Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Kasome Tena uelewe kilichoongezwa ni kima Cha chini kama unajua hisabati ndiyo maana unaona ongezeko la mshahara ni 1.59T sawa dogo tatizo vijana mnasoma sentensi Moja unaleta uzi
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Sukuma gang wanaona aibu baba yenu alikuwa anatukomesha watumishi ,mama samia oyeeeee
 
Mwandika uzi umeamua tu kuvuruga vilaza wa upinzani na sukuma gang. Asilimia 23 ni kwa kima cha chini ila hiyo asilimia hupungua unapoelekea kima cha juu. Kimsingi sio kila mfanyakazi atapata 23%. Kwamba nchi haiwezi kulipa hizo 23% ni hoja ya kupuuzwa. Hapo hesabu zikipigwa vizuri utakuta kiuhalisia serikali itaongeza labda 15% kwenye wage bill kitu ambacho ni kirahisi mno. Hoja nyingine kwamba tusingeongeza mishahara kwa sababu ya miradi ni ya kipumbavu zaidi. Haina maana watu wanashindwa hata kununua kiberiti ili kujenga reli. Lakini pia hiyo miradi kabla haijaanza tayari walishaplan jinsi ya kuutekeleza. Kama hukukuwa na mkakati wowote basi awamu ya tano itakuwa ni awamu ya ovyo kupata kutokea. Yaani ufanye mradi kwa kuminya haki za wafanyakazi?
 
Kwa ivyo unapambana na inflation ambayo chanzo chake mafuta kwa kuongeza mishahara.

Wakati wakandarasi washaanza kulalamika gharama za kutekeleza miradi zimeongeka kwa sababu ya kupanda kwa mafuta, hiyo inakwenda kuongeza gharama za serikali kwenye kulipia miradi.

Mishahara inaenda kuongeza gharama za admin costs za serikali.

Bei za bidhaa zimepanda maradufu kwenye kila kitu ongezeko la mishahara italeta unafuu kiasi lakini fall in government collection zitakuwepo tu ambazo unategemea kulipia hiyo nyongeza ya mishahara.

Kutokana na hiyo vicious circle ndio maana kila nchi duniani inapambana na bei ya mafuta kwa sababu ndio tatizo la msingi.

Hili sakata la kupambana na inflation mtu ambae kalitolea majibu mazuri ni Zitto nadhani ile ndio direction sahihi.

Hili la kuongeza mishahara ni kujichimbia shimo zaidi na kuacha agenda muhimu. Ufungui nchi kwa kuzurura bali unafungua nchi kwa kuweka easy access ya watu kuweza kuwekeza popote na accesss za kufikia masoko kirahisi au bandari kama ni for exportation.

Swala la uwekezaji wa miundombinu ni chungu lakini hakuna shortcut hakuna nchi duniani iliyokuwa bila ya kufungua access za sehemu mbalimbali nchini kwake; ukisoma historia ya US ni interconnection ya railway ndio iliyopaisha uchumi, ukienda UK canals na baadae railway na nchi nyingine nyingi ni mabarabara; hakuna uchumi unaokuwa bila ya interconnection ya kufikia masoko kirahisi.

Swala hapa kupanga ni kuchagua agenda yako ya kitaifa ya muda mrefu ni nini; sera za awamu ya tano zilikuwa za muda mrefu na maendeleo yanataka sacrifice.

Ni bora utumie tsh1 kupambana na inflation kwa ku stabilise bei ya mafuta which you know is a temporary measure kuliko ujiongezee full time commitments za tsh2 trillion kila mwaka wakati mapato yenyewe wasiwasi.

Kukuza Uchumi hakuhitaji rocket science ila nashindwa kuelewa viongozi wetu wanafeli wapi…

Nchi za kiafrika zinajitaji viongozi jasiri na madikteta siasa na demokrasia ndio umaskini wetu….bila hivyo hatutoboi…
 
Uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana, ndo maana kwao ni rahisi sana kumwelewa Mrisho Mpoto au Mwijaku kuliko ninachomweleza hapa.
Mwisho wa mwezi atakapokuta ameongezwa elfu 30 kwenye Mshahara ndo atajuwa asilimia 23.3% ilikuwa ni kwenye kima cha chini ambacho yeye hayumo! Ila wanasiasa walishachukua political mileage.
Siku zote huwa naamini mtu akishaajiriwa ata kama alikuwa na akili sana,baada ya muda mrefu akili yake hupungua uwezo.
Ni sawa na kumsajili Messi kwenye timu na kumweka benchi kwa muda mrefu ni lazima uwezo ushuke.
sawa brother lakin mbona unafoka imekuuma
 
Sasa hivi serikali inalipa wafanyakazi wake 500bn kwa mwezi.

Tu assume serikali iwaongezee kila mfanyakazi wake 50% ya mshahara wake.

Hii ina maana wage bili itakuwa 750bn kwa mwezi.

Je serikali haiwezi kupata hiyo 250bn kwa mwezi?
We kijana Hebu zima simu ukalale nimefuatilia Hesabu zako inaonyesha hujui kabisa mahesabu fanya hima ujifunze .
 
Mkuu
Mi Binafsi sioni tena kutangazwa bkwa miradi ile mikubwa ya kimkakati!
Sijui nini kumetokea hadi sasa!
NAJIULIZA
Mwenye majibu naomba!!
Kama ile ya jpm ambayo inaigharimu taifa au!! Alikuwa anakopa kimya kimya halafu tunaambiwa ni pesa za ndani. Ukisoeculate zaidi unapotezwa wasiojulikana. To hell jpm
 
Roho mbaya imekujaa...
Wafanyakazi walipokaa miaka 7 Bila kuongezewa Chochote Ndio maendeleo yalikuja??
Siku ukienda kupokea mshahara ndo utajua kuwa hao sukuma gang ni waume zako wanajua kinachoendelea,
Najua utarudi humu kulalamika kwa hesabu ulizopiga ukakuta sicho ulichotegemea.
Na pa kulalamika hutapapata.
 
Lakini pia tusisahau kunapokuwa na mdololo moja kati ya mbinu za kuchangamsha uchumi ni kuongeza mzunguko wa pesa kwenye uchumi. Hii mishahara inakwenda kwa wafanyakazi wa umma ambao wengi wao watazirudisha kwenye uchumi; na kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza mapato; huo ni mtazamo mwingine, lakini uchumi ni social science, sio kila kinachotegemewa kinatokea. Tujipe muda kidogo.
 
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Neno moja kwako wewe ni MPUMBAVU
 
Something has to give ndio mwisho wa miradi mikubwa ya barabara na other necessary infrastructure za kuchochea uwekezaji maeneo yote ndani ya Tanzania.

Hawa ni short sighted sio nation builders wapo kwa sababu ya kupigiwa makofi sio kuangalia Tanzania ya kesho.

Well kupanga ndio kuchagua, wanajibebesha majukumu based on optimistic scenario which usually highly unlikely ya kukuwa kwa mapato.

It is not rocket science kuona matatizo waliyoamua kujitwisha ili kufurahisha kadamnasi nadhani Tanzania ndio nchi pekee iliyoingeza mishahara wakati dunia nzima ina pambana na kushusha inflation with subsidising policies bei ya bidhaa ziwe stable.
Naona jobless unaumia sana, pole
 
Ninachokijua Ni kuwa Hali ya maisha yatapanda....tukubali Kodi ya pango ipande na bidhaa nyinginezo pia. Ukipandisha mishahara production ya bidhaa pia itapanda maana wafanyakazi Ni sehemu ya mitaji ya kuzalishia
 
Back
Top Bottom