bandari ya DURBAN wanachekelea. tumieni akili mambo mengine.
..pia kuna bandari za Angola na reli inayounganisha nchi hiyo na Zambia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bandari ya DURBAN wanachekelea. tumieni akili mambo mengine.
Jamani huyu waziri achunguzwe urai wake asije kuwa mnyarwanda akawa anahujumu nchi na uchumi wetu maana si kauri ya busara na kiuongoziHuyu Waziri ni kilaza. Haoni kwamba serikali itapoteza mapato. Zambia siwatapitisha mizigo ya msumbiji?
Kesho magufuli amfukuze kazi au na yeye ana ndumba kama za Daud Bashite
Lengo kuu la boss ndo hilo hao ndio watakao nyenyekea watapelekeshwaTatizo Watu waliopewa mamlaka kwa ujumla wengi wao waliteuliwa wakati hawakuwahi kutoka kwenda nje Tanzania ila kwa sasa wamepata nafasi wajitahidi kutembea ili wajue tuko wapi kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Zambia hawalimi mahindi una uhakika?Capitalist Economy, Free market economy tushindane kibiashara kwa diplomasia maana tukizuia shaba kupita pia tutakosa pesa pia.
Mbona simple 2 wauzie mahindi Zambia nao wauze congo maana Zambia nao hawalimi mahindi wanayatoa Tanzania kwa njia za magendo.
Imagine kama mfano msumbiji wakitaka kuuza mahindi kenya mtawaruhusu kirahi rahisi kupitisha apa kwetu?
Tatizo utawala wa Magufuli wamekosa diplomasia.
Punguzeni Hizo aisee,, Ajira mmetunyima tumejiongeza tumepata vileseni na vidayworker vya hapa na pale kupeleka magari IT Zambia napo mnataka kuharibu pia. Twende wapi sasa na tule nn au mnataka digestion system izibe?
Punguzeni Hizo aisee,, Ajira mmetunyima tumejiongeza tumepata vileseni na vidayworker vya hapa na pale kupeleka magari IT Zambia napo mnataka kuharibu pia. Twende wapi sasa na tule nn au mnataka digestion system izibe?
Zambia hawalimi mahindi una uhakika?
Huyu waziri sijui kama kuna jina limfaalo. Safari hii tuna balaa lakupata viongozi waropokaji.Capitalist Economy, Free market economy tushindane kibiashara kwa diplomasia maana tukizuia shaba kupita pia tutakosa pesa pia.
Mbona simple 2 wauzie mahindi Zambia nao wauze congo maana Zambia nao hawalimi mahindi wanayatoa Tanzania kwa njia za magendo.
Imagine kama mfano msumbiji wakitaka kuuza mahindi kenya mtawaruhusu kirahi rahisi kupitisha apa kwetu?
Tatizo utawala wa Magufuli wamekosa diplomasia.
Sasa hiyo ndiyo itatatuwa tatizo au itazidisha tatizo!?Waziri wa biashara mh Bashunga amesema Zambia inafanya faulo katika biashara ya mahindi kwenye soko la DRC.
Mh Bashunga amesema kama Zambia wataendelea na faulo zao japo wote tuko kwenye SADC basi serikali haitasita kuizuia kupitishia mizigo yao hapa nchini.
Source ITV habari!
Mawaziri wa hivi sijui wameokotwa wapi! Angalao Kabudi alikuwa muwazi kuwa aliokotwa jalalani lakini huyu wa biashara lazima aliokotwa sehemu mbaya zaidi na hata baada ya kuokotwa akaendelea kuwa na fikra zake za huko alikookotwa.Kabla Mheshimiwa Waziri hajatoa tamko lake aangalie critically prons and cons, na aone kuwa hakuna namna nyingine, hata ya mazungumzi, ndipo afanye maamuzi, au ashauri hilo lifanyike,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umekalia nini meku?Utakalia hayo hayo.
Kuwazuia wazambia wanaotuletea pesa kwa kupitishia mizigo yao kwetu ndo kuleta maendeleo?.Mawazo kama haya ndio yanarudisha maendeleo nyuma!! Eti mzimu wa nyerere!! Kama upo kweli umeshindwa kujitokeza na kuwasaidia WATZ, kwa haya yanayoendelea ndani ya nchi yao, uwe na uchungu zaidi na inshu ya zambia?!! Sasa watz, wanaishi kiu adui, walioko chama kile ndio wanajiona wenye haki na nchi hii, kuliko hao wengine, hadi mtu anatolewa uhai, kisa hayupo nao?! Mzimu wa baba wa taifa, umeshindwa kujitokeza na kuwafanyia kitu mbaya wale waliotufikisha hapa, uje kuwa na uchungu na wa zambia!!! Masihara hayo!! Ndio akile zile za kijinga, BWANA NAMUACHIA MUNGU TU!!,
Mimi ni CCM lakini naona aibu sana kuwa mwanaccm ......kauli gani hizo jamani zinatolewa?je aliyetoa hiyo kauli aliitoa akiwa kwenye hali gani?
Mkuu Dar Lusaka ni 1900 na usheeUmbali kutoka dar es salaam mpaka Lusaka ni km1428, na beira mpaka Lusaka ni km 1052, serekali iache kutumia nguvu watumie akili