Tanzania haitasita kuizuia Zambia kupitishia mizigo yao hapa nchini

Tanzania haitasita kuizuia Zambia kupitishia mizigo yao hapa nchini

Waziri wa biashara mh Bashunga amesema Zambia inafanya faulo katika biashara ya mahindi kwenye soko la DRC.

Mh Bashunga amesema kama Zambia wataendelea na faulo zao japo wote tuko kwenye SADC basi serikali haitasita kuizuia kupitishia mizigo yao hapa nchini.

Source ITV habari!
Huyo waziri ni mjinga kama katamka hayo maneno
 
Waziri wa biashara mh Bashunga amesema Zambia inafanya faulo katika biashara ya mahindi kwenye soko la DRC.

Mh Bashunga amesema kama Zambia wataendelea na faulo zao japo wote tuko kwenye SADC basi serikali haitasita kuizuia kupitishia mizigo yao hapa nchini.

Source ITV habari!
Chunga mdomo
 
bandari ya DURBAN wanachekelea. tumieni akili mambo mengine.
 
Badala ya kupambana kuwin soko la DRC mnaanza vitisho.
Na huyo ni waziri kijana,yaani jamaa maarifa yake ni madogo sana,nilihudhuria mahafali ya Kaizerege na yeye ndo alikuwa mgeni rasmi yaani hotuba nzima kujisifia nilisoma Marekani,sifa zenyewe hazina connection na mazingira ya hayo mahafali
 
Tatizo Watu waliopewa mamlaka kwa ujumla wengi wao waliteuliwa wakati hawakuwahi kutoka kwenda nje Tanzania ila kwa sasa wamepata nafasi wajitahidi kutembea ili wajue tuko wapi kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo waziri aliyeongea hayo maneno kasoma Marekani baada tu ya kumaliza kidato cha nne,yaani kwa kifupi hakwenda US kubeba box,lakini akili yake ni ndogo haswa
 
Waziri wa biashara mh Bashunga amesema Zambia inafanya faulo katika biashara ya mahindi kwenye soko la DRC.

Mh Bashunga amesema kama Zambia wataendelea na faulo zao japo wote tuko kwenye SADC basi serikali haitasita kuizuia kupitishia mizigo yao hapa nchini.

Source ITV habari!
Peleka Jeshi Tunduma, wasituchezee!! Hawajui sisi ni dona Kantiri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Capitalist Economy, Free market economy tushindane kibiashara kwa diplomasia maana tukizuia shaba kupita pia tutakosa pesa pia.

Mbona simple 2 wauzie mahindi Zambia nao wauze congo maana Zambia nao hawalimi mahindi wanayatoa Tanzania kwa njia za magendo.

Imagine kama mfano msumbiji wakitaka kuuza mahindi kenya mtawaruhusu kirahi rahisi kupitisha apa kwetu?

Tatizo utawala wa Magufuli wamekosa diplomasia.
Aliekuambia Zambia hawalimi mahindi nani? Kipindi wakulima tumezuiwa kuuza mahindi KE walitoa wapi kama si Zambia?



God save us
 
Sababu ya mahindi tu muwaze kuwazuia wazambia kutumia bandari ya Dar.?

Hii serikali inapaswa iwe inatembea tembea nje kujifunza maana ya mahusiano.

Hivi anajua Zambia inachangia kiasi gani kwenye pato la nchi hii, hivi anajua ndani Zambia kuna maelfu ya Watanzania wanavuna tu huko na kuleta Tanzania..

Hizi kauli zingine bora kukaa kimya tu kuliko kuropoka namna hii.!
Viongozi wanaopenda waonekane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wanajua Nyerere na Kaunda walikotokea wajaribu kuzuia kama mzimu wa Nyerere hautawazukia na matamko yao yasiyo na tija kwa Taifa.
Mawazo kama haya ndio yanarudisha maendeleo nyuma!! Eti mzimu wa nyerere!! Kama upo kweli umeshindwa kujitokeza na kuwasaidia WATZ, kwa haya yanayoendelea ndani ya nchi yao, uwe na uchungu zaidi na inshu ya zambia?!! Sasa watz, wanaishi kiu adui, walioko chama kile ndio wanajiona wenye haki na nchi hii, kuliko hao wengine, hadi mtu anatolewa uhai, kisa hayupo nao?! Mzimu wa baba wa taifa, umeshindwa kujitokeza na kuwafanyia kitu mbaya wale waliotufikisha hapa, uje kuwa na uchungu na wa zambia!!! Masihara hayo!! Ndio akile zile za kijinga, BWANA NAMUACHIA MUNGU TU!!,
 
Mawazo kama haya ndio yanarudisha maendeleo nyuma!! Eti mzimu wa nyerere!! Kama upo kweli umeshindwa kujitokeza na kuwasaidia WATZ, kwa haya yanayoendelea ndani ya nchi yao, uwe na uchungu zaidi na inshu ya zambia?!! Sasa watz, wanaishi kiu adui, walioko chama kile ndio wanajiona wenye haki na nchi hii, kuliko hao wengine, hadi mtu anatolewa uhai, kisa hayupo nao?! Mzimu wa baba wa taifa, umeshindwa kujitokeza na kuwafanyia kitu mbaya wale waliotufikisha hapa, uje kuwa na uchungu na wa zambia!!! Masihara hayo!! Ndio akile zile za kijinga, BWANA NAMUACHIA MUNGU TU!!,
CCM wanachojua ni kuwabambikia watu kesi na kauli za kijinga jinga zisizo na Tija kwa Taifa
 
Sababu ya mahindi tu muwaze kuwazuia wazambia kutumia bandari ya Dar.?

Hii serikali inapaswa iwe inatembea tembea nje kujifunza maana ya mahusiano.

Hivi anajua Zambia inachangia kiasi gani kwenye pato la nchi hii, hivi anajua ndani Zambia kuna maelfu ya Watanzania wanavuna tu huko na kuleta Tanzania..

Hizi kauli zingine bora kukaa kimya tu kuliko kuropoka namna hii.!
Kwa Nchi zenye kujielewa huyo waziri mda huu angekuwa keshafukuzwa kazi kwa kauli za kuzorotesha uchumi
 
Huyu Waziri ni kilaza. Haoni kwamba serikali itapoteza mapato. Zambia siwatapitisha mizigo ya msumbiji?
Hili ni tatizo la mfumo. Jinsi tunavyopata viongozi wetu ,unajiuliza huyu mpumbavu amefikaje kwenye kazi ya uwaziri.tume huru. Ya uchaguzi Ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom