Tanzania envoy temporarily deactivates Twitter account after criticism from Kenyans

Tanzania envoy temporarily deactivates Twitter account after criticism from Kenyans

Mnaonwa kama kituko duniani kwa ujuha wenu, ona mnavyosemwa na media mbali mbali duniani Tanzania Kwenye Vyombo Mbalimbali Duniani

Wao wanalo wanalolitaka na kulipigania, wao hawamtaki Magufuli na Watanzania waliamua huyo ndio Rais wao.

Ni bora wapige kelele wawezavyo, lakini mambo yetu yanaende vyema na haraka kuliko kuwa kama Kenya - linchi linasifiwa lakini watu wake wanalala na njaa, wanaishi kwenye madebe kama njiwa, maji shida, umeme wa mgao, ajira hakuna, ufusadi uliyopiyiliza, ukabila.
 
Poor quality wewe ndio ulienda kupima? Wacha upuuzi bwana, kama wewe sio engineer kaa kimya.
Acha uzembe wa kufikiria, lidaraja linajengwa na Wachina, kabla hata halijaanza tumika linaporomoka - unahitaji kupima nini hapo?

Almost kila mwezi maghorofa yanaanguka uko, imekua nyumba za udongo?

Wewe nawe ni mlevi wa Wanzuki?
 
hata mwanzo ilikuwa hivi, mwisho nani alikuja kuonekana juha, na nani yuko timamu.

so take a pill and relax.

Mwanzo upi na mwisho upi..... au huo mwanzo na mwisho vililikua lini...
 
tunaiponzaje dunia wewe mama!!!! , wakati wengine mnachanjwa kujiwekea chanjo!!

au chanjo nayo ni unknown flying objects.

Mngekua mnabaki ndani huko mkufie kufie huko hakuna yeyote angewasema, ila sasa mnazurula kwenye mataifa ya watu na kuiponza dunia kwa maambukizi, na ndio maana mnasemwa na vyombo vyote vya habari kwa ujuha wenu.
Hizo tanzia tunazozisoma kwenu hazingekua issue kwa dunia, ila sasa hamkai ndani mfie huko. Sema pia utakuta wenye hela kati yenu wameshaanza kupokea chanjo kimya kimya, walalahoi wa Mbagalla kama wewe ndio mumeachwa muendelee kuimba nyimbo za kizalendo dhidi ya corona.
 
Mngekua mnabaki ndani huko mkufie kufie huko hakuna yeyote angewasema, ila sasa mnazurula kwenye mataifa ya watu na kuiponza dunia kwa maambukizi, na ndio maana mnasemwa na vyombo vyote vya habari kwa ujuha wenu.
Hizo tanzia tunazozisoma kwenu hazingekua issue kwa dunia, ila sasa hamkai ndani mfie huko. Sema pia utakuta wenye hela kati yenu wameshaanza kupokea chanjo kimya kimya, walalahoi wa Mbagalla kama wewe ndio mumeachwa muendelee kuimba nyimbo za kizalendo dhidi ya corona.
kama haituui sisi mpaka tukuambukize wewe mlalahoi uisiyepata mlo kamili kutokea kenya, kwanini usiwahi chanjo!!!

tukiwaambia sisi tunaimbisha dunja chorus unabisha, angalia unajifunga na maandiko yako mwenyewe hapa.
 
kama haituui sisi mpaka tukuambukize wewe mlalahoi uisiyepata mlo kamili kutokea kenya, kwanini usiwahi chanjo!!!

tukiwaambia sisi tunaimbisha dunja chorus unabisha, angalia unajifunga na maandiko yako mwenyewe hapa.

Kama nilvyosema dunia haijali kuhusu hizo tanzia zenu inavyowaua, ila tatizo mnazurula na kuingia nchi za watu na kuambukiza....yaani niliona hata Oman imewatia pini, ukizingatia wale wana undugu sana na visiwani huko, aisei mumekua kituko.
 
