Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

Mbna unaweweseka hiv????kwan ce tunakula hyo mirad????
Something has to give ndio mwisho wa miradi mikubwa ya barabara na other necessary infrastructure za kuchochea uwekezaji maeneo yote ndani ya Tanzania.

Hawa ni short sighted sio nation builders wapo kwa sababu ya kupigiwa makofi sio kuangalia Tanzania ya kesho.

Well kupanga ndio kuchagua, wanajibebesha majukumu based on optimistic scenario which usually highly unlikely ya kukuwa kwa mapato.

It is not rocket science kuona matatizo waliyoamua kujitwisha ili kufurahisha kadamnasi nadhani Tanzania ndio nchi pekee iliyoingeza mishahara wakati dunia nzima ina pambana na kushusha inflation with subsidising policies bei ya bidhaa ziwe stable.
 
Hv ni nan aliekuwa na huo uwezo mkubwa????
Ndugu mtoa mada una point ya msingi ingawa bahati mbaya mada yako imevamiwa na waimba ngonjera.......lakini kimantiki hili ongezeko halipatani na uhalisia....nadhani ni muendelezo wa wanasiasa wa nchi kujiandalia mazingira ya uchaguzi ujao......bila kuangalia matokeo ya maamuzi yao.......haya ni moja ya matokeo ya kuwapa nafasi ya kufanya maamuzi watu wenye uwezo mdogo wa akili kwa niaba ya taifa kwa ujumla......
 
Something has to give ndio mwisho wa miradi mikubwa ya barabara na other necessary infrastructure za kuchochea uwekezaji maeneo yote ndani ya Tanzania.

Hawa ni short sighted sio nation builders wapo kwa sababu ya kupigiwa makofi sio kuangalia Tanzania ya kesho.

Well kupanga ndio kuchagua, wanajibebesha majukumu based on optimistic scenario which usually highly unlikely ya kukuwa kwa mapato.

It is not rocket science kuona matatizo waliyoamua kujitwisha ili kufurahisha kadamnasi nadhani Tanzania ndio nchi pekee iliyoingeza mishahara wakati dunia nzima ina pambana na kushusha inflation with subsidising policies bei ya bidhaa ziwe stable.
Mkapa alijenga mabarabara na alikuwa anaongeza mishahara, kikwete pia, na sio jukumu la mtumishi wa umma kutolipwa mshahara sahihi ili barabara zijengwe, mtumishi kaenda pale kupata stahiki yake sahihi. Hata Kuna msemo kwamba Roma haikujengwa siku moja, Kila zama itatimiza wajibu wake, mtumishi wa Sasa huwezi mbebesha mzigo wa barabara za miaka 100 ijayo, na wao watafanya sehemu yao
 
Usijoangalie wewe,angalia pia vitu vimepanda bei-malalamiko yote haya ni kutokana na vipato vya watu kuwa vidogo ndio maana unaona kelele nyingi ya vitu kupanda bei.So,sote tunajua the only solution to that ni kuongeza fedha mtaani ili watu waanze kufanya production.
Kama Serikali una njia 2 za kuweka hela kwenye mzunguko ni either utekeleze miradi ambayo itakayopeleka hela kwa watu au uongeze mishahara.Kumbuka 80% ya miradi yetu Wakandarasi ni wa nje hivyo fedha zote ukizotoa kwenye hiyo miradi zinahama kwenda Nchi zingine na huku fedha za ongezeko LA mishahara mostly zitaenda kwenye shughuli nyingi zinazomilikiwa na wazawa.
Kwa ivyo unapambana na inflation ambayo chanzo chake mafuta kwa kuongeza mishahara.

Wakati wakandarasi washaanza kulalamika gharama za kutekeleza miradi zimeongeka kwa sababu ya kupanda kwa mafuta, hiyo inakwenda kuongeza gharama za serikali kwenye kulipia miradi.

Mishahara inaenda kuongeza gharama za admin costs za serikali.

Bei za bidhaa zimepanda maradufu kwenye kila kitu ongezeko la mishahara italeta unafuu kiasi lakini fall in government collection zitakuwepo tu ambazo unategemea kulipia hiyo nyongeza ya mishahara.

Kutokana na hiyo vicious circle ndio maana kila nchi duniani inapambana na bei ya mafuta kwa sababu ndio tatizo la msingi.

Hili sakata la kupambana na inflation mtu ambae kalitolea majibu mazuri ni Zitto nadhani ile ndio direction sahihi.

