Tanzania haitasita kuizuia Zambia kupitishia mizigo yao hapa nchini

Tanzania haitasita kuizuia Zambia kupitishia mizigo yao hapa nchini

Ukweli wa hii habari ni kwamba Zambia inazuia malori ya bidhaa yatokayo Tanzania kwenda DRC. Hivyo Tanzania inatishia kuyazuia magari kama hayo ya mizigo yanayotoka Zambia kwenda Rwanda na Burundi kupitia hapa nchini.
Malori yenye bidhaa gani?
 
Ukweli wa hii habari ni kwamba Zambia inazuia malori ya bidhaa yatokayo Tanzania kwenda DRC. Hivyo Tanzania inatishia kuyazuia magari kama hayo ya mizigo yanayotoka Zambia kwenda Rwanda na Burundi kupitia hapa nchini.
Tungekuwa na viongozi wenye akili, wangelimaliza hilo kwa diplomasia, na pengine hata bila ya wananchi kujua.
 
Wengi wamekosa diplomasia ya uchumi sababu ya exposure.Mtembea bure si sawa na mkaa bure mtembeaji anapata exposure. Zambia wana bandari nyingi sana wanazotegemea sisi ndio tutakaoathirika.Wana bandari ya Angola, South Africa na ya Mozambique pia,hii yetu wanatumia sababu ya heshima ya Kaunda na Nyerere kama wanatuonea aibu vile.Kabla awamu ya kuzalisha masikini nchini haijaingia ni takribani truck elf 6 za watz zilikuwa zikivuka tunduma border kwa mwezi kati ya hizo ni truck 300 tu ndizo zilikuwa za wazambia na wacongo,watz walitengeneza faida nyingi sana kuanzia kodi,ajira,nk.Ilipoingia awamu ya kuwataka matajiri wawe masikini matajiri wengi sana watz sababu wana exposure yaani sio washamba wakuja wanalijua jiji walizihamishia truck zao na kuzisajilia nchini Zambia, Congo,Kenya,Malawi na Mozambique yaani waligoma kuishi kishetani msala wameachiwa wanyonge ndio wanalimia kucha kwa maana zile ajira za kwenye truck zilikufa zimeenda nchi za jirani sababu ukisajili truck kule lzm na madereva na matingo watoke kule.Truck nyingi zilizokuwa Tz ukienda Beira Mozambique unakutana nazo zinaenda Zambia,Congo,Zimbabwe kupitia njia ya Malawi.Hakuna mwanadamu yeyeto anaweza zuia riziki ya toka kwa Mungu wanasubiria awamu ya kuzalisha masikini ikipita watazirudisha tena bongo trucks zao ni kama ilivokuwa enzi za Nyerere alipotaka watu wawe masikini wachaga walihamishia pesa zao Kenya ,wahindi walihamia Canada,USA na UK wakaendelea kuwa matajiri alipoingia mzee ruksa wachaga wakazirudisha nchini ndio hao wakaanza kumiliki biashara za mabus,maguest,mahotel,mabar ,maduka nk ndipo wakaanza kuchomoza kina Mengi,Bakresa,nk enzi za Nyerere hawakuruhusiwa kuwa maarufu zaidi ya mwalimu. Masikini walifurahi sana matajiri wakishughulikiwa haswaa wakidhani watakuwa salama kumbe leo ndio hao wanalimia kucha baada ya hata meno kwisha.Matajiri wametulia tuli wanapokea check tu bizness zao nje zikinawiri.Tajiri kusomeshwa namba ni kaamua mwenyewe. Tumepoteza mapato na ajira sababu ya chuki na ubinafsi wa wasio na exposure, walidhani watawashusha matajiri kwa kuwasomesha namba kumbe namba wanazisoma wao sasa.
 
We will loose totally kwa sasa Msumbiji wana standard gauge train ambapo ina supply nchi za Sadc tena kwa bei rahisi kuliko kutumia ma roli sasa tukisema tuzinguane nao si wao watafurah biashara huria
Mimi nadhani maamuzi yetu yawe mapana hata kwa vizazi vijavyo sio kufanya kwa mihemko ya siasa sifa
 
Ukweli wa hii habari ni kwamba Zambia inazuia malori ya bidhaa yatokayo Tanzania kwenda DRC. Hivyo Tanzania inatishia kuyazuia magari kama hayo ya mizigo yanayotoka Zambia kwenda Rwanda na Burundi kupitia hapa nchini.
Hapo ni suala la diplomasia kuzungumza tu halafu utakuta ni kiraka kimoja tu cha Zambia kimeaumua binafsi na si maamuzi ya serikali ya Zambia hicho kinafukuzwa kazi tu watu wazima wanaweka mambo sawa,bifu haijibiwi na bifu
 
We will loose totally kwa sasa Msumbiji wana standard gauge train ambapo ina supply nchi za Sadc tena kwa bei rahisi kuliko kutumia ma roli sasa tukisema tuzinguane nao si wao watafurah biashara huria
Mimi nadhani maamuzi yetu yawe mapana hata kwa vizazi vijavyo sio kufanya kwa mihemko ya siasa sifa
True mfano zile bifu binafsi za watawala kumchukia Kenyatta eti sababu aelewani na Raila ikapelekea uchomaji wa vifaranga na utaifishaji wa mifugo. Kenya alipigwa njaa akawa anahitaji mahindi toka kwetu na yalikuwapo ya kutosha ikatoka amri ya kuzuia kuuza mazao nje ili kumkomoa Kenyatta juu ya bifu za kishamba,Kenya wakaona isiwe tabu tumewanyima mahindi wakaenda Zambia wakayasomba vya kutosha Zambia inachakula sababu wakulima waliofukuzwa na Mugabe sababu ya chuki binafsi walikaribishwa Zambia na Malawi wanalima huko.Mahindi yetu yakawaozea wakulima wetu wakakosa pesa toka Kenya waliopeleka kimagendo yakataifishwa malori wapo wabongo wachache waliotumia fursa hio kunufaika walikodi truck zenye usajili wa Zambia wakapenyea mwanya huo huo kuingiza Kenya mahindi.Baada ya kuyasolve ikiwemo lile sakata la bifu la magari ya utalii pia watu wakaruhusiwa kuuza mahindi Kenya lkn ikawa ni too late Kenya ina stock ya mahindi ya kutosha toka nje wakati huo huo nao wako msimu wa mavuno baada ya mvua kunyesha vizuri,wakulima wetu wakawa wamelikosa soko la Kenya sababu tu za maamuzi mabovu ya wanasiasa wabinafsi,wao wanaendekeza bifu sababu wako kwenye viyoyozi hayawakuti magumu kama wananchi.
 
Waziri wetu wa viwonder alichimba shimo
Leo kaingia mwenyewe kwenye shimo
Teh Teh Teh teh
 
Back
Top Bottom