Tanzania bans three more Kenyan airlines over COVID-19 protocols

Tanzania bans three more Kenyan airlines over COVID-19 protocols

choko choko muanze nyie alafu mseme tunawaonea wivu, huo wivu tunawaonea watu wanaokufa na njaa wakitegemea msaada wa chakula kwa mabwana zao, nyie pambaneni na hali zenu maana mmeyataka wenyewe

Kipindi kama hiki cha uchaguzi 'system' iliyo madarakani huwa inapanic sana na kuparamia kila kitu, chochote kitakachosaidia kurejesha uzalendo wa watu wake ikiwemo hata kuibua chuki dhidi ya majirani. Haya hutendeka kote duniani, hata Marekani mijadala ya ukuta wao dhidi ya Mexico huibuka kipindi cha uchaguzi.
Nategemea makubwa kuibuka kwa siku zijazo maana uchaguzi wenu wa kipindi hiki utakua na ushindani mkali sana ambao haujatokea siku nyingine huko, ndio mara ya kwanza mnapata mgombea wa upinzani aliyejasiri na anazingua kupita maelezo, niliona jamaa alivyochizi hadi kaweka mapingamizi dhidi ya mgombea wa CCM.
Hapo lazima mpanic sana......
 
Aseee... yani hoteli za kenya ndio zinakwenda kukaliwa na popo hivyo...watalii wengi wanaofika kenya lazima wapite Bongo. Sasa kwa hali hii naona watakuja direct.

Mpaka uhuru aitishe press aseme Tanzania ni safe hakuna covid ndio tuwasamehe..atutangazie hadi kwa mabeberu huko kuwa Tz its safe. Kama walivyoleta propaganda uchwara kuwa tunaficha ugonjwa. Akanushe aseme tuko safe.
Tena apige debe mwezi
 
kwanini awatangazie!?!? kwani nyinyi ni mabubu? mbona musipambane kivyenu na Kenya ipambane kivyake bila kulaumiana. hivi sasa ndio napata picha kamili kuwa "Wabongo hutumia asilimia moja ya akili zao".
Tumia akili kufikiri, uhuru akitaka ndege zake zikanyage bongo adhabu yake anatakiwa kuitangaza TZ Kwanza ni salama haina korona sasa wewe kama Kiswahili sio lugha yako bc rudi darasani Kwanza usitupe tabu kukutafasiria tena wakati ameandika Kwa Kiswahili
 
Raia walio kwenye nchi zote mbili wajiandae kupatiwa masaa ya kuondoka, tunakwenda huko ila kunao baadhi yetu tulishajiandaa kisakolojia kwa hili, miaka yote hii Tanzania imekua ikihangaika na wivu wake dhidi ya Kenya lazima yangetokea na kwa yeyote anayeshangazwa na haya matukio atakua wa ajabu.
Uzuri Wakenya walio Tanzania walishaonyeshwa hizi chuki kwa muda mrefu hivyo huwa wamejiandaa, ila kwa maelfu ya Watanzania walio huku Kenya huwa wamejiachia achia kwa misingi ya kuitana ndugu.
Ww ni hamnazo kabisa na ndugu zako Wakenya wanaoishi huku huwa unawakera sn kwa miropoko yako cz ukweli wanaujua na wanaona maisha wanayoishi huku yako vp na pia wanajua raha wanayoipata kuishi na WaTz ila ww usiyekuwa na exposure umejifungia Kibera unadhani maisha ya watanzania na roho zao ni sawa na zenu ss ww endelea na upumbavu wako mwisho wa siku tutaona who is the looser.
 
Kipindi kama hiki cha uchaguzi 'system' iliyo madarakani huwa inapanic sana na kuparamia kila kitu, chochote kitakachosaidia kurejesha uzalendo wa watu wake ikiwemo hata kuibua chuki dhidi ya majirani. Haya hutendeka kote duniani, hata Marekani mijadala ya ukuta wao dhidi ya Mexico huibuka kipindi cha uchaguzi.
Nategemea makubwa kuibuka kwa siku zijazo maana uchaguzi wenu wa kipindi hiki utakua na ushindani mkali sana ambao haujatokea siku nyingine huko, ndio mara ya kwanza mnapata mgombea wa upinzani aliyejasiri na anazingua kupita maelezo, niliona jamaa alivyochizi hadi kaweka mapingamizi dhidi ya mgombea wa CCM.
Hapo lazima mpanic sana......
Hivi katika saga zinazoendelea, umewahi kusikia kauli yoyote ya waziri achilia mbali ya rais? Kenya haijibiwi na viongozi wakuu, inajibiwa na watendaji wa serikali. Aliyezuia ndege ni Johari, mkurugenzi viwanja vya ndege. Waziri hajasema wala rais hajasema.

Aliyezuia ndege za Tanzania na raia wake ni waziri wenu wa uchukuzi. Na rais wenu anatupiga vijembe kila siku. We are just watching you
 
mkuu, mtalii sio lazima awe ngozi nyeupe. hata mimi naweza kuwa mtalii katika nchi yenu masikini na kulipa hela ndefu na kukusababishia wewe na wenzako kula, kunywa na kuenda chooni. tumia akili kidogo
Tanzania hatuli kwa kutegemea utalii, tuna ziada ya chakula cha kulisha kenya, uganda, sudan, burundi, congo na rwanda. Maghala yamejaa, majumbani kumejaa
 
Kipindi kama hiki cha uchaguzi 'system' iliyo madarakani huwa inapanic sana na kuparamia kila kitu, chochote kitakachosaidia kurejesha uzalendo wa watu wake ikiwemo hata kuibua chuki dhidi ya majirani. Haya hutendeka kote duniani, hata Marekani mijadala ya ukuta wao dhidi ya Mexico huibuka kipindi cha uchaguzi.
Nategemea makubwa kuibuka kwa siku zijazo maana uchaguzi wenu wa kipindi hiki utakua na ushindani mkali sana ambao haujatokea siku nyingine huko, ndio mara ya kwanza mnapata mgombea wa upinzani aliyejasiri na anazingua kupita maelezo, niliona jamaa alivyochizi hadi kaweka mapingamizi dhidi ya mgombea wa CCM.
Hapo lazima mpanic sana......
Umeona unavyoropoka as if hujui chochote kuhusu Tanzanian politics, nani aliyekuambia kuna mwanasiasa anaweza mtoa Magu kwenye kiti? Hakuna uchaguzi ulikuwa moto km wa 2015 na km upinzani ulishindwa kuitoa ccm mwaka 2015 ambapo madudu yalikuwa mengi hawataweza kwa miala ya hv karibuni, Tz co kenya mtanzania co mkenya mtanzania anatumia akili zote za kuambiwa anachanganya na zake, Lisu yuko vzr upstairs lkn hatoshi kwa Magu hata yeye mwenyewe anajua hilo yn lisu hawezi kuongoza nchi wkt Magu yupo, na co Lisu tu kiongozi yeyote Afrika hii angekuwa na bahati mby sn km angelizaliwa Tz ya ss cz baba wa Afrika yupo Tz.

Unawezaje kumpa mtu ajaribu kazi wakati tayari una mfanyakazi ambaye ni mzoefu na anapatikana kwa pesa ndogo? Km utakubali hilo basi wewe utakuwa umerogwa.

Yani tumpe nchi Lisu ili agundue nn wakati mambo yote aliyokuwa anayaimba miaka yote imefanyika ndani ya miaka mitano na yapo mengine hakuwahi kuyaota wala kuyagusia lkn yamefanyika kwa muda mfupi, ss unadhani cc ni wajinga eti tuiharibu nchi yetu tuliyotumia nguvu nyingi kuifikisha hapa kwa kelele za wasiojitambua mfano wako? Umechelewa sana na ofcz reaction unazopata kupitia kwa WaTz wa humu walio wengi should tell you something unique about our vision kwmb tumemuelewa sn Magu so msishangae hata baada ya muda wake tungamuongeza 10 nyingine ili azidi kuwalaza njaa na kuwapumulia matakoni [emoji3][emoji3]
 
