Tanzania bans three more Kenyan airlines over COVID-19 protocols

Tanzania bans three more Kenyan airlines over COVID-19 protocols

Raia walio kwenye nchi zote mbili wajiandae kupatiwa masaa ya kuondoka, tunakwenda huko ila kunao baadhi yetu tulishajiandaa kisakolojia kwa hili, miaka yote hii Tanzania imekua ikihangaika na wivu wake dhidi ya Kenya lazima yangetokea na kwa yeyote anayeshangazwa na haya matukio atakua wa ajabu.
Uzuri Wakenya walio Tanzania walishaonyeshwa hizi chuki kwa muda mrefu hivyo huwa wamejiandaa, ila kwa maelfu ya Watanzania walio huku Kenya huwa wamejiachia achia kwa misingi ya kuitana ndugu.
Hakuna mtanzania mwenye wivu na mkenya hakuna Hilo

Kwa lipi Hasa ambalo na kujivunia ambalo sisi hatuna .

Kinachofanyika Sasa Ni piga nikupige na siku zote nyie ndio waanzilishi wa haya Mambo

Sasa mkichokonolewa kidogo mnawashwa kweli kweli .

Tunataka win win situation

Sawa bwana nyng'au
 
Raia walio kwenye nchi zote mbili wajiandae kupatiwa masaa ya kuondoka, tunakwenda huko ila kunao baadhi yetu tulishajiandaa kisakolojia kwa hili, miaka yote hii Tanzania imekua ikihangaika na wivu wake dhidi ya Kenya lazima yangetokea na kwa yeyote anayeshangazwa na haya matukio atakua wa ajabu.
Uzuri Wakenya walio Tanzania walishaonyeshwa hizi chuki kwa muda mrefu hivyo huwa wamejiandaa, ila kwa maelfu ya Watanzania walio huku Kenya huwa wamejiachia achia kwa misingi ya kuitana ndugu.
Umesahau watz tulifukuzwa msumbiji kama mbwa na kuuliwa Leo maeneo hayo yamevamiwa na magaidi watu wa msumbiji wanachinjwa kama kuku na sisi hatuna time nao wacha wanyoroshwe kidogo
Kuhusu watz kufukuzwa Kenya sisi siyo tatizo maana awana wanacho miliki Kenya kama ardhi
 
Umesahau watz tulifukuzwa msumbiji kama mbwa na kuuliwa Leo maeneo hayo yamevamiwa na magaidi watu wa msumbiji wanachinjwa kama kuku na sisi hatuna time nao wacha wanyoroshwe kidogo
Kuhusu watz kufukuzwa Kenya sisi siyo tatizo maana awana wanacho miliki Kenya kama ardhi

Nahisi nimeelewa kwanini huwa ni michango ya ajabu kuhusu Kenya, kumbe haujui chochote kutuhusu, ndio maana huwa nakupuuza.
Sisi huwa tumekaribsha wawekezaji kutoka kote, jamii ya Wachagga wamefanya mambo mengi sana huku, jirani yangu hapa ni Mchagga amejenga apartments za nguvu sana ambazo anaingiza hela balaa, sio Watanzania wote huja kuwa omba omba na waganga huku, kunao wanajituma haswa wa kutokea Arusha na Kilimanjaro, ila wengine wote wakutokea Dodoma, Sumbawanga n.k. ndio kero.
 
Nahisi nimeelewa kwanini huwa ni michango ya ajabu kuhusu Kenya, kumbe haujui chochote kutuhusu, ndio maana huwa nakupuuza.
Sisi huwa tumekaribsha wawekezaji kutoka kote, jamii ya Wachagga wamefanya mambo mengi sana huku, jirani yangu hapa ni Mchagga amejenga apartments za nguvu sana ambazo anaingiza hela balaa, sio Watanzania wote huja kuwa omba omba na waganga huku, kunao wanajituma haswa wa kutokea Arusha na Kilimanjaro, ila wengine wote wakutokea Dodoma, Sumbawanga n.k. ndio kero.
Kuna zaidi ya makampuni 500 ya wakenya huku Tanzania yamewekeza mtaji wa takriban $2B, makampuni ya Tanzania Kenya hayazidi 30. Acacia pamoja na utajiri wao mkubwa na uzungu wao, tuliwatimua sasa hivi hisa zao zipo chini ya serikali yetu. Be careful Kenyans.
 
We don't need Kenya anymore than they need us.

Magufuli administration should build a wall on the northern boarder and make Kenya pay for it through tariffs. Kenya will have to comply to maintain the 60 million people Tanzanian market.

We closed the border for seven years after the collapse of the EAC are we were better for it.

Blow up the East African Community.
 
