Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Tanzania wamuagize balozi nchini Kenya atuwakikishe. Mh Rais Museveni kaheshimishwa zaidi kuliko wengine wa EAC. Hili zoezi linaratibiwa na Rais anaye ngatuka. Na baada ya matokeo ya Chibugati na kesi kuandaliwa mlitahadharishwa nchi nyengine msiingilie mambo ya Kenya.