Tanzania haitasita kuizuia Zambia kupitishia mizigo yao hapa nchini

Tanzania haitasita kuizuia Zambia kupitishia mizigo yao hapa nchini

Punguzeni Hizo aisee,, Ajira mmetunyima tumejiongeza tumepata vileseni na vidayworker vya hapa na pale kupeleka magari IT Zambia napo mnataka kuharibu pia. Twende wapi sasa na tule nn au mnataka digestion system izibe?
 
Wanashindwa kuzuia wachina Wanao toka China nakuja Tanzania Hasa kukiwa na Hatari Ya Corona

Nchi Kubwa tu zimewapiga marufuku wanakuja na vizuizi visivyo kuwa na tija

Hivi sibora wangeacha Ndugu Zetu karibia 400 naa wakarejea makwao Kuliko hawa ng'ombe kuja kutalii Kipindi Hichi tena tunajinadi wameongezeaka

Tunapokea hadi Mia Kwasiku kutoka 30 msyuuuu[emoji34]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Capitalist Economy, Free market economy tushindane kibiashara kwa diplomasia maana tukizuia shaba kupita pia tutakosa pesa pia.

Mbona simple 2 wauzie mahindi Zambia nao wauze congo maana Zambia nao hawalimi mahindi wanayatoa Tanzania kwa njia za magendo.

Imagine kama mfano msumbiji wakitaka kuuza mahindi kenya mtawaruhusu kirahi rahisi kupitisha apa kwetu?

Tatizo utawala wa Magufuli wamekosa diplomasia.
Zambia hawalimi mahindi una uhakika?
 
Punguzeni Hizo aisee,, Ajira mmetunyima tumejiongeza tumepata vileseni na vidayworker vya hapa na pale kupeleka magari IT Zambia napo mnataka kuharibu pia. Twende wapi sasa na tule nn au mnataka digestion system izibe?

Watoto wao wako tra,bot,nssf,tpa etc wala hawawezi kujua maswaibu mtakayoyapitia baada ya kukosa kazi za IT kupeleka gari huko Zambia.
 
Punguzeni Hizo aisee,, Ajira mmetunyima tumejiongeza tumepata vileseni na vidayworker vya hapa na pale kupeleka magari IT Zambia napo mnataka kuharibu pia. Twende wapi sasa na tule nn au mnataka digestion system izibe?

Watoto wao wako tra,bot,nssf,tpa etc wala hawawezi kujua maswaibu mtakayoyapitia baada ya kukosa kazi za IT kupeleka gari huko Zambia.
 
Capitalist Economy, Free market economy tushindane kibiashara kwa diplomasia maana tukizuia shaba kupita pia tutakosa pesa pia.

Mbona simple 2 wauzie mahindi Zambia nao wauze congo maana Zambia nao hawalimi mahindi wanayatoa Tanzania kwa njia za magendo.

Imagine kama mfano msumbiji wakitaka kuuza mahindi kenya mtawaruhusu kirahi rahisi kupitisha apa kwetu?

Tatizo utawala wa Magufuli wamekosa diplomasia.
Huyu waziri sijui kama kuna jina limfaalo. Safari hii tuna balaa lakupata viongozi waropokaji.
 
Waziri wa biashara mh Bashunga amesema Zambia inafanya faulo katika biashara ya mahindi kwenye soko la DRC.

Mh Bashunga amesema kama Zambia wataendelea na faulo zao japo wote tuko kwenye SADC basi serikali haitasita kuizuia kupitishia mizigo yao hapa nchini.

Source ITV habari!
Sasa hiyo ndiyo itatatuwa tatizo au itazidisha tatizo!?
 
Kabla Mheshimiwa Waziri hajatoa tamko lake aangalie critically prons and cons, na aone kuwa hakuna namna nyingine, hata ya mazungumzi, ndipo afanye maamuzi, au ashauri hilo lifanyike,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawaziri wa hivi sijui wameokotwa wapi! Angalao Kabudi alikuwa muwazi kuwa aliokotwa jalalani lakini huyu wa biashara lazima aliokotwa sehemu mbaya zaidi na hata baada ya kuokotwa akaendelea kuwa na fikra zake za huko alikookotwa.
 
Nani kamshauri Waziri huyu kijana. Mbona mapema sana kutoa matamshi kama hayo. Bora angenyamaza vijana hatuna ajira atupatie mahindi tutapiga nayo mbizi ziwa Tanganyika ebo. Akakanushe haraka iwezekanavyo
 
Mawazo kama haya ndio yanarudisha maendeleo nyuma!! Eti mzimu wa nyerere!! Kama upo kweli umeshindwa kujitokeza na kuwasaidia WATZ, kwa haya yanayoendelea ndani ya nchi yao, uwe na uchungu zaidi na inshu ya zambia?!! Sasa watz, wanaishi kiu adui, walioko chama kile ndio wanajiona wenye haki na nchi hii, kuliko hao wengine, hadi mtu anatolewa uhai, kisa hayupo nao?! Mzimu wa baba wa taifa, umeshindwa kujitokeza na kuwafanyia kitu mbaya wale waliotufikisha hapa, uje kuwa na uchungu na wa zambia!!! Masihara hayo!! Ndio akile zile za kijinga, BWANA NAMUACHIA MUNGU TU!!,
Kuwazuia wazambia wanaotuletea pesa kwa kupitishia mizigo yao kwetu ndo kuleta maendeleo?.
 
Ukweli wa hii habari ni kwamba Zambia inazuia malori ya bidhaa yatokayo Tanzania kwenda DRC. Hivyo Tanzania inatishia kuyazuia magari kama hayo ya mizigo yanayotoka Zambia kwenda Rwanda na Burundi kupitia hapa nchini.
 
Back
Top Bottom