Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
[emoji419][emoji419][emoji419]Mishahara ni sehemu ya fiscal policy and monetary policy kwa sehemu. Wewe unataka kuleta classical economics pekee na kidogo Macro economics.
Wage na employment zina sehemu pia katika kuchangia uzalishaji.
Wewe unataka underemployment ambayo haina nafasi katika uchumi.
Kwa nchi zetu ambazo middle class ni ndogo au hakuna kabisa, namna pekee ya kuboresha purchasing power(kufungua vyuma) ni kwa kuongeza mishahara kila mwaka.
Kwa namna hiyo itasaidia kutengeneza wajasiriamali wadogo na watu wa kujitanua kidogo.
Waajiriwa wa nchi wamebeba sehemu kubwa ya maskini wengine.
Ukiongeza mishahara maanake na PAYE inaongezeka na hivyo TRA kukusanya zaidi.
Unapingana na hoja ya mheshimiwa Rais...?, Ubongo wako umejaa makamasiHatutaki ujinga, kama kima cha chini ndicho kimeongezwa basi watu waelezwe ukweli bayana na siyo sifa za kijinga za akina Mwijaku!
Tanzania hatuna uwezo wa kuongeza Wage Bill yetu hata kwa 10% kwa sasa!
Endelea kuandika nadharia zako wakati wenzio wanakunja 23%. Haya mawazo ya KIFALA sana na ndiyo alikuwa nayo yule DIKTETA wa Chato.Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.
Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.
Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.
Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.
Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!
Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!
Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!
Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!
Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!
Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!
Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Wakati JK anakusanya mapato ya kila mwezi billion 800 na kulipa mishahara bilioni 700 aliwezaje, mwendazake aliwaingizia matope vichwani mwenuUkisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.
Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.
Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.
Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.
Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!
Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!
Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!
Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!
Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!
Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!
Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Maneno mengi lkn PUMBA tupuKwa ivyo unapambana na inflation ambayo chanzo chake mafuta kwa kuongeza mishahara.
Wakati wakandarasi washaanza kulalamika gharama za kutekeleza miradi zimeongeka kwa sababu ya kupanda kwa mafuta, hiyo inakwenda kuongeza gharama za serikali kwenye kulipia miradi.
Mishahara inaenda kuongeza gharama za admin costs za serikali.
Bei za bidhaa zimepanda maradufu kwenye kila kitu ongezeko la mishahara italeta unafuu kiasi lakini fall in government collection zitakuwepo tu ambazo unategemea kulipia hiyo nyongeza ya mishahara.
Kutokana na hiyo vicious circle ndio maana kila nchi duniani inapambana na bei ya mafuta kwa sababu ndio tatizo la msingi.
Hili sakata la kupambana na inflation mtu ambae kalitolea majibu mazuri ni Zitto nadhani ile ndio direction sahihi.
Hili la kuongeza mishahara ni kujichimbia shimo zaidi na kuacha agenda muhimu. Ufungui nchi kwa kuzurura bali unafungua nchi kwa kuweka easy access ya watu kuweza kuwekeza popote na accesss za kufikia masoko kirahisi au bandari kama ni for exportation.
Swala la uwekezaji wa miundombinu ni chungu lakini hakuna shortcut hakuna nchi duniani iliyokuwa bila ya kufungua access za sehemu mbalimbali nchini kwake; ukisoma historia ya US ni interconnection ya railway ndio iliyopaisha uchumi, ukienda UK canals na baadae railway na nchi nyingine nyingi ni mabarabara; hakuna uchumi unaokuwa bila ya interconnection ya kufikia masoko kirahisi.
Swala hapa kupanga ni kuchagua agenda yako ya kitaifa ya muda mrefu ni nini; sera za awamu ya tano zilikuwa za muda mrefu na maendeleo yanataka sacrifice.