Nahisi nimeelewa kwanini huwa ni michango ya ajabu kuhusu Kenya, kumbe haujui chochote kutuhusu, ndio maana huwa nakupuuza.
Sisi huwa tumekaribsha wawekezaji kutoka kote, jamii ya Wachagga wamefanya mambo mengi sana huku, jirani yangu hapa ni Mchagga amejenga apartments za nguvu sana ambazo anaingiza hela balaa, sio Watanzania wote huja kuwa omba omba na waganga huku, kunao wanajituma haswa wa kutokea Arusha na Kilimanjaro, ila wengine wote wakutokea Dodoma, Sumbawanga n.k. ndio kero.
[emoji23][emoji23]kumbuka mlipo puuza mambo niliyo waambia kuhusu huu mwaka mkanikebei na kuniita mzee wa mwakani [emoji23] niliwaambia huu mwakani hadi mabeberu watatii mkacheka sasa cheki hadi IMF na WB wametutoa uchumi wa chino bila ya kupenda tRNA kipindi cha korona kila siku nilikuwa nawafundisha kuhusu uchumi wa Kenya na Nigeria ulivyo feki mkawa mnanicheka
Kenya gdl $100 bil mnayo jidai NATO huu ndiyo mchanganuo wake
1) true Kenya GDP no $72 bil hiyo $28bil ni mapishi tu
2)$72 bil to a GDP ya beberu $$48bil kinachobaki in $24bil ndiyo GDP yenu halisi
SO TRUE KENYA GDP NI $24Bil
Ndiyo maana mnategemea mikopo na misahada kwa kila kitu hamuwezi jenga hata km1 ya dizeri kwa sgr yenu kwa Pesa ya ndani
 
Kwan ni serikal ya Tanzania ndio imeanza au nyie ndio mmewashwa washwa sisi tusije kwenu tuna corona Sasa nyie mje kwetu kufanya nn????

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
hamna kiongozi yeyote mwenye akili timamu ataruhusu mtanzania aingie nchi yake bila kupimwa na kuwekwa karantini ya siku 14..misimamo mliyochukua inazidi kuchangia mtengwe na nchi zingine na kwa akili zenu mnajiona victims
 
Kuna zaidi ya makampuni 500 ya wakenya huku Tanzania yamewekeza mtaji wa takriban $2B, makampuni ya Tanzania Kenya hayazidi 30. Acacia pamoja na utajiri wao mkubwa na uzungu wao, tuliwatimua sasa hivi hisa zao zipo chini ya serikali yetu. Be careful Kenyans.
umesahau pia hizo kampuni zimewaajiri watanzania zaidi ya elfu ishirini
 
kwanini awatangazie!?!? kwani nyinyi ni mabubu? mbona musipambane kivyenu na Kenya ipambane kivyake bila kulaumiana. hivi sasa ndio napata picha kamili kuwa "Wabongo hutumia asilimia moja ya akili zao".

Toka awali Tz iliamua kupambana kivyake bila kujali majirani wanapambanaje, Kenya mkajiona kiranja mkaanza kutuchokonoa na kukashifu mapambano yetu, mlitaka tuendelee kuwakenyulia? Mlichokitafuta mmekipata.
 
sasa hata Tanzania yenyewe haijulikani. mtalii lazma apitie Nairobi kwanza ajihisi bado yuko katika ulimwengu wa kwanza na kukaribishwa kwa chai kisha kupewa mahala pa kulala. baadae ndio anavushwa huko msituni kuona wanyama kama wewe kisha anarudishwa Kenya haraka upesi kabla kupata ugonjwa kama malaria na mengineyo ndio arudi kwao.
Hahahah umeongea pumba sema umenichekesha 😂
 
Octoba ifike tukamuongezee miaka ingine zaidi rais wetu pendwa Magufuli.
Nakosaje sasa wakati kula yangu ya 2015 ilienda Kwa mh. Lowasa. Hapa hakuna malipo makubwa zaidi ya kumminia kura tu azidi kuwakaanga hawa [emoji205]
 
sasa hata Tanzania yenyewe haijulikani. mtalii lazma apitie Nairobi kwanza ajihisi bado yuko katika ulimwengu wa kwanza na kukaribishwa kwa chai kisha kupewa mahala pa kulala. baadae ndio anavushwa huko msituni kuona wanyama kama wewe kisha anarudishwa Kenya haraka upesi kabla kupata ugonjwa kama malaria na mengineyo ndio arudi kwao.
Naona unateseka una mihasira hapo haya maneno yako yanaonesha ila pole ndo haina jinsi mukubaliane na hali tu .
 
Mimi pia nilimpa Lowassa kipindi hiki Magu haitaji hata kupiga push up wananchi wameona wenyewe na wameridhika. Magufuli kiboko ya wakenya, Magufuli oyeee
Kipindi kile alipata tabu Sana kujieleza lakini sasa hivi yani nilitaka nusipige kura ila nitaenda kumchagua yeye tu bc harufu narudi cna hata ya mbunge wala diwani
 
Kipindi kama hiki cha uchaguzi 'system' iliyo madarakani huwa inapanic sana na kuparamia kila kitu, chochote kitakachosaidia kurejesha uzalendo wa watu wake ikiwemo hata kuibua chuki dhidi ya majirani. Haya hutendeka kote duniani, hata Marekani mijadala ya ukuta wao dhidi ya Mexico huibuka kipindi cha uchaguzi.
Nategemea makubwa kuibuka kwa siku zijazo maana uchaguzi wenu wa kipindi hiki utakua na ushindani mkali sana ambao haujatokea siku nyingine huko, ndio mara ya kwanza mnapata mgombea wa upinzani aliyejasiri na anazingua kupita maelezo, niliona jamaa alivyochizi hadi kaweka mapingamizi dhidi ya mgombea wa CCM.
Hapo lazima mpanic sana......
Umetoka kwenye mada umeingilia mambo yasiyokuhusu,kifupi hili haliusiani na uchaguzi,chokochoko zenj zimewaponza,sasa soon ndege zenu zitafugia njiwa,Na hatuna mpango kabisa wa kuachia kukanyaga ardhi ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom