Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Mishahara ni sehemu ya fiscal policy and monetary policy kwa sehemu. Wewe unataka kuleta classical economics pekee na kidogo Macro economics.

Wage na employment zina sehemu pia katika kuchangia uzalishaji.
Wewe unataka underemployment ambayo haina nafasi katika uchumi.
Kwa nchi zetu ambazo middle class ni ndogo au hakuna kabisa, namna pekee ya kuboresha purchasing power(kufungua vyuma) ni kwa kuongeza mishahara kila mwaka.
Kwa namna hiyo itasaidia kutengeneza wajasiriamali wadogo na watu wa kujitanua kidogo.
Waajiriwa wa nchi wamebeba sehemu kubwa ya maskini wengine.
Ukiongeza mishahara maanake na PAYE inaongezeka na hivyo TRA kukusanya zaidi.
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Endelea kuandika nadharia zako wakati wenzio wanakunja 23%. Haya mawazo ya KIFALA sana na ndiyo alikuwa nayo yule DIKTETA wa Chato.

Hebu tupisheni tunajuwa tutapata wapi hizo fedha za kuwalipa wafanyakazi
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Wakati JK anakusanya mapato ya kila mwezi billion 800 na kulipa mishahara bilioni 700 aliwezaje, mwendazake aliwaingizia matope vichwani mwenu
 
Vitabu vitakupeleka watu hayo ni mawazo ya watu uko too theoretically wala sijasoma najua umeandika utumbo ungekuwa mwana uchumi ungegundua hata vocha Kaa wa kutulia walioamua wanajua zaidi ya wewe
 
Kwa ivyo unapambana na inflation ambayo chanzo chake mafuta kwa kuongeza mishahara.

Wakati wakandarasi washaanza kulalamika gharama za kutekeleza miradi zimeongeka kwa sababu ya kupanda kwa mafuta, hiyo inakwenda kuongeza gharama za serikali kwenye kulipia miradi.

Mishahara inaenda kuongeza gharama za admin costs za serikali.

Bei za bidhaa zimepanda maradufu kwenye kila kitu ongezeko la mishahara italeta unafuu kiasi lakini fall in government collection zitakuwepo tu ambazo unategemea kulipia hiyo nyongeza ya mishahara.

Kutokana na hiyo vicious circle ndio maana kila nchi duniani inapambana na bei ya mafuta kwa sababu ndio tatizo la msingi.

Hili sakata la kupambana na inflation mtu ambae kalitolea majibu mazuri ni Zitto nadhani ile ndio direction sahihi.

Hili la kuongeza mishahara ni kujichimbia shimo zaidi na kuacha agenda muhimu. Ufungui nchi kwa kuzurura bali unafungua nchi kwa kuweka easy access ya watu kuweza kuwekeza popote na accesss za kufikia masoko kirahisi au bandari kama ni for exportation.

Swala la uwekezaji wa miundombinu ni chungu lakini hakuna shortcut hakuna nchi duniani iliyokuwa bila ya kufungua access za sehemu mbalimbali nchini kwake; ukisoma historia ya US ni interconnection ya railway ndio iliyopaisha uchumi, ukienda UK canals na baadae railway na nchi nyingine nyingi ni mabarabara; hakuna uchumi unaokuwa bila ya interconnection ya kufikia masoko kirahisi.

Swala hapa kupanga ni kuchagua agenda yako ya kitaifa ya muda mrefu ni nini; sera za awamu ya tano zilikuwa za muda mrefu na maendeleo yanataka sacrifice.

Ni bora utumie tsh1 kupambana na inflation kwa ku stabilise bei ya mafuta which you know is a temporary measure kuliko ujiongezee full time commitments za tsh2 trillion kila mwaka wakati mapato yenyewe wasiwasi.
Maneno mengi lkn PUMBA tupu
 
mnaoponda wafanyakazi kuongezewa mshahara mnamioyo ya korosho na ya kichawi mlifurahi sana kipindi Cha miaka SITA bila nyongeza ya mshahara nyambafuu mtakula hizo Barabara zenu mnazotaka zijengwe

Na inflation inasemaje huko vs ongezeko la mshahara kwa watumishi? Halafu msifikir ni watumishi wa serikali tu ambao hawafiki hata laki tano ndio wenye wako entitled na hii nchi.
 
Akili ndogo,hapo unadhani sasa kwamba Mimi napinga nyie kuongezewa Mishahara! Utapata akili pale utakapokuta Mshahara wako umeongezewa elfu 10 na wewe kuchekelea asilimia 23.3% ambayo ni kwa kima cha chini ambacho wewe haumo!
UJINGA NI MZIGO MZITO SANA KWA BINADAMU!
Hata ikiongezeka sh 100 inatosha as long as imeongezeka
 
Mkuu
Mi Binafsi sioni tena kutangazwa bkwa miradi ile mikubwa ya kimkakati!
Sijui nini kumetokea hadi sasa!
NAJIULIZA
Mwenye majibu naomba!!
Tulipokuwa na miradi mikubwa ya kimkakati wewe ilikusaidia nini?
Wacha mama apunguze makali ya maisha ya watu
Tunataka maendeleo ya watu na si ya vitu
 
Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.
Mkuu 'Fumadilu Kalimanzila', huo mstari huo ndio unaotuua kabisa Tanzania.

"...watu wenye maarifa na taasisi imara."