Raia walio kwenye nchi zote mbili wajiandae kupatiwa masaa ya kuondoka, tunakwenda huko ila kunao baadhi yetu tulishajiandaa kisakolojia kwa hili, miaka yote hii Tanzania imekua ikihangaika na wivu wake dhidi ya Kenya lazima yangetokea na kwa yeyote anayeshangazwa na haya matukio atakua wa ajabu.
Uzuri Wakenya walio Tanzania walishaonyeshwa hizi chuki kwa muda mrefu hivyo huwa wamejiandaa, ila kwa maelfu ya Watanzania walio huku Kenya huwa wamejiachia achia kwa misingi ya kuitana ndugu.
Endelea kuota mchana
Mlijiona wajuaji sana Sasa Mmekutana na Mwanaume waukweli
Wala hatujari mkianza Sisi tunamaliza
 
Kipindi kama hiki cha uchaguzi 'system' iliyo madarakani huwa inapanic sana na kuparamia kila kitu, chochote kitakachosaidia kurejesha uzalendo wa watu wake ikiwemo hata kuibua chuki dhidi ya majirani. Haya hutendeka kote duniani, hata Marekani mijadala ya ukuta wao dhidi ya Mexico huibuka kipindi cha uchaguzi.
Nategemea makubwa kuibuka kwa siku zijazo maana uchaguzi wenu wa kipindi hiki utakua na ushindani mkali sana ambao haujatokea siku nyingine huko, ndio mara ya kwanza mnapata mgombea wa upinzani aliyejasiri na anazingua kupita maelezo, niliona jamaa alivyochizi hadi kaweka mapingamizi dhidi ya mgombea wa CCM.
Hapo lazima mpanic sana......
unaelezwa hali ya umaskini wenu wa kutegemea chakula cha misaada kila mwaka, alafu unarukia mambo mengine yaani sisi tunaojitosheleza chakula tuwaonee wivu nyang'au nyie, ukiachana na masifa mnayopewa na waume zenu kenya ndo taifa maskin zaidi east africa coz ndo wategemez wa msaada wa chakula kila mwaka
 
Hivi katika saga zinazoendelea, umewahi kusikia kauli yoyote ya waziri achilia mbali ya rais? Kenya haijibiwi na viongozi wakuu, inajibiwa na watendaji wa serikali. Aliyezuia ndege ni Johari, mkurugenzi viwanja vya ndege. Waziri hajasema wala rais hajasema.

Aliyezuia ndege za Tanzania na raia wake ni waziri wenu wa uchukuzi. Na rais wenu anatupiga vijembe kila siku. We are just watching you

Kwani nchi yenu inaongozwa na kauli za vongozi? Suala la kuzuia ndege zetu lazima linakaliwa vikao huko na kuidhinishwa kwenye ofisi kuu, sidhani kama mtendaj wa kawaida anaweza kukurupuka na kufanya maamuzi kama hayo, ila inawezekana ikawa kweli maana huko kwenu ni vigumu kujua nani kichwa na yupi mkia, kila mmoja huibuka na lake, nakumbuka kipndi fulani sijui alikua DC au RC aliamua kufunga mpaka wa Kenya na Tanzania, hehehe yaani jambo kubwa kama hilo ambalo linahusu wizara ya masuala ya kimataifa na ikulu linafanyiwa kaazi na mkuu wa mkoa kisa kaamka vibaya.
 
Nchi huru na yenye demokrasia ya kweli haiwezi kukataza raia wake wasikwende sehemu yoyote, ila kina anayekuja kwenu huko akigeuza kurudi huku lazima apanue mdomo tumpime. Anayetaka kuja kujifia huko aje tu, ila akigeuza ajue tutamuona kama tunavyowaona Watanzania.
Nchi huru yenye demokrasia huwapiga raia wenye kuandama kwa amani kudai wezi wa pesa za umma wachukuliwe hatua?
 