Hili la kuongeza mishahara ni kujichimbia shimo zaidi na kuacha agenda muhimu. Ufungui nchi kwa kuzurura bali unafungua nchi kwa kuweka easy access ya watu kuweza kuwekeza popote na accesss za kufikia masoko kirahisi au bandari kama ni for exportation.

Swala la uwekezaji wa miundombinu ni chungu lakini hakuna shortcut hakuna nchi duniani iliyokuwa bila ya kufungua access za sehemu mbalimbali nchini kwake; ukisoma historia ya US ni interconnection ya railway ndio iliyopaisha uchumi, ukienda UK canals na baadae railway na nchi nyingine nyingi ni mabarabara; hakuna uchumi unaokuwa bila ya interconnection ya kufikia masoko kirahisi.

Swala hapa kupanga ni kuchagua agenda yako ya kitaifa ya muda mrefu ni nini; sera za awamu ya tano zilikuwa za muda mrefu na maendeleo yanataka sacrifice.

Ni bora utumie tsh1 kupambana na inflation kwa ku stabilise bei ya mafuta which you know is a temporary measure kuliko ujiongezee full time commitments za tsh2 trillion kila mwaka wakati mapato yenyewe wasiwasi.
 
Mkapa alijenga mabarabara na alikuwa anaongeza mishahara, kikwete pia, na sio jukumu la mtumishi wa umma kutolipwa mshahara sahihi ili barabara zijengwe, mtumishi kaenda pale kupata stahiki yake sahihi. Hata Kuna msemo kwamba Roma haikujengwa siku moja, Kila zama itatimiza wajibu wake, mtumishi wa Sasa huwezi mbebesha mzigo wa barabara za miaka 100 ijayo, na wao watafanya sehemu yao
Kama ni shabiki wa formula1 racing basi unaelewa ule mfumo wa tyre choices ni kama ukuaji wa uchumi na infrastructures investment.

Kwenye race ukiweka hard tyres utaenda polepole lakini utafika mbali ivyo kukupunguzia pit stops.

Ukiweka soft tyres utaenda kasi lakini ufiki mbali ndio maana mara nyingi wanazitumia kwenye qualification tu.

Jamaa anaweza kuwa mbele yako sekundu 20 ukienda kuweka new tyres especially soft au medium unamkata kama kuna laps za kutosha zimebaki.

Same thing kwenye infrastructure project na ukuaji wa uchumi unataka kukua kwa kasi gani ya haraka ndio utakavyowekeza kwa kasi sambamba na infrastructures projects.

Mtu anaweza jenga kiwanda kikubwa Shinyanga kwa target za Tabora, Geita, Musoma, Bukoba na Mwanza kwa sababu kuna easy access ya kufikia masoko yake huko na kwa gharama nafuu. Na uwekezaji unaenda sambasamba na kutengeneza ajira na ongezeko la makusanyo kwa serikali.

Ni hivi ili kuchangamsha Tanzania kiuchumi miradi ya infrastructures sio luxury ni lazima; na kwa hatua za hii serikali inayojiita ya awamu ya hiyo miradi itasimama kwa sababu wanajipa commitment kubwa za kuongeza gov admin expenses badala ya kuangalia bigger picture.
 
Kama ni shabiki wa formula basi ule mfumo wa tyre choices ni kama ukuaji wa uchumi na investment.

Ukiweka hard tyres utaenda polepole lakini utafika mbali.

Ukiweka soft tyres utaenda kasi lakini ufiki mbali

Jamaa anaweza kuwa mbele yako sekundu 20 ukienda kuweka new tyres soft au medium unamkata kama kuna laps za kutosha zimebaki.

Same thing kwenye infrastructure project na ukuaji wa uchumi unataka kukua kwa kasi gani kwa haraka.

Mtu anaweza jenga kiwanda kikubwa Shinyanga kwa target za Tabora, Geita, Musoma, Bukoba na Mwanza kwa sababu kuna easy access ya kufikia masoko ya huko.

Ni hivi ili kuchangamsha Tanzania kiuchumi miradi ya infrastructures sio luxury ni lazima; na kwa hatua za hii serikali itasimama kwa sababu wanajipa commitment kubwa za kuongeza gov admin expenses badala ya kuangalia bigger picture.
👏👏👏
 
Something has to give ndio mwisho wa miradi mikubwa ya barabara na other necessary infrastructure za kuchochea uwekezaji maeneo yote ndani ya Tanzania.