Binafsi, naamini kwa dhati ya moyo wangu wote, kwamba "watu wenye maarifa" wapo, labda kama unayo maana nyingine ya watu hawa. Kinachokosekana ni uongozi wenye uwezo wa kuwapanga vizuri watu hawa wayartumie vizuri maarifa yao kwa faida yao na nchi yao.

Nitakupa mfano: leo hii tunalilia wawekezaji waje kutoka Malaysia waje hapa kuwekeza ili tupate mafuta ya kula (mawese?). Tunawakimbilia hawa Malaysia kwa sababu wao walikuja kuchukua mbegu hapa za michikichi, wakaenda kwao na kutumia maarifa yao na kuwa wazalishaji wazuri wa zao hilo. Hawa hawakwenda kutembea duniani kutafuta watu waende kuwafanyia walichoweza kufanya wao wenyewe.

Huu ni mfano mmoja tu tena rahisi sana kuuelewa; lakini ni mmoja kati ya mengi ambayo sisi tunashindwa kuyafanya kwa maarifa yaliyopo hapahapa, lakini tunasubiri kwenda kutafuta maarifa huko nje. Hii ni kukosa uongozi wa kusimamia vyema kuwaongoza wananchi wafanye kazi zao kwa maarifa waliyonayo kwa ufanisi.

Nisikuchoshe, lakini yapo mengi yanayoumiza roho kuona jinsi nchi yetu hii inavyozidi kudidimia.
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Hapo mwisho ungeweka alama ya kuuliza tungekusaidia ila hatujui kama ni swali au masikitiko
 
Naona mfanyishwa kazi unafurahia tangazo na unachukia ukweli wa tangazo.
Sasa sikiliza wewe mfanyishwa kazi, alichoeleza mleta mada ni kwamba ongezeko hilo haliwezekani. Maana pato jumla la mwezi ni dogo kuliko mahitaji jumla ya mwezi.
EEeeeeHeeee!

Umesahau, si watakwenda kukopa?

Wanakutangazia kila siku hapa kwamba bado tunao uhimilivu wa kukopa! EEeeeHEeeHeee!
 
Lakini nakubaliana na wewe kwenye eneo la uzalishaji na kuongeza fedha za kigeni bila kutegemea utalii, mikopo na misaada peke yake.
Watu watasema tumeachwa kiteknolojia.
Lakini kuna maeneo tunaweza. Kwa mfano kuna vitu vina soko sana humu nchini na tunaweza kuzalisha badala ya kutumia akiba ya fedha za kigeni kununua. Kuna vitu kama vile:
1. Ngano
2. Alizeti
3. Mafuta ya chakula
4. Sukari
5. Samani za maofisini na majumbani
6. Pombe/Vileo za aina mbali mbali
7. Mahindi
8. Mchele
9. Nyama/kuku/ng'ombe/mbuzin.k.
10. Maziwa
11. Samaki

Ni watu gani wasioweza kufanikisha haya kama viongozi watakuwepo wa kuwajibika kwa wananchi kufanya kazi zao kwa ufanisi.

Mbona mahindi na mchele miaka ya hivi karibuni imewezekana, si ni waTanzania hao hao wanaofanya haya, kwa nini hayo mengine washindwe hadi twende kulilia watu wa nje waje hapa kutufanyia kazi hizi.

Na si hayo tu yanayohusika na kilimo na ufugaji, yapo maeneo mengi sanna ambayo wananchi wapo tayari kabisa kuyafanya kwa ufanisi, hata ya uzalishaji wa viwandani, wapo.
 
Umeandika ujinga tupu, hao watumishi hawafanyi kazi ya kanisa, wanastahili kupata kipato Cha kuwafanya waendeleze maisha yao, na kipato hicho kitaingia mtaani na kitazunguka na serikali itapata faida
Kwa taarifa yako Watumishi wengi hawana fedha kwani fedha zao zinabaki Bank walishazikopa.
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!

Tulijua mtakuja tu na theory zenu....!
 
7. Mahindi
8. Mchele
9. Nyama/kuku/ng'ombe/mbuzin.k.
10. Maziwa
11. Samaki

Ni watu gani wasioweza kufanikisha haya kama viongozi watakuwepo wa kuwajibika kwa wananchi kufanya kazi zao kwa ufanisi.

Mbona mahindi na mchele miaka ya hivi karibuni imewezekana, si ni waTanzania hao hao wanaofanya haya, kwa nini hayo mengine washindwe hadi twende kulilia watu wa nje waje hapa kutufanyia kazi hizi.

Na si hayo tu yanayohusika na kilimo na ufugaji, yapo maeneo mengi sanna ambayo wananchi wapo tayari kabisa kuyafanya kwa ufanisi, hata ya uzalishaji wa viwandani, wapo.
Sisi tubakuwa brainwashed kwamba utalii ni muhimu kuliko ng'ombe wetu. Upumbavu wa hali ya juu. Tunaambiwa wine ya Uholanzi ni bora kuliko yetu. Kama ni bora, kwanini tusifanye initiative za kuboresha?
Eti samani za nje ni bora kuliko vya kwetu wakati havikai hata robo mwaka, vya kwetu vunadumu.
Waswahili ni watu wajinga sana.
Hatuoni kabisa kwamba uzalishaji wa ndani ndio utakuza uchumi wetu?
Hatuoni kilimo kwanza kikivyotuokoa kwenye aibu ya njaa na kuletewa mahindi ya njano(yanga)?
Tuondoe aibu pia katika uzalishaji wa ngano, maziwa, alizeti na michikichi.
 
Back
Top Bottom