The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Wewe unaelewa?Huelewi maana ya "kujifunza"?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaelewa?Huelewi maana ya "kujifunza"?
Inawezekana ukatoa hoja kinzani na mwenzako bila hata kumtusi.....hapa ni jukwaani na kila mtu anatoa maoni kulingana na mtazamo wake...lakini wakati mwingine unaweza kwenda kombo kimitazamo na mwenzako akakurekebisha......Una akili timamu kweli? Average ya makusanyo kwa mwezi ni zaidi ya Til.1.8 ,mtoa mada kasema ni til.1.5 unaona yuko sawa?
Pili je Uchumi umesimama au unashuka au uko stagnant?
Muwe mnafikiria kabla ya kuropoka.
Sina wakati wa kupoteza na upumbavu.Wewe unaelewa?
Umekariri makaratasi bila hata kujua chanzo cha hiyo inflation..Vicious circle hiyo!
Bei za vitu ikipanda, dawa huwa ni kupunguza fedha mitaani siyo kuongeza. Mabenki hupandisha interest rates ili kupunguza fedha mitaani. Sasa wakati bei inapanda wewe unasema utaongeza fedha mitaani maana yake ni kuwa bei zinapanda maradufu.
Bei kupanda maana yake ni kuwa kuna fedha nyingi mitaani kuliko thamani ya bidhaa zinazouzwa, kwa hivyo bei inapanda ili thamani ya bidhaa iwe sawa na hela zilizoko mitaani. Hayo ni maelezo mepensi kwa lunga rahisi watu wa uchumi wanaweza kutoa details zake.
.
Kulikuwa na maneno humu wakati wa hayati JPM kwamba jamaa wa TRA wanapika data za kodi. Awamu hii michezo hiyo imekwisha?. maana sisikii tena hizo lawama.Mapunguani huwa hamuwezi kuisha,unavyoropoka sasa utadhani uchumi uko stagnant..
Unapayuka utadhani huwa hufuatilii hata taarifa za mwenendo wa Uchumi,mapato nk wa Serikali..
Ndio maana Samia aliwahi kuwaambia watu dizaini yako mna akili ndogo Sana. 👇
View attachment 2225650
Wakati mwingine kuna watu wanapotosha makusudi ilhali ukweli wanaufahamu..Inawezekana ukatoa hoja kinzani na mwenzako bila hata kumtusi.....hapa ni jukwaani na kila mtu anatoa maoni kulingana na mtazamo wake...lakini wakati mwingine unaweza kwenda kombo kimitazamo na mwenzako akakurekebisha......
Ndio maana yake kwa sababu serikali iko transparency..Kulikuwa na maneno humu wakati wa hayati JPM kwamba jamaa wa TRA wanapika data za kodi. Awamu hii michezo hiyo imekwisha?. maana sisikii tena hizo lawama.
Unapiga ramli au? Serikali ipandishe gharama za Huduma za jamii kivipi ikiwa imeshusha gharama za Huduma hizo?Yeye alizibiti mfumuko wa vitu muhimu, baada ya miezi miwili huduma muhimu zitakuwa juu, mfano Hospital galama Zita panda, bill ya maji, umeme, Kodi ya Nyumba.
Ramli haziwezi kukusaidia,cha kukusaidia tuu ni kwamba Samia ni akili kubwa na Serikali ina pesa..Hata miradi ya sasa hakutakuwa na pesa ya kuiendeleza. Yote itakufa.
Tutachukua mikopo kulipia hili tangazo.
Kanuni ya kukokotoa ni kupunguza asilimia kadiri unavyota kwenye minimum wage kwenda salary ya Juu.Umeandika vyema, ila makasiriko yanamekuzidi. Unaposema maarifa ya watu wote serikalini ni useless au yamepitwa na wakati , ina maana hata ya kwako pia ni useless kwani wewe ni uzao uleule labda kama una exemption. Au umebaki wewe tu ndiye mwenye maarifa yanayoenda na wakati? Au walioko nje ya mfumo wa serikali tu ndo wenye maarifa yanayofaa?
Ni kweli mshahara utapanda 23.3% kwa kima cha chini, lakini kwa mfumo wa kodi kila mshahara wa mfanyakazi aliyeajiriwa serikalini, ndani yake kuna kima cha chini cha mshahara. Hivyo, ni lazima kuna maelezo ya jinsi ya adjustments zitakavyokuwa.
