ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Kwani magari ni utajili? Nani alikwambia Watanzania wakinunua magari wengi ndio ishara ya kuondokana na umasikini? Kwanza elezea umasikini upi ulikusudia maana Watanzania wengi ni maskini wa akili unakuta msomi PhD anagang'ana na siasa uyo ni masikini wa akili,
Kuna wasiojua Ccm inavyotafuna nchi kutwa kucheza iyena iyena ao nao ni maskini wa akili na wengine niwezi wa mali za Umma wanaiba mabilion ya kodi zetu wanaenda kuzificha ughaibuni wakifa zile fedha uchukuliwa na wazungu awa nao ni maskini wa akili.
Kuna wasiojua Ccm inavyotafuna nchi kutwa kucheza iyena iyena ao nao ni maskini wa akili na wengine niwezi wa mali za Umma wanaiba mabilion ya kodi zetu wanaenda kuzificha ughaibuni wakifa zile fedha uchukuliwa na wazungu awa nao ni maskini wa akili.