Tanzania haimo kwenye Main List ya walioalikwa Kenya Uapisho wa Ruto

Tanzania haimo kwenye Main List ya walioalikwa Kenya Uapisho wa Ruto

Nimesema kwenye main list sijaona jina la Tanzania, Mbona Uganda imetajwa ?

Unajua kusoma na unaelewa kimombo au ulikimbia umande? Link uliyoleta inasema:

Ruto, Museveni camaraderie​

East African Presidents have been invited, with Uganda’s President Yoweri Museveni, Dr Ruto’s ally, expected to attend.

Kwenye link nchi zote za EAC zimetajwa under the umbrella of EAC. Si Congo, Rwanda wala Burundi zimetanjwa. Kama kuna link nyingine ambayo haitaji ungeleta hiyo link tukusomee tukutafsirie inaoneka kimalkia kinakupiga chenga.

NB: camaraderie means friendship. Jiongeze
 
Unajua kusoma na unaelewa kimombo au ulikimbia umande? Link uliyoleta inasema:

Ruto, Museveni camaraderie​

East African Presidents have been invited, with Uganda’s President Yoweri Museveni, Dr Ruto’s ally, expected to attend.

Kwenye link nchi zote za EAC zimetajwa under the umbrella of EAC. Si Congo, Rwanda wala Burundi zimetanjwa. Kama kuna link nyingine ambayo haitaji ungeleta hiyo link tukusomee tukutafsirie inaoneka kimalkia kinakupiga chenga.

NB: camaraderie means friendship. Jiongeze

Ndicho nilichomaanisha, zimealikwa nchi 40, kwa hiyo sisi tuko kwenye “ wengineo“ kwa maana muhimu wote wametajwa kwa majina kama Uganda, Ethiopia, Ghana, AK au hata Urusi na Qatar!
 
Ndicho nilichomaanisha, zimealikwa nchi 40, kwa tuko kwenye “ wengineo“ kwa maana muhimu wametajwa kwa majina kama Uganda, Ethiopia, Ghana, AK au hata Urusi!

Huna akili.

Mstari wa kwanza kabisa unasema EAC afu bado unataka nchi moja moja itwaje.

"Also expected are representatives of the European Union" Hapa imetajwa European union as a whole nao utasema hawajaalikwa? au unataka orodha itaje nchi moja moja za Ulaya zote?

Unajua hiyo sio official invitation bali habari ya kwenye gazeti tu? Unajua kila nchi inapata mualiko wake kivyake?

Huko shuleni ulisomea ujinga?
 
Huna akili.

Mstari wa kwanza kabisa unasema EAC afu bado unataka nchi moja moja itwaje.

"Also expected are representatives of the European Union" Hapa imetajwa European union as a whole nao utasema hawajaalikwa? au unataka orodha itaje nchi moja moja za Ulaya zote?

Unajua hiyo sio official invitation bali habari ya kwenye gazeti tu? Unajua kila nchi inapata mualiko wake kivyake?

Huko shuleni ulisomea ujinga?

Lakini Uganda imetajwa, au Uganda siyo EAC?
 
Hii si fair hata kidogo, sidhani kama nchi ilikuwa obsessed na Uchaguzi wa Kenya kama Tanzania yetu mpaka tumepeleka raisi wetu Mstaafu kusimamia uchaguzi, yaani nimesoma Gazetini wageni waliolikwa na Ruto naona Museveni, Nigeria, Ghana, AK, Ethiopia, Misri mpaka Qatar na Uingereza, China, India mpaka Russia lkn nimetafuta Jina la Tanzania yetu bila ya mafanikio, jamani tunakosea wapi? Dunia nzima imetajwa, sisi hola, uwiii

Shida ni kiingereza au East African nations have been invited...hii kauli umeielewaje mkuu.Kwa Tz sio EA nation?
 
Hujui lugha. Link yako inasema:

Ruto, Museveni camaraderie​

Google maana ya hilo neno nilifanya kukusaidia kwenye last post naona huelewi.

Una upeo mdogo napoteza muda wangu. I'm out.
Shida ni kiingereza au East African nations have been invited...hii kauli umeielewaje mkuu.Kwa Tz sio EA nation?

Sina shida na hilo, wale wageni muhimu wametajwa kwa majina kama Uganda, sisi tuko kwenye nyongeza!
 
Naona ume-" read through the lines" badala ya "ku-read between the lines "...........Tanzania iko kwenye "East African presidents"😂😂😂...M7 ametajwa kutokana na ushikaji wake na the 5th🇰🇪n President....
 
Hii si fair hata kidogo, sidhani kama nchi ilikuwa obsessed na Uchaguzi wa Kenya kama Tanzania yetu mpaka tumepeleka raisi wetu Mstaafu kusimamia uchaguzi, yaani nimesoma Gazetini wageni waliolikwa na Ruto naona Museveni, Nigeria, Ghana, AK, Ethiopia, Misri mpaka Qatar na Uingereza, China, India mpaka Russia lkn nimetafuta Jina la Tanzania yetu bila ya mafanikio, jamani tunakosea wapi? Dunia nzima imetajwa, sisi hola, uwiii

Siasa za Tanzania zinaongozwa na vilaza watupu,yaani jirani yetu anapata kiongozi mwingine,kwanza tulichelewa kutoa pongezi,hats ya kinafki(,maana ccm ni pro baba,)pili tukaamua kusitisha kuuza mahindi Kenya!wakati huu jirani ndio ametoka kwenye uchaguzi! Na nchi ipo vulnerable!!sijuhi mshauri wa Samia ni nani?atakuwa Kile kituko Steve Nyerere!!?
 
Naona ume-" read through the lines" badala ya "ku-read between the lines "...........Tanzania iko kwenye "East African presidents"😂😂😂...M7 ametajwa kutokana na ushikaji wake na the 5th🇰🇪n President....

Zimealikwa nchi 40 Afrika Union, EAC au hata EU zote zimealikwa pia, binafsi nilitegemea nione Jina la Tanzania, nimelitafuta sijaliona, kwa hiyo sisi ni kama tu Chad au sijui Gambia kwa maana nao wamealikwa pia katika hao 40 …
 
Nimekuelewa vizuri,Ruto na M7 ni marafiki labda ndio sababu.
 
Sna hakika kama mleta mada kama anatumia Kichwa au Makalio kufikiri, maana muandiko huu ni wa mtu anayefikiri kwa makalio.
 
Mwambie kutawala nchi ni pamoja uwepo wa chakula mezani.
Unga wa ugali anao?Kama ajatualika atakuja yeye mwenyewe na leo serikali imesitisha utoaji wa vibali vya kusafirisha Mahindi kwenda Kenya!
 
Unasema mlileta rais wenu mstaafu alikuja Kenya kusimamia uchaguzi alafu unataka tena tuwaalike ndio useme mlisimamia kuapishwa kwa Ruto
Mjinga wewe
 
Naona ume-" read through the lines" badala ya "ku-read between the lines "...........Tanzania iko kwenye "East African presidents"😂😂😂...M7 ametajwa kutokana na ushikaji wake na the 5th🇰🇪n President....
Na sisi tungetajwa kwa sababu Kikwete na Chande yule JM mstaafu walishiriki katika hatua nzito za Uchaguzi
 
Back
Top Bottom