Tanzania haimo kwenye Main List ya walioalikwa Kenya Uapisho wa Ruto

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Hii si fair hata kidogo, sidhani kama nchi ilikuwa obsessed na Uchaguzi wa Kenya kama Tanzania yetu mpaka tumepeleka Rais wetu Mstaafu kusimamia uchaguzi.

Yaani nimesoma gazetini wageni waliolikwa na Ruto naona Museveni, Nigeria, Ghana, AK, Ethiopia, Misri mpaka Qatar na Uingereza, China, India mpaka Russia lakini nimetafuta jina la Tanzania yetu bila ya mafanikio.

Jamani tunakosea wapi? Dunia nzima imetajwa, sisi hola, โ€ฆ

 
Ukapimwe mkojo braza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