Kama nilvyosema dunia haijali kuhusu hizo tanzia zenu inavyowaua, ila tatizo mnazurula na kuingia nchi za watu na kuambukiza....yaani niliona hata Oman imewatia pini, ukizingatia wale wana undugu sana na visiwani huko, aisei mumekua kituko.
inapofikia hatua hii ndipo ufikiri uwezo wa hiyo chanjo inayopigiwa chapuo na vuvuzela kama wewe.

wewe umechanjwa surua unaogopaje kukaa na mtu mwenye nayo!!!

wao na nyinyi mungiki ndio wa kwanza kutamka hamtaki muingiliano na watz, but we dont know what happen!!! mpaka bado tunaingia. kama kuna ban wapige tu, halafu waone kama kuna mtu atalilia kwenda kwao.
 
musipoweka habari wazi, tutawasaidia.
huyo Simbakibuenye hatokaa aisahau siku kama ya leo maishani mwake kwa kipigo alichopokea.
huo ni mwanzo tu. uzuri, media za Kenya zipo huru, na wananchi pia wanajua haki zao. we will make you toe the line.
Ungeanza kujisaidia kwa kuachana kulala kwenye nyumba za mabati hapo dump kibera slum ungefanya la maana sana kuliko kuingilia habari za nchi ambayo hata aikuhusu
 
unajilinganisha na uhuru au sonko[emoji23][emoji23], ni njaa imekulevya au bangi kabla ya kula!!!
Dogo, acha nikupee somo! Hao ni WATUMISHI wa umma, yaani Public SERVANTS! Sio miungu wadogo! They take orders from us! We pay them to represent us!
 
Dogo, acha nikupee somo! Hao ni WATUMISHI wa umma, yaani Public SERVANTS! Sio miungu wadogo! They take orders from us! We pay them to represent us!
nimekuuliza unajilinganisha na sonko au uhuru!!!!

sababu wote mnapumua au??kwahiyo wakienda ndivyo sivyo huwa mnawashambulia kupitia twitter[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Dogo, acha nikupee somo! Hao ni WATUMISHI wa umma, yaani Public SERVANTS! Sio miungu wadogo! They take orders from us! We pay them to represent us!
Sio miungu watu eh? Sasa tuwafanyeje jameni hawa mchwa?

Level ya uhuru wa habari imetufikisha hapa! Na hakuna cha kufanya wacha tu tuwaseme majirani wa south kujipooza na uchungu wa kuzaliwa kunyaland.

IMG_20210226_144122.jpg
 
Media huru
Huko kwenu ata kufikiria kuandika ni offense.
Huo ndio uhuru au fujo? Everything when it goes unchecked it becomes disaster.

Sasa ndio hasira zenu na chuki mngeelekeza huko kwenye hayo yanasemwa huko magazetini sio kuparamia watu twitter. Sasa mnaandikiwa hivyo ili nini? Na nyie mjifunze kuiba sio?
 
nimekuuliza unajilinganisha na sonko au uhuru!!!!

sababu wote mnapumua au??kwahiyo wakienda ndivyo sivyo huwa mnawashambulia kupitia twitter[emoji23][emoji23][emoji23].
Tofauti ni ipi? Hela, damu yao ya kijani au wao hunya kinyesi cha samawati? Naona mbona huwa mnaburuzwa kibabe kama watoto wadogo!
 
Sio miungu watu eh? Sasa tuwafanyeje jameni hawa mchwa?

Level ya uhuru wa habari imetufikisha hapa! Na hakuna cha kufanya wacha tu tuwaseme majirani wa south kujipooza na uchungu wa kuzaliwa kunyaland.

View attachment 1712381
Utamu wa kuwa na media huru! Sio zile za "TUNAWAONYA"
Lazima mipambio iwe ya kusifia tu au iripoti kile Miungu wadogo wangependa.
 
inaelekea media zenu zinauza sana habari za tanzania.
wacha tuone kama zitatangaza tena huo upupu.

ndio utajua nguvu ya barozi.
Media zetu most of the news ni za Kenya Ila lazima ziguzie international news pia. Tatizo zikiguzia tu Tanzania hivi inakua trending news kwenu. Nadhani tatizo ni kuwa Watanzanua hutazama Sana Runinga za Kenya meanwhile hakuna mkenya hushughulika na stesheni za Tanzania so mkiongelea Kenya sii habari huku.
 
Back
Top Bottom