Lbda niulize nAmba za gar zinawezakufanana labda ukute lorry Lina t448 dby alfu ukakuta kiriku ipo na nAmba t 450 dby hyo hyo ya gar la lorry hyo ibaweza kutokea


Au Nissan ikawa 450 dfn hyo hyo namb ikakuta ktk gar la Toyota la Carina t450 dfn

Naombeni majibu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ndugu,andika vizuri basi khaaa!!!uandishi gani huo aisee?how old are you??yaani hata mwanangu wa nursery haandiki hivyo!!!huo si uandishi ni UHARO[emoji57][emoji57]
 
Lbda niulize nAmba za gar zinawezakufanana labda ukute lorry Lina t448 dby alfu ukakuta kiriku ipo na nAmba t 450 dby hyo hyo ya gar la lorry hyo ibaweza kutokea


Au Nissan ikawa 450 dfn hyo hyo namb ikakuta ktk gar la Toyota la Carina t450 dfn

Naombeni majibu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Namba za magari hazifanani
 
Mkuu herufi ni 24 na sio 25. Kumbuka herufi I na O zinarukwa. Rudia upya calculations zako
But all in all itachezea humo humo hata ukitoa hiyo herufi moja. Further point ya msingi kwamba wabongo ununuzi wa magari ni mdogo, imeeleweka.
 
Hivi hili suala la.kodi za magari kuwa sawa au zaidi na bei ya kununulia gari hakuna wakulisemea??

#MaendeleoHayanaChama
 
Hili jambo huwa linanishangaza mnooo, kuna siku nilisikiliza clip ya Chris Lukosi, yule mhehe wa minada ya mtandaoni ya makanikia, akisema TZ kodi huwa inazidi mpaka pesa ya kununulia gari daah...
Yaa, ni kweli. Tuna kodi kubwa kwenye magari.
 
Back
Top Bottom