Pamoja na hayo yote hakuna aliyeweza kutoa maelezo yakinifu kuwa ndani ya kukokotoa hiyo mishahara mingine itakuwaje wakati umepandisha kima cha chini. Je kuna maelezo ya ziada kwa kabrasha husika, nadhani kuna haja ya kusoma document yote kabla ya kuona kuwa kila kitu ni useless. Hapa suala si kutosha au kutokutosha mshahara bali jinsi ya kujenga hoja. Neno IKIWEMO lina maana kubwa kwenye taarifa rasmi.
Pia, haya makasiriko mbona hayakuonekana wakati iliposemwa PAYE imeshushwa to a single digit?? Maana inabeba ujumbe uleule wenye ukakasi pia.
Hujui kituMakusanyo ni 1.5 trilion kwa mwezi na matumizi ya kulipa madeni na mishahara tuu ni 1.8 trillion kwa mwezi, hapo hakuna kuchomoka tutakuwa watumwa tuu wa mabeberu , kitakachofuata mabeberu wakataa kutukopesha itabidi tuchapishe za kwetu inflation itapiga 1000% na mkate utakuwa milioni mbili then watu itabidi waingie mtaaani halafu either tutapata dictator la kututesa au smart wa kuturudisha mstarini, sikujua kama hali ni mbaya kiasi hicho
RubbishHakuna namna, either anakuja mwingine kama JPM kurekebisha mahesabu, kubana matumizi, kuweka vipaumbele sahihi kwa nguvu za kidikteta (hakuna mbadala) au tutauzwa jumla jumla.
Options nyingine ni kama ya watu wa Sri Lanka.
Wewe umejaa usaha kichwani..Wewe ilivyo kichwa maji unahisi Serikali huwa inaweka wazi mikopo yote! Huyo mama ameshakopa hela nyingi sana tokea aingie! Na kwa taarifa yako yale makusanyo ya TRA ni uongo ndo maana saizi wanakazania matumizi ya EFD lakini kipindi anaingia aliwaaminisha wafanya biashara wawe huru kuonesha yeye ni mshikaji! Na kingine umeona kwenye mafuta wameingiza bilioni 100 kushusha inflation lakini imeshuka sh 29 tu kwa lita! Imaonesha Serikali haina pesa! Brabra za wanasiasa tu!
Sio tuu haijamalizika aliacha hiyo miradi ikiwa inatekelezwa kwa kusua sua kwa sababu hakuna pesa..SGR haijamalizika, Stigler bwawa sijui Nyerere Hydropower haijamalizika, na miradi aliyoiacha mwendazake haijamalizika, unataka ianzishwe mingine? Tumalize hiyo kwanza
Tuonyeshe mapato yalivyopunguaUnazilipiaje? Wewe na wenzako kwenye serikali hii? Mtuambie. Ni rahisi sana kumuita mtu majina ukikosa majibu.
Hakuna binadamu , Mtanzania ambaye hapendi Watanzania wote wawe na maisha mazuri.
Mapato yanapungua, matumizi yanaongezeka.
Tuonyeshe hizi pesa zitatoka wapi, mikopo? Kodi zingine zaidi?
Haya yote Rais anayajua tena haishii kusikiliza wasomi tuu bali anasikiliza watu wa biashara TccIa..Kwanini mmetoa ruzuku kwa wakulima ambao ndio wengi 70% ya Watanzania.
Mshaurini vizuri SSH kwenye vikao vyenu. Kukuza uchumi kwa kasi punguzeni kodi, ukiritimba, milolongo, biashara zitashamiri.
Mkuu Fallacy siku zote huwa unakuwa na data zilizo kamilika, bravo mkuu.Sio tuu haijamalizika aliacha hiyo miradi ikiwa inatekelezwa kwa kusua sua kwa sababu hakuna pesa..
Sasa hivi miradi inatekelezwa kwa Kasi na miradi mipya mingi inaenda kuanzishwa kuanzia mwaka huu, miongoni mwazo ni hii hapa kwenye sekta ya maji👇
View attachment 2225717
View attachment 2225718
Huwa siongeaji empty words kama hao tumbili..Mkuu Fallacy siku zote huwa unakuwa na data zilizo kamilika, bravo mkuu.