Uhuru n Umoja
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,160
- 2,224
Mnaonwa kama kituko duniani kwa ujuha wenu, ona mnavyosemwa na media mbali mbali duniani Tanzania Kwenye Vyombo Mbalimbali Duniani
Acha uzembe wa kufikiria, lidaraja linajengwa na Wachina, kabla hata halijaanza tumika linaporomoka - unahitaji kupima nini hapo?Poor quality wewe ndio ulienda kupima? Wacha upuuzi bwana, kama wewe sio engineer kaa kimya.
hata mwanzo ilikuwa hivi, mwisho nani alikuja kuonekana juha, na nani yuko timamu.
so take a pill and relax.
mwanzo na mwisho wa uwezo wako wa kufikiri.Mwanzo upi na mwisho upi..... au huo mwanzo na mwisho vililikua lini...
Kwa hivyoo hao wote wanaolalamika namna mnavyoiponza dunia, unawazidi kwa upeo.mwanzo na mwisho wa uwezo wako wa kufikiri.
tunaiponzaje dunia wewe mama!!!! , wakati wengine mnachanjwa kujiwekea chanjo!!Kwa hivyoo hao wote wanaolalamika namna mnavyoiponza dunia, unawazidi kwa upeo.
tunaiponzaje dunia wewe mama!!!! , wakati wengine mnachanjwa kujiwekea chanjo!!
au chanjo nayo ni unknown flying objects.
Na huyu rais afya yake si salama,Huyu mzee saa zingine fuse ya ubongo huwa inaungua.
kama haituui sisi mpaka tukuambukize wewe mlalahoi uisiyepata mlo kamili kutokea kenya, kwanini usiwahi chanjo!!!Mngekua mnabaki ndani huko mkufie kufie huko hakuna yeyote angewasema, ila sasa mnazurula kwenye mataifa ya watu na kuiponza dunia kwa maambukizi, na ndio maana mnasemwa na vyombo vyote vya habari kwa ujuha wenu.
Hizo tanzia tunazozisoma kwenu hazingekua issue kwa dunia, ila sasa hamkai ndani mfie huko. Sema pia utakuta wenye hela kati yenu wameshaanza kupokea chanjo kimya kimya, walalahoi wa Mbagalla kama wewe ndio mumeachwa muendelee kuimba nyimbo za kizalendo dhidi ya corona.
kama haituui sisi mpaka tukuambukize wewe mlalahoi uisiyepata mlo kamili kutokea kenya, kwanini usiwahi chanjo!!!
tukiwaambia sisi tunaimbisha dunja chorus unabisha, angalia unajifunga na maandiko yako mwenyewe hapa.
inapofikia hatua hii ndipo ufikiri uwezo wa hiyo chanjo inayopigiwa chapuo na vuvuzela kama wewe.Kama nilvyosema dunia haijali kuhusu hizo tanzia zenu inavyowaua, ila tatizo mnazurula na kuingia nchi za watu na kuambukiza....yaani niliona hata Oman imewatia pini, ukizingatia wale wana undugu sana na visiwani huko, aisei mumekua kituko.
Ungeanza kujisaidia kwa kuachana kulala kwenye nyumba za mabati hapo dump kibera slum ungefanya la maana sana kuliko kuingilia habari za nchi ambayo hata aikuhusumusipoweka habari wazi, tutawasaidia.
huyo Simbakibuenye hatokaa aisahau siku kama ya leo maishani mwake kwa kipigo alichopokea.
huo ni mwanzo tu. uzuri, media za Kenya zipo huru, na wananchi pia wanajua haki zao. we will make you toe the line.
Dogo, acha nikupee somo! Hao ni WATUMISHI wa umma, yaani Public SERVANTS! Sio miungu wadogo! They take orders from us! We pay them to represent us!unajilinganisha na uhuru au sonko[emoji23][emoji23], ni njaa imekulevya au bangi kabla ya kula!!!
nimekuuliza unajilinganisha na sonko au uhuru!!!!Dogo, acha nikupee somo! Hao ni WATUMISHI wa umma, yaani Public SERVANTS! Sio miungu wadogo! They take orders from us! We pay them to represent us!
Sio miungu watu eh? Sasa tuwafanyeje jameni hawa mchwa?Dogo, acha nikupee somo! Hao ni WATUMISHI wa umma, yaani Public SERVANTS! Sio miungu wadogo! They take orders from us! We pay them to represent us!
Media huruSio miungu watu eh? Sasa tuwafanyeje jameni hawa mchwa?
Level ya uhuru wa habari imetufikisha hapa! Na hakuna cha kufanya wacha tu tuwaseme majirani wa south kujipooza na uchungu wa kuzaliwa kunyaland.
View attachment 1712381
Huo ndio uhuru au fujo? Everything when it goes unchecked it becomes disaster.Media huru
Huko kwenu ata kufikiria kuandika ni offense.
Tofauti ni ipi? Hela, damu yao ya kijani au wao hunya kinyesi cha samawati? Naona mbona huwa mnaburuzwa kibabe kama watoto wadogo!nimekuuliza unajilinganisha na sonko au uhuru!!!!
sababu wote mnapumua au??kwahiyo wakienda ndivyo sivyo huwa mnawashambulia kupitia twitter[emoji23][emoji23][emoji23].
Utamu wa kuwa na media huru! Sio zile za "TUNAWAONYA"Sio miungu watu eh? Sasa tuwafanyeje jameni hawa mchwa?
Level ya uhuru wa habari imetufikisha hapa! Na hakuna cha kufanya wacha tu tuwaseme majirani wa south kujipooza na uchungu wa kuzaliwa kunyaland.
View attachment 1712381
Media zetu most of the news ni za Kenya Ila lazima ziguzie international news pia. Tatizo zikiguzia tu Tanzania hivi inakua trending news kwenu. Nadhani tatizo ni kuwa Watanzanua hutazama Sana Runinga za Kenya meanwhile hakuna mkenya hushughulika na stesheni za Tanzania so mkiongelea Kenya sii habari huku.inaelekea media zenu zinauza sana habari za tanzania.
wacha tuone kama zitatangaza tena huo upupu.
ndio utajua nguvu ya barozi.