Hawa ni short sighted sio nation builders wapo kwa sababu ya kupigiwa makofi sio kuangalia Tanzania ya kesho.

Well kupanga ndio kuchagua, wanajibebesha majukumu based on optimistic scenario which usually highly unlikely ya kukuwa kwa mapato.

It is not rocket science kuona matatizo waliyoamua kujitwisha ili kufurahisha kadamnasi nadhani Tanzania ndio nchi pekee iliyoingeza mishahara wakati dunia nzima ina pambana na kushusha inflation with subsidising policies bei ya bidhaa ziwe stable.
Kwani hiyo miradi mikubwa magufuli alikua anatumia fedha za ndani au mikopo?
 
S
Ukisoma vizuri kitabu cha WHY NATIONS FAIL ( The Origins of Power,Prosperity & Poverty) cha DARON ACEMOGLU na JAMES A.ROBINSON utajua kwa uhakika ni kwa nini Tanzania yetu ni masikini hivi na itachukua muda mrefu kubadili hali hii.

Kwa ufupi ni kwamba tunacho kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya maendeleo katika Nchi yetu kasoro watu wenye maarifa na taasisi imara.

Hata watu wachache wenye maarifa tulionao pia wana maarifa yaliyopitwa na wakati (obsolete) au waliyo karirishwa tu! Tunaweza kusema maarifa yao hayo ni USELESS KNOWLEDGE tu.

Nchi bila uzalishaji na kuingiza Nguvu kazi kubwa katika uzalishaji ili kuongeza tija ni kazi bure tu.

Viongozi wetu na wachumi wetu waliwasoma akina Adam Smith kwenye THE WEALTH OF NATIONS kwa ajili ya kukariri kujibia mitihani tu!

Watu wetu hata wasomi wakubwa hawajui kutafsiri hata vitu basic kabisa!

Watu wanaambiwa kima cha chini la Mshahara kimeongezeka kwa asilimia 23.3% ,wao wanakimbilia Rais ameongeza Mishahara kwa asilimia 23.3% ( akili za Ki- Mwijaku Mwijaku)!

Jiulize kwanza kama Mishahara itaongezwa kwa asilimia 23.3% yote ,Wage Bill yetu itakuwa Shilingi ngapi?!

Wage Bill ikifika bilioni 900 kwa mwezi na madeni tunayolipa kwa mwezi ni bilioni 900 wakati Mapato yetu kwa mwezi Trilioni 1.5 ( bilioni 1500) Nchi itakwendaje?!

Ukitaka kujua Nchi hii ina tatizo kubwa katika Wealth Creation angalia utitiri wa tozo katika mafuta!

Kwahiyo ukifuatilia sasa mjadala ni asilimia 23.3% ya ongezeko la Mishahara ni kwa kima cha chini pekee au Mishahara yote!
Tumekusikia katibu mkuu hazina
 
Kama ni shabiki wa formula basi ule mfumo wa tyre choices ni kama ukuaji wa uchumi na investment.

Ukiweka hard tyres utaenda polepole lakini utafika mbali.

Ukiweka soft tyres utaenda kasi lakini ufiki mbali

Jamaa anaweza kuwa mbele yako sekundu 20 ukienda kuweka new tyres soft au medium unamkata kama kuna laps za kutosha zimebaki.

Same thing kwenye infrastructure project na ukuaji wa uchumi unataka kukua kwa kasi gani kwa haraka.

Mtu anaweza jenga kiwanda kikubwa Shinyanga kwa target za Tabora, Geita, Musoma, Bukoba na Mwanza kwa sababu kuna easy access ya kufikia masoko ya huko.

Ni hivi ili kuchangamsha Tanzania kiuchumi miradi ya infrastructures sio luxury ni lazima; na kwa hatua za hii serikali itasimama kwa sababu wanajipa commitment kubwa za kuongeza gov admin expenses badala ya kuangalia bigger picture.

ili nchi inayoendelea ipige hatua inahitajika Kufanya Developmental expenditures nyingi (Miradi ambayo italeta faida kwenye long run) na sio kuzidisha recurring expenses (wages & salaries) ambazo hazina tija sana in a long run

knowledge ya kawaida tu, kama kijana wa kawaida nlivyoskia hivyo nkashangaa considering hali ya uchumi ya sasa “God have mercy on us”
 
Back
Top Bottom