fitonenendefu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2022
- 428
- 881
Na wengi itakuwa wanakufa tu na pesa zinapotelea huko.Kwani magari ni utajili? Nani alikwambia Watanzania wakinunua magari wengi ndio ishara ya kuondokana na umasikini? Kwanza elezea umasikini upi ulikusudia maana Watanzania wengi ni maskini wa akili unakuta msomi PhD anagang'ana na siasa uyo ni masikini wa akili,
Kuna wasiojua Ccm inavyotafuna nchi kutwa kucheza iyena iyena ao nao ni maskini wa akili na wengine niwezi wa mali za Umma wanaiba mabilion ya kodi zetu wanaenda kuzificha ughaibuni wakifa zile fedha uchukuliwa na wazungu awa nao ni maskini wa akili.
Umasikini wa Kwanza wa viongozi wa kibongoland ni kuwa na afya mbovu.
Hawa Jamaa wakipataga tu uongozi wanaanza kunenepa Ile mbaya wengi wao wanakuaga wa duara,yaani fat and shapeless,nadhani ndio hapo akili zao huanza kupata kutu, na hapo unakuta ni Prof.ana PhD zake kadhaa,lakini eti anashindwa ku practise maisha yenye afya wao kutwa kuchwa ni kunywaa mabiere wanashindwa kutambua kula na kunywa sana bila mpangilio ni mwanzo wa kuanza kufa mapema,japo wote tutakufa lakini kufa Kwa kuanza kuharibu afya Tena Kwa mtu msomi huo ni umasikini.