made in tanzania_
Senior Member
- Mar 4, 2025
- 114
- 147
- Thread starter
-
- #81
Hakuna sehemu nimesema serikali ijenge offshore drilling ebu nionyeshe sababu unaanza kutunga uongoUliandika serikali ijenge offshore drilling na gas refinery. Unaweza kujenga drilling? Drilling maana yake ni kuchoronga. Kwa hiyo ukisema serikali ijenge drilling maana yake una maanisha serikali ijenge kuchoronga.
Hakuna point ya ajabu uliyoiandika hapa kujua hivi vitu sio ujanja bali ni wazi sisi watanzania tupo tu nyuma ya mda haya mambo yameanza tokea 1900 hukoUkisoma mada, ni wazi contributors wote mpaka sasa hamjui ya kuwa offshore ‘reserves’ iwe mafuta au gas; zote zinakuja na zimechanganyika na maji.
Tofauti ya oil and gas offshore reservoir ni kwamba wakiita oil well ni kwamba ina mafuta mengi na wakiita gas well ina mafuta mengi.
Lakini kwenye distillation process by products ni karibu zile zile. Sema kisima cha mafuta kinatoa mafuta mengi, na kisima cha gas kinatoa gęsi nyingi.
Kisima cha mafuta kina gas kama byproduct, na kisima cha gas kina mafuta kama byproduct.
Huko kwenye petrol chemical uelewa wa wachangiaji wa hii mada ndio sifuri kabisa( hata basics amuelewi.
Ndio ukweli
Wewe uelewa wako wa haya mambo ni mdogo mno.Hakuna point ya ajabu uliyoiandika hapa kujua hivi vitu sio ujanja bali ni wazi sisi watanzania tupo tu nyuma ya mda haya mambo yameanza tokea 1900 huko
Hakuna sababu ya kuleta Imani, wewe niwekee Data kulingana na unachosema tuone kama kipo Viable... Na kuanzia mwanzo point yangu imejikita sehemu moja tu (with everything else being equal); Na penyewe ni Matumizi ya LPG kwenye mapishi na wewe ukasema tutaanza kutumia LPG tunayozalisha baada ya hiyo refinery yako sasa nakuuliza kwenye hio gesi asilia; Utapata LPG kiasi gani na kama issue ni kupikia kwanini if it was possible isiwe piped na kutumika kama ilivyo au itumike kuzalishia umeme ili ndio upikiwe.Endelea kuamini unachoamini na mimi acha niendelee nachoamini tusitumie mda mwingi kubishana mda utaongea
Wewe mwenye uelewa mkubwa umefanya nini cha maana cha kuisaidia nchi ya Tanzania ambayo ni maskini mpaka leo baada ya miaka 60Wewe uelewa wako wa haya mambo ni mdogo mno.
Bora uangaike na unaojadili nao kuliko kuchokoza watu ambao wameingia kwenye huu mjadala kwa bahati mbaya.
Hujui hata justification za LNG plant costs. Kwa kukusoma kwenye tu kichwa chako hujui tofauti ya GAS inayotoka baharini na GAs inayotoka nchi kavh unadhani zote mchakato wake sawa.
Huko kwenye petrochemical industry sidhani kama unajua tofauti ya bidhaa zinazoenda kwenye pharmacy. mbolea. lami, plastic na kadhalika,
Ujinga mtupu, ambao sikutaka kuingilia.
Huko kwenye finance na mikataba wala usiende kwa sababu nina uhakika wa asilimia 100% huna unachokijua technically.
Tafadhali
SawaTUNACHOPIGANIA SASA
Kwenye mradi wa gesi asilia ambao mazungumzo bado yanaendelea tunapendekeza mambo yafuatayo;-
- Mwekezaji asijenge tu kiwanda cha kuchakata gesi asilia (natural gas refinery), bali ajenge na kiwanda cha petrochemical kwa pamoja.
- Mwekezaji azalishe megawatts laki moja (100,000) za umeme kutoka kwenye gesi asili, na bidhaa zitokanazo na gesi asilia kama hydrogen. Zitasaidia kwenye ukuaji wa viwanda.
- Tanzania itafute mwekezaji wa crude oil refinery ambayo itakua Tanga pale ambapo bomba la mafuta la uganda litaishia kutoka uganda.
- Shule za msingi za serikali kuongeza wigo wa masomo ya kingereza (english) na kuwa matatu nayo ni kingereza, hesabu kwa kingereza na science kwa kingereza huku kiswahili kikifundishwa masomo mawili kiswahili na uraia-hii haitawaacha nyuma watoto wa kimaskin kama ilivyo sasa kwamba kuna watoto wanamaliza msingi wakiwa na msingi mzuri wa lugha ya kingereza huku wengine wakiwa na msingi mbovu wa lugha ya kingereza na mitihani iwe sawa kwa shule za msingi za serikali na binafsi ambazo sio za kimataifa.
