johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hahahaaaaa.........mwalimu Albert Chalamila!Yaani wewe nakufananisha na RC wa Mbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa.........mwalimu Albert Chalamila!Yaani wewe nakufananisha na RC wa Mbeya
Kwingine wapi?
Hahahaaaaaa..........!
Capitalist Economy, Free market economy tushindane kibiashara kwa diplomasia maana tukizuia shaba kupita pia tutakosa pesa pia.
Mbona simple 2 wauzie mahindi Zambia nao wauze congo maana Zambia nao hawalimi mahindi wanayatoa Tanzania kwa njia za magendo.
Imagine kama mfano msumbiji wakitaka kuuza mahindi kenya mtawaruhusu kirahi rahisi kupitisha apa kwetu?
Tatizo utawala wa Magufuli wamekosa diplomasia.
Sababu ya mahindi tu muwaze kuwazuia wazambia kutumia bandari ya Dar.?
Hii serikali inapaswa iwe inatembea tembea nje kujifunza maana ya mahusiano.
Hivi anajua Zambia inachangia kiasi gani kwenye pato la nchi hii, hivi anajua ndani Zambia kuna maelfu ya Watanzania wanavuna tu huko na kuleta Tanzania..
Hizi kauli zingine bora kukaa kimya tu kuliko kuropoka namna hii.!
Mku Port Beira ya Mozambiq na hapa Dar wapi mbali ndugu.Waziri wa biashara mh Bashunga amesema Zambia inafanya faulo katika biashara ya mahindi kwenye soko la DRC.
Mh Bashunga amesema kama Zambia wataendelea na faulo zao japo wote tuko kwenye SADC basi serikali haitasita kuizuia kupitishia mizigo yao hapa nchini.
Source ITV habari!
Anakenuaaa mimenooo tuUnacheka ujinga. Sasa hivi bidhaa nyingi za kwenda Congo DRC zinapitia beira hawa wazambia wanatuonea aibu tu kwakua tulianza nao biashara zamani kidogo lakini msijione sana mmeshika biashara ya bandari ke.nge nyi.e
Bwashee kesho tuko Hai na Mwamba wa Ufipa!
Badala ya kupambana kuwin soko la DRC mnaanza vitisho.
Mimi ni CCM lakini naona aibu sana kuwa mwanaccm ......kauli gani hizo jamani zinatolewa?je aliyetoa hiyo kauli aliitoa akiwa kwenye hali gani?
Ahsante bwashee, tumekodi treni!
KaweKwingine wapi?