Ni bora utumie tsh1 kupambana na inflation kwa ku stabilise bei ya mafuta which you know is a temporary measure kuliko ujiongezee full time commitments za tsh2 trillion kila mwaka wakati mapato yenyewe wasiwasi.
mnaoponda wafanyakazi kuongezewa mshahara mnamioyo ya korosho na ya kichawi mlifurahi sana kipindi Cha miaka SITA bila nyongeza ya mshahara nyambafuu mtakula hizo Barabara zenu mnazotaka zijengwe
kuongoza kazi sana
ukiongeza mishahara wanapinga
usipoongeza pia wanapinga
Hata ikiongezeka sh 100 inatosha as long as imeongezekaAkili ndogo,hapo unadhani sasa kwamba Mimi napinga nyie kuongezewa Mishahara! Utapata akili pale utakapokuta Mshahara wako umeongezewa elfu 10 na wewe kuchekelea asilimia 23.3% ambayo ni kwa kima cha chini ambacho wewe haumo!
UJINGA NI MZIGO MZITO SANA KWA BINADAMU!
Roho mbaya imekujaa...
Wafanyakazi walipokaa miaka 7 Bila kuongezewa Chochote Ndio maendeleo yalikuja??
Tulipokuwa na miradi mikubwa ya kimkakati wewe ilikusaidia nini?Mkuu
Mi Binafsi sioni tena kutangazwa bkwa miradi ile mikubwa ya kimkakati!
Sijui nini kumetokea hadi sasa!
NAJIULIZA
Mwenye majibu naomba!!
Mkuu 'Fumadilu Kalimanzila', huo mstari huo ndio unaotuua kabisa Tanzania.Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.
Hapo mwisho ungeweka alama ya kuuliza tungekusaidia ila hatujui kama ni swali au masikitikoUkisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.
Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.
Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.
Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.
Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!
Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!
Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!
Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!
Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!
Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!
Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Uchawi na mtu mweusi ni chupa na kizibo.Roho mbaya imekujaa...
Wafanyakazi walipokaa miaka 7 Bila kuongezewa Chochote Ndio maendeleo yalikuja??
EEeeeeHeeee!Naona mfanyishwa kazi unafurahia tangazo na unachukia ukweli wa tangazo.
Sasa sikiliza wewe mfanyishwa kazi, alichoeleza mleta mada ni kwamba ongezeko hilo haliwezekani. Maana pato jumla la mwezi ni dogo kuliko mahitaji jumla ya mwezi.
7. MahindiLakini nakubaliana na wewe kwenye eneo la uzalishaji na kuongeza fedha za kigeni bila kutegemea utalii, mikopo na misaada peke yake.
Watu watasema tumeachwa kiteknolojia.
Lakini kuna maeneo tunaweza. Kwa mfano kuna vitu vina soko sana humu nchini na tunaweza kuzalisha badala ya kutumia akiba ya fedha za kigeni kununua. Kuna vitu kama vile:
1. Ngano
2. Alizeti
3. Mafuta ya chakula
4. Sukari
5. Samani za maofisini na majumbani
6. Pombe/Vileo za aina mbali mbali
Kwa taarifa yako Watumishi wengi hawana fedha kwani fedha zao zinabaki Bank walishazikopa.Umeandika ujinga tupu, hao watumishi hawafanyi kazi ya kanisa, wanastahili kupata kipato Cha kuwafanya waendeleze maisha yao, na kipato hicho kitaingia mtaani na kitazunguka na serikali itapata faida
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.
Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.
Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.
Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.
Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!
Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!
Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!
Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!
Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!
Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!
Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Sisi tubakuwa brainwashed kwamba utalii ni muhimu kuliko ng'ombe wetu. Upumbavu wa hali ya juu. Tunaambiwa wine ya Uholanzi ni bora kuliko yetu. Kama ni bora, kwanini tusifanye initiative za kuboresha?7. Mahindi
8. Mchele
9. Nyama/kuku/ng'ombe/mbuzin.k.
10. Maziwa
11. Samaki
Ni watu gani wasioweza kufanikisha haya kama viongozi watakuwepo wa kuwajibika kwa wananchi kufanya kazi zao kwa ufanisi.
Mbona mahindi na mchele miaka ya hivi karibuni imewezekana, si ni waTanzania hao hao wanaofanya haya, kwa nini hayo mengine washindwe hadi twende kulilia watu wa nje waje hapa kutufanyia kazi hizi.
Na si hayo tu yanayohusika na kilimo na ufugaji, yapo maeneo mengi sanna ambayo wananchi wapo tayari kabisa kuyafanya kwa ufanisi, hata ya uzalishaji wa viwandani, wapo.