Sababu za hizo kurukwa ni niniMkuu herufi ni 24 na sio 25. Kumbuka herufi I na O zinarukwa. Rudia upya calculations zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu za hizo kurukwa ni niniMkuu herufi ni 24 na sio 25. Kumbuka herufi I na O zinarukwa. Rudia upya calculations zako
Mkuu nashukuru sana kwa kunikumbusha. Basi magari hesabu zitashuka zaidi na kua 517,824 kwa miaka 8 sawa na gari 64,728 kwa mwaka sawa na 5,392 kwa mwezi sawa na gari 180 kwa siku. Hatari sana.
Hata combi ya 1957 inaeza kuwa no E kabisa ni usajili tuIvi namba D mwisho mwaka huu ..kwa hiyo kuanzia mwakani tutegemee namba E siyo?! Na gari ya mwaka 2000 au 2010 kushuka chini inaweza kuwa namba D kweli?
Ahsante kwa tuition ya bureZinafanana na moja na sifuri
Kwaio hela ya kununua gari haipo je service ya gari, mafuta, bima ya gari nayo tutachangishana humu?Unaonaje muasisi wa jf Maxence Melo ukianzisha mchakato wa kuchangisha japo tsh elfu 2 kwa mwezi kwa kila member wa Jf, na kusaidia kutununulia magari wale tusiyonayo ili kuongeza uagizaji na pia kupunguza umaskini wa watanzania?
cc Maxence Melo
Anakuzingua huyo kiongozi au huenda kweli haelewiMkuu ni 899 sio 999 maana inaanzia namba 100 haianzi 0. Umewahi kuona gari namba T005DMN? ana T016CDB? Zinaanzia T100 na kuendelea.
Hilo ni wazo tu mkuu.Kwaio hela ya kununua gari haipo je service ya gari, mafuta, bima ya gari nayo tutachangishana humu?
Usivyo na akili huwezi kuelewa kua 999-100 ni 899.kumbe hata hauelewi utaratibu wa namba ulivyo?
Namba inaanza na 101 na inaishia 999
kwa hiyo wewe haujawai kuona namba 999? 987?970?950?
Kweli , magari yamejazwa utitiri wa kodi, bei unayonunulia ni sawa sawa na kiwango cha ushuru, watu hawana ubunifu wala hurumaImagine unanunua bidhaa ambayo kodi ni sawasawa na bei ya bidhaa
Hivi zinaanzia 100 au 101 hadi 999? Just asking.Mkuu ni 899 sio 999 maana inaanzia namba 100 haianzi 0. Umewahi kuona gari namba T005DMN? ana T016CDB? Zinaanzia T100 na kuendelea.
Ulivyosema hapo kuwa namba zinaishia 899 ndio hapo ambapo haikuwa sawa kwa mana ya registration namba, ila kwa idadi ni sawa kusema hivyo, kumbuka ulivyosema.mwisho wa namba za usajili ni 899 hapo ndio kauli tuliyopingana na wewe.Usivyo na akili huwezi kuelewa kua 999-100 ni 899.
Hesabu ndogo hivyo nayo inakushinda sasa utaweza kujadiliana na watu humu ukaelewa hoja zao?
101 -999 hapo inaanza moja kwenye 01 kutoka 01-999 hapo kama ni DMA inaisha ukianza DMB 101-999 inaisha tena inafata DME.Hivi zinaanzia 100 au 101 hadi 999? Just asking.
Nenda Masaki uzaona utajiri wa watanzani.Wakati namba D ikielekea kuisha tujikumbushe idadi ya magari yaliyoagizwa chini ya namba D.
Kwa mfano, Namba T100DAA, ili kubadilika na kua T100DAB inahitajika magari 899, herufi ziko 25 kutoa herufi I. Hivyo kubadili herufi moja inahitajika magari 899 mara herufi 25 unapata magari 22,475.
Kubadili kabisa herufi kutoka DAA kwenda EAA inahitaji magari 22,475x25 sawa ma magari 561,875. Kwa maana kwamba kwa namba D ambayo imeanza mwaka 2014 na inaisha mwaka 2022 ni miaka 8 Tanzania imeagiza magari 561,875.
Kwa maana kwamba kwa mwaka Tanzania wastani tunaagiza magari 70,234 ama magari 5,852 kwa mwezi sawa na magari 195 kwa siku.
Hii ina maana kwamba kwa wastani wa watu milioni 60, milioni 30 ikiwa ni nguvu kazi tunaagiza gari 5,852 kwa mwezi ni ishara ya umasikini mkubwa sana.
Mbaya zaidi magari hayo 95% ni second hand ya miaka mingi. Ukiangalia Watanzania wanaagiza magari ya mwaka 2000 hadi 2008. Hayo ni ya kutembelea, ya usafiri kama daladala ni ya kuanzia mwaka 1995 hadi 2000.
Magari ya kuanzia 2010 Tanzania ni ya kutafuta kwa tochi. Serikali pekee na watanzania wachache sana wanaagiza magari ya kuanzia 2018 na kuendelea.
Mimi mwenyewe kimkweche changu ni cha mwaka 1999 niko vidudu[emoji23]. Aibu ya mwaka.
Hii nchi miaka 62 ya uhuru bado ni maskini wa kutupwa. CCM imenajisi hii nchi kwa kiwango kisicho na mfano.
Nchi inanufaisha machawa ,Kupe na walamba asali vilaza flani hiviWakati namba D ikielekea kuisha tujikumbushe idadi ya magari yaliyoagizwa chini ya namba D.
Kwa mfano, Namba T100DAA, ili kubadilika na kua T100DAB inahitajika magari 899, herufi ziko 25 kutoa herufi I. Hivyo kubadili herufi moja inahitajika magari 899 mara herufi 25 unapata magari 22,475.
Kubadili kabisa herufi kutoka DAA kwenda EAA inahitaji magari 22,475x25 sawa ma magari 561,875. Kwa maana kwamba kwa namba D ambayo imeanza mwaka 2014 na inaisha mwaka 2022 ni miaka 8 Tanzania imeagiza magari 561,875.
Kwa maana kwamba kwa mwaka Tanzania wastani tunaagiza magari 70,234 ama magari 5,852 kwa mwezi sawa na magari 195 kwa siku.
Hii ina maana kwamba kwa wastani wa watu milioni 60, milioni 30 ikiwa ni nguvu kazi tunaagiza gari 5,852 kwa mwezi ni ishara ya umasikini mkubwa sana.
Mbaya zaidi magari hayo 95% ni second hand ya miaka mingi. Ukiangalia Watanzania wanaagiza magari ya mwaka 2000 hadi 2008. Hayo ni ya kutembelea, ya usafiri kama daladala ni ya kuanzia mwaka 1995 hadi 2000.
Magari ya kuanzia 2010 Tanzania ni ya kutafuta kwa tochi. Serikali pekee na watanzania wachache sana wanaagiza magari ya kuanzia 2018 na kuendelea.
Mimi mwenyewe kimkweche changu ni cha mwaka 1999 niko vidudu😂. Aibu ya mwaka.
Hii nchi miaka 62 ya uhuru bado ni maskini wa kutupwa. CCM imenajisi hii nchi kwa kiwango kisicho na mfano.
Mark X kwa mtu ulitegemea umvue kwa ngapi? Mark X ni msiba huo, aliyekuuzia sasa hivi anashukuruTatizo Kodi za kishezishezi ,tunauziana humu humu nilimvua MTU kwa m5View attachment 2323686