Kwani nchi yenu inaongozwa na kauli za vongozi? Suala la kuzuia ndege zetu lazima linakaliwa vikao huko na kuidhinishwa kwenye ofisi kuu, sidhani kama mtendaj wa kawaida anaweza kukurupuka na kufanya maamuzi kama hayo, ila inawezekana ikawa kweli maana huko kwenu ni vigumu kujua nani kichwa na yupi mkia, kila mmoja huibuka na lake, nakumbuka kipndi fulani sijui alikua DC au RC aliamua kufunga mpaka wa Kenya na Tanzania, hehehe yaani jambo kubwa kama hilo ambalo linahusu wizara ya masuala ya kimataifa na ikulu linafanyiwa kaazi na mkuu wa mkoa kisa kaamka vibaya.
Kwasababu tumewadharau ndio sababu tunawacha viongozi wa ngazi za chini kuwajibu, mawaziri wetu wapo busy vijijini kusimamia miradi ya maendeleo, sio kujibishana na viongozi wa failed state waliokata tamaa hawajui wapi wanakoipeleka nchi.
 
Nchi huru na yenye demokrasia ya kweli haiwezi kukataza raia wake wasikwende sehemu yoyote, ila kina anayekuja kwenu huko akigeuza kurudi huku lazima apanue mdomo tumpime. Anayetaka kuja kujifia huko aje tu, ila akigeuza ajue tutamuona kama tunavyowaona Watanzania.
Kuna kitu hapo hukijui ni kwamba Tz wala haipambani na kenya ili wananchi wake waingie kenya la hasha hiyo corona ni km sababu tu cz ukiangalia uhalisia utagundua kwamba raia walio wengi ni Wakenya wapo wengi huku Tz ilihali WaTz waliopo kenya co wengi ukilinganisha na Wakenya walio Tz, huu ni mpango wa kuwanyong'onyesha Wakenya kiuchumi cz mnaitegemea sn Tz kuliko Tz kuitegemea kenya so Magu ameona muda muafaka kwa WaTz kujiamini na kumiliki Tz yao ndio huu kwahyo anaingiza figisu ili mreact zen yajayo yanafurahisha [emoji116][emoji116]

No kenyans manufactured goods
No kenyans in Tanzanianian companies
No Kenyans in Tanzanianian farming products etc.
 
Kwani nchi yenu inaongozwa na kauli za vongozi? Suala la kuzuia ndege zetu lazima linakaliwa vikao huko na kuidhinishwa kwenye ofisi kuu, sidhani kama mtendaj wa kawaida anaweza kukurupuka na kufanya maamuzi kama hayo, ila inawezekana ikawa kweli maana huko kwenu ni vigumu kujua nani kichwa na yupi mkia, kila mmoja huibuka na lake, nakumbuka kipndi fulani sijui alikua DC au RC aliamua kufunga mpaka wa Kenya na Tanzania, hehehe yaani jambo kubwa kama hilo ambalo linahusu wizara ya masuala ya kimataifa na ikulu linafanyiwa kaazi na mkuu wa mkoa kisa kaamka vibaya.
Ndo mjue kuwa Tanzania ni level nyingine. Nchi ya Kenya inajibiwa na watendaji wa kawaida, hata wizara haijishughulishi na nchi maskini. Magufuri hana muda. Naambiwa kilo moja ya mchele kwenu imefika 6,000/-tsh wakati kwetu ipo 950/-tsh. Ndo ujue kisago tutakacho wapa ni shida.

Ombeni Mungu tusichukie na kuzuia KBX yenu kukanyaga tz.

FYI, Unapopewa mamlaka fulani, umekabidhiwa na usalama wa nchi na raia. Kama nyie mnatubagua, mnapaswa kujibiwa na waliokasimiwa, lakini ombeni Mungu wote wasijibu
 
Wakenya sasa hivi watapona.
Wameshaanza kula malimao.
Ndo maana malimao hapa Tanzania yamepanda bei. Wafanya biashara wanapeleka kuuza kenya kwenye wagonjwa wengi wa corona

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom