Tanzania bado nchi masikini sana, kwa miaka 8 watanzania wameagiza magari 561,875

Tanzania bado nchi masikini sana, kwa miaka 8 watanzania wameagiza magari 561,875

Wakati namba D ikielekea kuisha tujikumbushe idadi ya magari yaliyoagizwa chini ya namba D.

Kwa mfano, Namba T100DAA, ili kubadilika na kua T100DAB inahitajika magari 899, herufi ziko 25 kutoa herufi I. Hivyo kubadili herufi moja inahitajika magari 899 mara herufi 25 unapata magari 22,475.

Kubadili kabisa herufi kutoka DAA kwenda EAA inahitaji magari 22,475x25 sawa ma magari 561,875. Kwa maana kwamba kwa namba D ambayo imeanza mwaka 2014 na inaisha mwaka 2022 ni miaka 8 Tanzania imeagiza magari 561,875.

Kwa maana kwamba kwa mwaka Tanzania wastani tunaagiza magari 70,234 ama magari 5,852 kwa mwezi sawa na magari 195 kwa siku.

Hii ina maana kwamba kwa wastani wa watu milioni 60, milioni 30 ikiwa ni nguvu kazi tunaagiza gari 5,852 kwa mwezi ni ishara ya umasikini mkubwa sana.

Mbaya zaidi magari hayo 95% ni second hand ya miaka mingi. Ukiangalia Watanzania wanaagiza magari ya mwaka 2000 hadi 2008. Hayo ni ya kutembelea, ya usafiri kama daladala ni ya kuanzia mwaka 1995 hadi 2000.

Magari ya kuanzia 2010 Tanzania ni ya kutafuta kwa tochi. Serikali pekee na watanzania wachache sana wanaagiza magari ya kuanzia 2018 na kuendelea.

Mimi mwenyewe kimkweche changu ni cha mwaka 1999 niko vidudu😂. Aibu ya mwaka.

Hii nchi miaka 62 ya uhuru bado ni maskini wa kutupwa. CCM imenajisi hii nchi kwa kiwango kisicho na mfano.
😀😀 na serikali waseme wapitishe sheria ya kuaguza gari isiyopungua miaka 10 toka kuzalishwa kwak. Idadi itakuwa chini zaidi
 
Kwani magari ni utajili? Nani alikwambia Watanzania wakinunua magari wengi ndio ishara ya kuondokana na umasikini? Kwanza elezea umasikini upi ulikusudia maana Watanzania wengi ni maskini wa akili unakuta msomi PhD anagang'ana na siasa uyo ni masikini wa akili,
Kuna wasiojua Ccm inavyotafuna nchi kutwa kucheza iyena iyena ao nao ni maskini wa akili na wengine niwezi wa mali za Umma wanaiba mabilion ya kodi zetu wanaenda kuzificha ughaibuni wakifa zile fedha uchukuliwa na wazungu awa nao ni maskini wa akili.
Moja ya kipimo cha umasikini au utajiri (poverty & wealth ranking) ni kuangalia mali mtu anazomiliki kwa mfano nyumba (ya miti & udongo, ya matofali, nyasi fulu suti etc), baiskeli, Pikipiki, gari etc... Mfano kama wewe humiliki hata bodaboda au baiskeli, huna nyumba hata ya matope na nyasi wewe tayari una indicators za umasikini...
 
[emoji3][emoji3] na serikali waseme wapitishe sheria ya kuaguza gari isiyopungua miaka 10 toka kuzalishwa kwak. Idadi itakuwa chini zaidi
Sana tutapokezana za humu humu ndani maana waagizaji watakuwa wachache.
Fikiria Fuso ya mwaka 1988 kuiingiza nchini ujipange na pesa si chini ya million 75+. Je ya mwaka 2012 utailipia pesa ngapi.[emoji28]
 
Tatizo ni kodi zilizowekwa ndio hukwamisha watu wasinunue wengi

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata kama ni kodi, bado haiondoi hoja ya jamaa....
Wenzetu mbona wanannunua mapya, gari ist inauzwa usd 25,000...

Kwahiyo idadi ya mdau aliyotaja, kuna watu wanamiliki gari zaidi ya moja....

Kwa kukadiria, watanzania wenye magari hawazidi 300,000
 
Sana tutapokezana za humu humu ndani maana waagizaji watakuwa wachache.
Fikiria Fuso ya mwaka 1988 kuiingiza nchini ujipange na pesa si chini ya million 75+. Je ya mwaka 2012 utailipia pesa ngapi.[emoji28]
Acha masikhara mkuu😂. Ya mwaka 1988 ni 75+m? Hatari sana
 
Hawataenda peke yao ujue, wataenda na waliowasaidia na pia hata wananchi wengine wote ambao pamoja na kuona yaliyokuwa yanatendeka hawakuchukua hatua yoooteee
Kweli kabisa embu angalia ule uchaguzi wa 2020 watu wanaiba hadharani na bado wanaongoza serikali mpaka leo kupitia wizi wa kurana viongozi wa dini wapo kimya inamaana kuiba kumekuwa halali
 
Sana tutapokezana za humu humu ndani maana waagizaji watakuwa wachache.
Fikiria Fuso ya mwaka 1988 kuiingiza nchini ujipange na pesa si chini ya million 75+. Je ya mwaka 2012 utailipia pesa ngapi.[emoji28]
Ila hela nzuri sana, ukiwa na gari ya mwaka kama 2019 au 2021 ujue ina rahaa yake .. sema ndio ivyo acha tupambane na za 2000 hizi kwenye vipato vya wengi 😀😀😀😀.. kama hiyo ya 1988 itauzwa 75 million andaa kibunda haswaaa kama unataka ya 2012
 
Wakati namba D ikielekea kuisha tujikumbushe idadi ya magari yaliyoagizwa chini ya namba D.

Kwa mfano, Namba T100DAA, ili kubadilika na kua T100DAB inahitajika magari 899, herufi ziko 25 kutoa herufi I. Hivyo kubadili herufi moja inahitajika magari 899 mara herufi 25 unapata magari 22,475.

Kubadili kabisa herufi kutoka DAA kwenda EAA inahitaji magari 22,475x25 sawa ma magari 561,875. Kwa maana kwamba kwa namba D ambayo imeanza mwaka 2014 na inaisha mwaka 2022 ni miaka 8 Tanzania imeagiza magari 561,875.

Kwa maana kwamba kwa mwaka Tanzania wastani tunaagiza magari 70,234 ama magari 5,852 kwa mwezi sawa na magari 195 kwa siku.

Hii ina maana kwamba kwa wastani wa watu milioni 60, milioni 30 ikiwa ni nguvu kazi tunaagiza gari 5,852 kwa mwezi ni ishara ya umasikini mkubwa sana.

Mbaya zaidi magari hayo 95% ni second hand ya miaka mingi. Ukiangalia Watanzania wanaagiza magari ya mwaka 2000 hadi 2008. Hayo ni ya kutembelea, ya usafiri kama daladala ni ya kuanzia mwaka 1995 hadi 2000.

Magari ya kuanzia 2010 Tanzania ni ya kutafuta kwa tochi. Serikali pekee na watanzania wachache sana wanaagiza magari ya kuanzia 2018 na kuendelea.

Mimi mwenyewe kimkweche changu ni cha mwaka 1999 niko vidudu😂. Aibu ya mwaka.

Hii nchi miaka 62 ya uhuru bado ni maskini wa kutupwa. CCM imenajisi hii nchi kwa kiwango kisicho na mfano.
Mkuu umesema vizuri na uchambuzi wako ni sahihi kabisa; ila kuwa ni kipimo cha umaskini utakuwa umepitiliza
 
Pengine ungeweka ulinganishi na nchi nyingine kama kenya au afrika kusini ili uweze kuonyesha haya ni machache au mengi.
Kwa tanzania kodi ya magari bado ipo juu sana yaani 100% ya bei ya ununuzi , hiki nadhani ni kikwazo.

Lakini pia barabra zetu bado sio za kutosha magari mengi hasa miji mikubwa kama Dar, Arusha au Mwanza. Barabara zetu zinahitaji kuwa kubwa ili ziweze kuhimili magari mengi zaidi.
Lakini pia nadhani serikali inahitaji kuweka kizuizi cha uchakavu angalau miaka 10 ili nchi isiendelee kuwa jalala la magari mabovu. Wenzetu hapo Ke gari mwisho miaka 8 tu.
Hapo kwenye paragraph ya pili kwamba barabara hazitoshi sikubaliani na wewe kabisa kwa sababu Watanzania wengi zaidi wako vijijini, hivyo walio vijijini wanahitaji vyombo vya usafiri kama pick up, matrekta, Kenta, Fuso nk ili waweze kubeba pembejeo na mazao kwa urahisi. Kwenye kodi kubwa mpaka kuzidi bei ya kununua gari na kusafirisha nakubaliana na wewe. Kwa mfano ilitakiwa serikali ihamasishe ununuzi wa magari ya kutumika kwenye kilimo na ufugaji huko vijijini kwa kuweka kodi rahisi sana say 40% ya bei ya hayo magari kama pick up, Kenta, Fuso etc... Matrekta, boza za maji, mitambo mbalimbali kodi ingekuwa 10 - 15 %ili kilimo kiwe mechanized.
 
KODI KODI KODI KODI KODI KODI KODI KODI KODI KODI KODI KODI ABOVE ALL CCM AKILI ILE ILE MIAKA NENDA RUDI
 
Wakati namba D ikielekea kuisha tujikumbushe idadi ya magari yaliyoagizwa chini ya namba D.

Kwa mfano, Namba T100DAA, ili kubadilika na kua T100DAB inahitajika magari 899, herufi ziko 25 kutoa herufi I. Hivyo kubadili herufi moja inahitajika magari 899 mara herufi 25 unapata magari 22,475.

Kubadili kabisa herufi kutoka DAA kwenda EAA inahitaji magari 22,475x25 sawa ma magari 561,875. Kwa maana kwamba kwa namba D ambayo imeanza mwaka 2014 na inaisha mwaka 2022 ni miaka 8 Tanzania imeagiza magari 561,875.

Kwa maana kwamba kwa mwaka Tanzania wastani tunaagiza magari 70,234 ama magari 5,852 kwa mwezi sawa na magari 195 kwa siku.

Hii ina maana kwamba kwa wastani wa watu milioni 60, milioni 30 ikiwa ni nguvu kazi tunaagiza gari 5,852 kwa mwezi ni ishara ya umasikini mkubwa sana.

Mbaya zaidi magari hayo 95% ni second hand ya miaka mingi. Ukiangalia Watanzania wanaagiza magari ya mwaka 2000 hadi 2008. Hayo ni ya kutembelea, ya usafiri kama daladala ni ya kuanzia mwaka 1995 hadi 2000.

Magari ya kuanzia 2010 Tanzania ni ya kutafuta kwa tochi. Serikali pekee na watanzania wachache sana wanaagiza magari ya kuanzia 2018 na kuendelea.

Mimi mwenyewe kimkweche changu ni cha mwaka 1999 niko vidudu😂. Aibu ya mwaka.

Hii nchi miaka 62 ya uhuru bado ni maskini wa kutupwa. CCM imenajisi hii nchi kwa kiwango kisicho na mfano.
Unaonaje muasisi wa jf Maxence Melo ukianzisha mchakato wa kuchangisha japo tsh elfu 2 kwa mwezi kwa kila member wa Jf, na kusaidia kutununulia magari wale tusiyonayo ili kuongeza uagizaji na pia kupunguza umaskini wa watanzania?

cc Maxence Melo
 
Hapo kwenye paragraph ya pili kwamba barabara hazitoshi sikubaliani na wewe kabisa kwa sababu Watanzania wengi zaidi wako vijijini, hivyo walio vijijini wanahitaji vyombo vya usafiri kama pick up, matrekta, Kenta, Fuso nk ili waweze kubeba pembejeo na mazao kwa urahisi. Kwenye kodi kubwa mpaka kuzidi bei ya kununua gari na kusafirisha nakubaliana na wewe. Kwa mfano ilitakiwa serikali ihamasishe ununuzi wa magari ya kutumika kwenye kilimo na ufugaji huko vijijini kwa kuweka kodi rahisi sana say 40% ya bei ya hayo magari kama pick up, Kenta, Fuso etc... Matrekta, boza za maji, mitambo mbalimbali kodi ingekuwa 10 - 15 %ili kilimo kiwe mechanized.
Ni kweli lakini huko vijijini kuna barabara? Hebu jiulize barabara zilizopo kijijini kwenu ukiwa na gari litadumu??? Utaweza kuwa na gari la kawaida kijijini kwenu?

Nchi za wenzetu wana barabara zinazoopitika vizuri mpaka vijijini ndio maana magari wanayo.

Lakini pia vijiji vya tanzania wengi wanahali duni ambapo sidhani kama wanaweza kuhimili shs 3,400 ya lita moja ya mafuta. Kimsingi uchumi wa magari upo mijini, vijijini wakinayo wachache kusafirisha wengine inatosha maana wakulima na wafugaji wengi hawawezi kumudu gharama za kumiliki gari wacha tu manunuzi.
 
Wakati namba D ikielekea kuisha tujikumbushe idadi ya magari yaliyoagizwa chini ya namba D.

Kwa mfano, Namba T100DAA, ili kubadilika na kua T100DAB inahitajika magari 899, herufi ziko 25 kutoa herufi I. Hivyo kubadili herufi moja inahitajika magari 899 mara herufi 25 unapata magari 22,475.

Kubadili kabisa herufi kutoka DAA kwenda EAA inahitaji magari 22,475x25 sawa ma magari 561,875. Kwa maana kwamba kwa namba D ambayo imeanza mwaka 2014 na inaisha mwaka 2022 ni miaka 8 Tanzania imeagiza magari 561,875.

Kwa maana kwamba kwa mwaka Tanzania wastani tunaagiza magari 70,234 ama magari 5,852 kwa mwezi sawa na magari 195 kwa siku.

Hii ina maana kwamba kwa wastani wa watu milioni 60, milioni 30 ikiwa ni nguvu kazi tunaagiza gari 5,852 kwa mwezi ni ishara ya umasikini mkubwa sana.

Mbaya zaidi magari hayo 95% ni second hand ya miaka mingi. Ukiangalia Watanzania wanaagiza magari ya mwaka 2000 hadi 2008. Hayo ni ya kutembelea, ya usafiri kama daladala ni ya kuanzia mwaka 1995 hadi 2000.

Magari ya kuanzia 2010 Tanzania ni ya kutafuta kwa tochi. Serikali pekee na watanzania wachache sana wanaagiza magari ya kuanzia 2018 na kuendelea.

Mimi mwenyewe kimkweche changu ni cha mwaka 1999 niko vidudu😂. Aibu ya mwaka.

Hii nchi miaka 62 ya uhuru bado ni maskini wa kutupwa. CCM imenajisi hii nchi kwa kiwango kisicho na mfano.
Kodi

Gari nayotaka Kodi yake ni milion 200
 
Back
Top Bottom