ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Acha wivu mkuuUnajimwambafy huenda hujawahi hata kuagiza gari
Utakuwa ccm wewe.Acha wivu mkuu
Ibilis amesema mimi ni nani nipingeKama kuna watu wataingia motoni makundi kwa makundi basi ni viongozi wa ccm ovyo kabisa katika nchi hii
Ndugu,andika vizuri basi khaaa!!!uandishi gani huo aisee?how old are you??yaani hata mwanangu wa nursery haandiki hivyo!!!huo si uandishi ni UHARO[emoji57][emoji57]Lbda niulize nAmba za gar zinawezakufanana labda ukute lorry Lina t448 dby alfu ukakuta kiriku ipo na nAmba t 450 dby hyo hyo ya gar la lorry hyo ibaweza kutokea
Au Nissan ikawa 450 dfn hyo hyo namb ikakuta ktk gar la Toyota la Carina t450 dfn
Naombeni majibu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Inaweza hata isifike mwakani. E itakua imeanza. InawezaIvi namba D mwisho mwaka huu ..kwa hiyo kuanzia mwakani tutegemee namba E siyo?! Na gari ya mwaka 2000 au 2010 kushuka chini inaweza kuwa namba D kweli?
Namba za magari hazifananiLbda niulize nAmba za gar zinawezakufanana labda ukute lorry Lina t448 dby alfu ukakuta kiriku ipo na nAmba t 450 dby hyo hyo ya gar la lorry hyo ibaweza kutokea
Au Nissan ikawa 450 dfn hyo hyo namb ikakuta ktk gar la Toyota la Carina t450 dfn
Naombeni majibu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hili jambo huwa linanishangaza mnooo, kuna siku nilisikiliza clip ya Chris Lukosi, yule mhehe wa minada ya mtandaoni ya makanikia, akisema TZ kodi huwa inazidi mpaka pesa ya kununulia gari daah...Imagine unanunua bidhaa ambayo kodi ni sawasawa na bei ya bidhaa
But all in all itachezea humo humo hata ukitoa hiyo herufi moja. Further point ya msingi kwamba wabongo ununuzi wa magari ni mdogo, imeeleweka.Mkuu herufi ni 24 na sio 25. Kumbuka herufi I na O zinarukwa. Rudia upya calculations zako
Pumba tupu umemwaga hapaUnajimwambafy huenda hujawahi hata kuagiza gari
Yaa, ni kweli. Tuna kodi kubwa kwenye magari.Hili jambo huwa linanishangaza mnooo, kuna siku nilisikiliza clip ya Chris Lukosi, yule mhehe wa minada ya mtandaoni ya makanikia, akisema TZ kodi huwa inazidi mpaka pesa ya kununulia gari daah...
Angalia mwenyewe wanavyongoza nchi ndio utajua hawa ni watu wa aina gani nchi ina kila rasili mali lakini tunapitwa na nchi kibao na hawataki kukosolewa wala kuondoka madarakaniIbilis amesema mimi ni nani nipinge