MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
Well said,
Hii kusema tz haitakalika..kwa wanafunzi na mikopo..wanafunzi wa UD na % kidogo sana ya Watz wote..na ukiangalia watu wa kawaida wala hawawaungi mkono!
Hata maandamano yao..watu wa kawaida wanaona ni watoto tu..bado hawajakomaa...ndo maana maneno ya jazba kama Tz haitakalika huweza kutolewa.
Migogoro Tz imekuwa mingi..tangu 1961 na Tz ipo na watu wake hadi leo...kuna anayekumbuka wanafunzi UD kukataa kwenda JKT in mid 1960's- na Nyerere alichowaambia? Actually Mwalimu alikasirika hata akakaribia kuwachapa viboko!
Sii wanafunzi hawa hawa walikosa maji wakaenda kwa VC Luhanga wanampiga mlinzi..wakaenda UDASA wakawanywa bia..wakalewa..wakaenda Swiming pool..wakaogelea hadi bahati mbaya mmoja wao akafa? Kisa walikosa maji kwa siku kadhaa??
Ndo hawa hawa wanasema Tz haitakalika bila wote kupewa mikopo 100%?
Wanashindwa kusoma alama za nyakati!
Hii kusema tz haitakalika..kwa wanafunzi na mikopo..wanafunzi wa UD na % kidogo sana ya Watz wote..na ukiangalia watu wa kawaida wala hawawaungi mkono!
Hata maandamano yao..watu wa kawaida wanaona ni watoto tu..bado hawajakomaa...ndo maana maneno ya jazba kama Tz haitakalika huweza kutolewa.
Migogoro Tz imekuwa mingi..tangu 1961 na Tz ipo na watu wake hadi leo...kuna anayekumbuka wanafunzi UD kukataa kwenda JKT in mid 1960's- na Nyerere alichowaambia? Actually Mwalimu alikasirika hata akakaribia kuwachapa viboko!
Sii wanafunzi hawa hawa walikosa maji wakaenda kwa VC Luhanga wanampiga mlinzi..wakaenda UDASA wakawanywa bia..wakalewa..wakaenda Swiming pool..wakaogelea hadi bahati mbaya mmoja wao akafa? Kisa walikosa maji kwa siku kadhaa??
Ndo hawa hawa wanasema Tz haitakalika bila wote kupewa mikopo 100%?
Wanashindwa kusoma alama za nyakati!