- Kuanzisha mamlaka itakayohusika na upimaji wa makazi kama ilivyo TRA, tunapendekeza iitwe Tanzania agency of rural and urban planning (TARUP) itahakikisha watu wanajenga kwa kufuata mpangilio ili iwe rahisi kuwasambazia gesi majumbani, na huduma nyingine za kijamii na itakuwa na kazi zifuatazo;-
TEFA (Tanzania Economic Freedom Advocacy) ni wakina nani????
- Kupima nchi nzima.
- Kuhakikisha yeyote anayejenga anafuata mipango miji.
- Kuhakikisha kwenye miji, na vijiji kunakuwa na zoning na sio sasa unakuta gesti imejengwa katikati ya makazi ya watu.
- Kuhakikisha kwenye makazi yote kunapita miundombinu muhimu kama fiber, maji, n.k inapitak kwa kila mwenye nyumba.
- Kutoa elimu ya mipango miji na faida zake kwa wananchi.
- Polisi wa mipango miji watahakikisha wanaojenga wanafuata masharti na kuwatia nguvuni wote wanaojenga kiholela a.k.a wakaidi.
- Mapato yote ya majengo watakuwa wanakusanya wao.
Ni jamii yenye malengo ya kupigania Tanzania itumie rasilimali zake kiukamilifu ili kuondoa umaskini unaosumbua kaya nyingi.
MAONO (Vision)
Kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda.
Kama nilivyokwambia sikutakiwa kuingilia mada yakoWewe mwenye uelewa mkubwa umefanya nini cha maana cha kuisaidia nchi ya Tanzania ambayo ni maskini mpaka leo baada ya miaka 60
Afrika kuna vituko sana mtu anajinasibu ana akili sana ilihali hana msaada wowote kwa nchi yake
Kwani usingechangia ungenipunguzia niniKama nilivyokwambia sikutakiwa kuingilia mada yako
Kuna wasaa inabidi tuache mjadili ujinga wenu, sasa aina maana huko serikalini na wenyewe hawaoni ujinga wenu.
Wewe huna hata abc za uwekezaji wa nishati na wachangiaji wenzako. Kuna wasaa inabidi wengine wakae kimya kuacha mfuraishane.
Sasa hata sijui nilijiingiza vipi
JF inasomwa dunianiKwani usingechangia ungenipunguzia nini
ungekua na akili usingekimbia nchi ya Tanzania na kwenda abtoad kudandia mafanikio ya watu wengi waliopigania kwa jasho na damu
Sisi hatujakimbia nchi tuko hapa hapa Tanzania tunaipigania
Busara usiite watu wajinga ilihali wewe umekimbia nchi kwenye mapiganoJF inasomwa duniani
Kuna wasaa tunaacha mjifurahishe
Ujinga ukizidi tunaingilia kati inapobidi.
Wewe huna uelewa wa kutosha wa hii mada uliyo anzisha.
Busara ni kuachana na mimi na kuendelea na kurudi kubishana ulioanza nao.
Jamani si nimesema niliingia kwa bahati mbaya; tuishie hapo.
Endelea na mada yako, kuna wengine watajifunza vitu kwa michango yenu sio yote nayopinga hayana elimu.
Achana na mimi cha ubishi, nyie endeleeni na mjadala wenu,
Aliekwambia nimekimbia nchi nani? Achana na zuga za JF, jikite kwenye hoja za mada yako.Busara usiite watu wajinga ilihali wewe umekimbia nchi
Watu wenye akili wote duniani hawakimbii matatizo wanabaki kuyapigania
Una uzoefu wa taaluma gani?TUNACHOPIGANIA SASA
Kwenye mradi wa gesi asilia ambao mazungumzo bado yanaendelea tunapendekeza mambo yafuatayo;-
- Mwekezaji asijenge tu kiwanda cha kuchakata gesi asilia (natural gas refinery), bali ajenge na kiwanda cha petrochemical kwa pamoja.
- Mwekezaji azalishe megawatts laki moja (100,000) za umeme kutoka kwenye gesi asili, na bidhaa zitokanazo na gesi asilia kama hydrogen. Zitasaidia kwenye ukuaji wa viwanda.
- Tanzania itafute mwekezaji wa crude oil refinery ambayo itakua Tanga pale ambapo bomba la mafuta la uganda litaishia kutoka uganda.
- Shule za msingi za serikali kuongeza wigo wa masomo ya kingereza (english) na kuwa matatu nayo ni kingereza, hesabu kwa kingereza na science kwa kingereza huku kiswahili kikifundishwa masomo mawili kiswahili na uraia-hii haitawaacha nyuma watoto wa kimaskin kama ilivyo sasa kwamba kuna watoto wanamaliza msingi wakiwa na msingi mzuri wa lugha ya kingereza huku wengine wakiwa na msingi mbovu wa lugha ya kingereza na mitihani iwe sawa kwa shule za msingi za serikali na binafsi ambazo sio za kimataifa.
- Kuanzisha mamlaka itakayohusika na upimaji wa makazi kama ilivyo TRA, tunapendekeza iitwe Tanzania agency of rural and urban planning (TARUP) itahakikisha watu wanajenga kwa kufuata mpangilio ili iwe rahisi kuwasambazia gesi majumbani, na huduma nyingine za kijamii na itakuwa na kazi zifuatazo;-
TEFA (Tanzania Economic Freedom Advocacy) ni wakina nani????
- Kupima nchi nzima.
- Kuhakikisha yeyote anayejenga anafuata mipango miji.
- Kuhakikisha kwenye miji, na vijiji kunakuwa na zoning na sio sasa unakuta gesti imejengwa katikati ya makazi ya watu.
- Kuhakikisha kwenye makazi yote kunapita miundombinu muhimu kama fiber, maji, n.k inapitak kwa kila mwenye nyumba.
- Kutoa elimu ya mipango miji na faida zake kwa wananchi.
- Polisi wa mipango miji watahakikisha wanaojenga wanafuata masharti na kuwatia nguvuni wote wanaojenga kiholela a.k.a wakaidi.
- Mapato yote ya majengo watakuwa wanakusanya wao.
Ni jamii yenye malengo ya kupigania Tanzania itumie rasilimali zake kiukamilifu ili kuondoa umaskini unaosumbua kaya nyingi.
MAONO (Vision)
Kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda.
Wewe mwenyewe ulisema hutakaa urudi Tanzania labda kuwe na msibaAliekwambia nimekimbia nchi nani? Achana na zuga za JF, jikite kwenye hoja za mada yako.
Una-squatter kila kona hizo huduma za jamii unapelekaje jifunze kutumia akiliUna uzoefu wa taaluma gani?
Gesti zijengwe porini, maana hujui kuwa gesti house ni huduma sawa na soko. Sasa hapo ambapo sio makazi ya watu ni wapi ungetoa mfano.
Nani alikuambia kila mtu anahitaji gesi ya kuunganishwa na bomba hujui kuna watu wanatumia gesi za mitungi na umeme kupikia.
Unasema kiwanda cha kusafisha mafuta kijengwe Tanga unampangia mwenye mafuta yake? Unafahamu tulikuwa na kiiwanda kinaitwa Tipper kule Kigamboni unajua kilikufaje?
Uchumi hauendeshwi kwa amri bali nadharia tena zilizothibitika kusaidia ukuaji uchumi sio blah blah za watu ambao hata uzoefu hawana.
Nchi hii ina matatizo mengi ya msingi ya kusolve hahiitaji amri za marufuku ili kusonga mbele.
Mkuu soma study ya huyu jamaa kwanza alafu rudi:Hao TPDC, TANOIL au GASCO kipi cha maana walichofanya hawana mtaji wowote ndo changamoto yao
Hivi vitu vinahitaji fedha na sio maneno mengi
Kiongozi dili na hoja za mada yako. hiko ndio cha msingi.Wewe mwenyewe ulisema hutakaa urudi Tanzania labda kuwe na msiba
Hapana wewe ndo umeanza kutuhumu watu ni wajinga na hawana akili hiyo ni personal attack kwa hiyo nakukumbusha kuhusu wewe na kauli zako za nyumaKiongozi dili na hoja za mada yako. hiko ndio cha msingi.
Mtandaoni kila mtu anaweza amua kusema anaishi wapi na wala aijalishi uongo au la.
Mtu awe ughaibuni au Mvomero kama
nilipo kwa sasa mradi atupeani hela za kumudu maisha kila mtu na lakwe.
Usiangaike sana na watu usiowajua, hapa hoja tu; taahira ni taahira tu awe USA, UK, France, China, Mbagala au popote duniani; atabaki kuwa taahira tu.
Ndio maana JF kila mtu anajichagulia tu halipo, usiangaike na hadithi za watu wanaposema walipo.
Kama vile umenitungis uongo.Hapana wewe ndo umeanza kutuhumu watu ni wajinga na hawana akili hiyo ni personal attack kwa hiyo nakukumbusha kuhusu wewe na kauli zako za nyuma
Mimi sio muumini wa article za wazungu kwa sababu usitegemee mzungu awe na uchungu na Tanzania au Afrika wanapigania maslai yaoMkuu soma study ya huyu jamaa kwanza alafu rudi: