Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Ndio aliwapuuza kabisaa,ni katika kipindi chake ambako sio tuu alikuwa hatengi pesa za kutosha kwenye wizara ya kilimo bali hata kiduchu zilizotengwa zilifika chini ya 40%..

Ni katika kipindi hicho Mazao mengi yaliporomoka bei na yakaacha kuuzika kwa sababu aliharibu mnyororo wa biashara..

Sasa ndio mama anahangaika kufufua..
 
Sasa hivi serikali inalipa wafanyakazi wake 500bn kwa mwezi.

Tu assume serikali iwaongezee kila mfanyakazi wake 50% ya mshahara wake.

Hii ina maana wage bili itakuwa 750bn kwa mwezi.

Je serikali haiwezi kupata hiyo 250bn kwa mwezi?
Kwa nini u'assume kwamba mfanyakazi ataongezewa 50% ya mshahara wakati serikali imesema ni 23%

Na hiyo wage bill umeipata wapi?
 
Habari za huko? Wale wanyama wanaendeleaje? Habari ya Ile airport ? Mpaka Sasa imeingiza watalii wangapi?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
JK alijitahidi Sana kwenye kilimo kuliko Rais yeyote..

Sio tuu alitoa ruzuku lakini alikuwa anataka ku transform kilimo kuwa cha kibiashara kwa kutumia kauli mbiu ya kilimo kwanza na Kwa kuungwa mkono na wadau wa sekta ya kilimo kupitia program za Feed the Future,Agra,Saggot nk..

Samia yuko kwenye uelekeo huo ndio maana next budget ame priotise irrigation,Mazao strategic na mbolea.

Ruzuku kwenye mbolea alifuta Mwendazake.

Wafanyakazi hawajaongezewa salary kwa miaka 7 kwa hiyo ulazima ilikuwepo na Kwa kufanya hivyo tunaingiza pesa kwenye mzunguko ambapo unaongea consumer demand ambayo ni muhimu sana kwa ajili ya ku boost investment/production..

Hili la Kasi ya kupungua kwa ujenzi wa Bwawa unaweza thibitisha? Taarifa za Serikali ni kwamba Kasi imeongezeka kuliko awali na ujenzi uko zaidi ya 50%..

Mwisho usijitoe ufahamu kwamba huelewi athari za vita na covid kwenye uchumi.
 
Haka ka 23.3% kanatoa watu roho! Kuna watu watakufa kwa pressure kisa wenzao wamefutwa vichozi !! Elewa kama hujapata wewe shangazi yako atapata...!!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hata miradi ya sasa hakutakuwa na pesa ya kuiendeleza. Yote itakufa.

Tutachukua mikopo kulipia hili tangazo.
Kwani wewe unajidanganya kuwa hiyo miradi ilikuwa ikijegwa kwa fedha za ndani! Duu! Kumbe bado ujinga mbao?


Amka toka usingizini ndugu miradi yote mikubwa, mwendazake iliijenga kwa mikopo mikubwa ya kibiashara ya riba kubwa na Hadi Sasa umeshaanza kulipa riba hiyo.
 
Kama hayupo kima Cha chini atakuwa Cha kati au Cha juu. Mchukulie anapata tsh400,000na nyongeza kwa ngazi yake iwe 15% atapata ext 60,000 anayepata 5,000,000 na nyongeza ya 1% bado ataongezewa 50,000/-

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kukuza Uchumi hakuhitaji rocket science ila nashindwa kuelewa viongozi wetu wanafeli wapi…

Nchi za kiafrika zinajitaji viongozi jasiri na madikteta siasa na demokrasia ndio umaskini wetu….bila hivyo hatutoboi…
Nguruwe akizidiwa njaa, wanawe hugeuzwa kitoweo. Beware udikteta ni maafa kwa taifa!!!!!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana nimekwambia ongea na wenye mamlaka watakwambia pesa watatoa wapi.
Upo karibu naye mshtue. Huwezi kusimama ukawaambia wananchi wa USA, UK Sweden, nchi yoyoye inayojitambua nitaongeza hivi bila kusema vitatoka wapi? Watakutoa serikalini siku hiyo hiyo. Everything must, need to be costed.

Hivi balance sheet yetu ya TZ ikoje? kikaratasi cha kuonyesha mapato, matumizi, assets, liabilities, mikopo. Uwiano wa mapato matumizi, mikopo umekaaje?
 
Na inflation inasemaje huko vs ongezeko la mshahara kwa watumishi? Halafu msifikir ni watumishi wa serikali tu ambao hawafiki hata laki tano ndio wenye wako entitled na hii nchi.
Hapo wapo madaktari waliokutahiri, na kukuandikia dawa za minyoo. Kama wamekusaidia hivyo unaona uchungu Gani wakilipwa kwa huduma njema walizokupatia?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndo huna akili. Kwani umezaliwa lini.
Maana miaka yote serikali hutangaza nyongeza ya mishahara na kutaja kima cha chini, hayo madaraja mengine % inapungua as you go up.
Halafu kama tangu 2015 yule mwendakuzimu angeongeza 5% sasa hivi ingekua 30%.
Roho yako ya kisukuma inakutesa haikusaidii chochote mama ni mama tu na mambo yatakwenda vizuri kuliko enzi za wasukuma
 
Nibora hasinge ongeza mishaara mfumuko wabei utakuwa mkubwa Sana vitu vita panda bei mfano Kodi ya Nyumba chumba cha 50,000 kitapanda mpaka 60,000.
Miaka yote mishahara ilikuwa inapanda.... Ni upuuzi uliofanywa miaka 6 iliyopita ndio kimewafanya muone kama jambo la ajabu. Nadhani Kuna haja ya kuwapa kaelimu kadogo ka uchumi ngazi ya chekechea na msingi. Hii itasaidia watu waelewe uhusiano kati ya mshahara na uzalishaji na ni namna gani vinavyotegemeana!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa si bora hata huyu ana yesema hata hiyo michache kuwa amekopa!!na yule aliyekuwa akiwaaminisha wajinga kuwa kila mradi ni pesa zao, kuwa Tanzania ni tajiri, huku deni la taifa likikuwa kwa kasi nani afadhari?!!eti wanakazania efd, kuna kipindi ambacho hizo efd zilikazaniwa na ubabe juu ili kuzinunua?!!alisema hawezi akatumia njia za kijambazi kama zile, .
Mwendazake ameliacha taifa ktk wakati mgumu sana, kwani alikuwa akianzisha miradi bila kuzingatia vipaumbele na uwezo wa kifedha.
Kweli mimi ni kichwa maji kama kilivyo kuwa cha jiwe(ambaye wewe ni muumini wake!!hivyo wewe utakuwa kichwa maji square!!
 
Wafanyabiashara wanadai wanalinda bidhaa hakuna wateja, wateja wanadai pesa hakuna mfukoni....!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…