Tanzania haiwezi kuendelea kwa sababu Makanisa na Misikiti ni Mingi sana kuliko idadi ya Viwanda, Hospital na Shule

Tanzania haiwezi kuendelea kwa sababu Makanisa na Misikiti ni Mingi sana kuliko idadi ya Viwanda, Hospital na Shule

Mkuu Freshman,the bittertruth you said itawaumiza wengi sana,ila kihualisia Africa inahotaji maendeleo ya technology zaidi ya theology.

Maana nchi nyingi ambazo hazina Ukristo wala Uislamu Zina maendeleo sana na mungu hawapi adhàbu yoyote,si kwamba mungu hayupo,mungu yupo ila si huyu wa Wakristo na WA Islam.


North Korea ukikutwa na bibilia au Quran adhàbu yake ni kifo,nchi kama Japan,China,laos,Bhutan, Armenia,North Korea etc. Hazina Uislamu Wala ukrisato na ndo matajiri,na asilimia 95% ya magari tunayotumia yanatokea nchi isiyokuwa na dini,Japan,kwann mungu asingetupa sisi tunaokesha misikitini na makanisani?
Nchi hizo zinazopiga marufuku dini ni wajinga sana,hawana akili.Dini ni uchumi.Kilq mwaka ukiwa na mahujaj laki 4 tu,wanaosafiri kwenda Hija,nchi inapata kodi kubwa ya kuanzia usafiri wa ndani,mahotel,chakula na huduma nyingine na tiketi za ndege na kodi za viwanja vya ndege.Kwenda na kurudi,ni pesa nyingi tu.Ni mjinga peke yake ndio atqkayezikataa pesa hizi za kodi na za kuongeza ajira.
 
Tanazania imejaa wapumbavu wengi sana,

Hiyo misikiti na makanisa inazuia vipi viwanda visijengwe? imemaliza ardhi yote kiasi kwamba wawekezaji wamekosa maeneo?

Hivi hayo makanisa na misikiti yamejengwa na serikali? na kama watu wameamua kujenga majengo yao ya ibada unataka serikali iwakataze? then wakuabudu wewe?

tutoke huko tuje kwa hao waarabu na na hija.
unadhani na hao waarabu wa leo walikaa kikao na kusema tujenga hili kaaba kwa ajili ya watu waje kila mwaka ili tufanye biashara ama kivutio cha utalii.

Hiyo KAABA imejengwa na Ibrahim ambaye hakua mwarabu kabisa, alitoka huko Iraq, sasa hebu tujiulize hao wa Iraq wananufaika vipi na hiyo ibada.
Hujamuelewa mtoa hoja. Yupo sahihi
 
Tanazania imejaa wapumbavu wengi sana,

Hiyo misikiti na makanisa inazuia vipi viwanda visijengwe? imemaliza ardhi yote kiasi kwamba wawekezaji wamekosa maeneo?

Hivi hayo makanisa na misikiti yamejengwa na serikali? na kama watu wameamua kujenga majengo yao ya ibada unataka serikali iwakataze? then wakuabudu wewe?

tutoke huko tuje kwa hao waarabu na na hija.
unadhani na hao waarabu wa leo walikaa kikao na kusema tujenga hili kaaba kwa ajili ya watu waje kila mwaka ili tufanye biashara ama kivutio cha utalii.

Hiyo KAABA imejengwa na Ibrahim ambaye hakua mwarabu kabisa, alitoka huko Iraq, sasa hebu tujiulize hao wa Iraq wananufaika vipi na hiyo ibada.
Uongo huuuuuu.
 
Sa itakuaje??
Sijasoma upuuzi alioandika ila Vijana wa sasa wana shida sana. Wanashindia kubet, umalaya na Uchawa alafu wanalaumu misikiti na kanisa. Wanaona Mabar, Madanguro, sehemu za kubet na Maguruguru ni sawa na zinaleta Maendeleo ila misikiti na kanisa ndio kikwazo.

Wanashindwa kupambana kwa ajili ya kujiletea maendeleo ila wanalaumu Makanisa na misikiti. Mi nimetoka Kanisani asubuhi hii, sasa naenda kupambana. Sasa hapo Kanisa limeninyimaje maendeleo.
 
Huu ni ukweli mchungu.


Hakuna Taifa lililoendelea kwa kuweka mbele dini kuliko viwanda.

Hata Saudi arabia wanaendelea sababu dini kwao ni biashara inayochangia pato lao la taifa matrilioni ya hela. Wanafurahi sana kuona watu wengi wanaenda kuhijj kwao. Hela za visa, hela za hotel kule, flight fees airports. Zinawapa mahela hivyo unaona Saudi wana haki kabisa ya kuipenda dini yao maana ina faida sana kwenye uchumi wa nchi yao.

Saudi Arabia kuna wizara ya Hijja kabisa kwenye serikali yao. Sababu wanapiga hela za wataliii wa kidini.

Vatican na wao hivyo hivyo.

Sisi Tanzania ili tuendelee lazima tupunguze idadi na nguvu ya kujenga nyumba za ibada.

Kama tunavyochangishana kujenga makanisa kwa kushikana mashati kwenye Jumuia. Tunapaswa tuchangishane kujenga viwanda.

Ardhi ipo kubwa haitumiki inafaa kujengwa viwanda vya kila aina..

Rasili mali watu ipo kibao haina ajira inashinda vijiweni kubishana Simba na Yanga , Diamond na Ali kiba, Hamissa Mobetto na mabwana zake.

Tukijenga viwanda ndio tutaendelea.

Ushauri wangu Makanisa na misikiti yote igeuzwe viwanda.

Kila kata kubaki na msikiti mmoja tu na kanisa moja tu la kuzugia
Tanzania haiwezi kuendelea kwa sababu ya elimu mbovu.... Yaliyobaki ni matokeo ya elimu mbovu.
Elimu mbovu ndio inaleta viongozi wabovu wenye PhDs lakini kichwani hakuna kitu.
Elimu mbovu ndio inafanya wananchi wasijue haki zao na kuona viongozi Mungu watu
Elimu mbovu ndio inaleta mipango mibovu
Elimu mbovu ndio inafanya watu waamini miujiza huko kwenye nyumba za ibada.
Tatizo Tanzania ni elimu elimu elimu
 
Misikiti na makanisa vinazuia nini kuwa na maendeleo??

Hizo shule nyingi zilizopo zina misaada gani kwa taifa zaidi ya kuwafundisha ujinga vijana (kukariri ujinga na utegemezi wa ajira)

Tatizo sio misikiti wala kanisa, ndio maana umetoa hoja ya Saudia ukajaribu kutolea maelezo ya uongo.


Shida ipo kwenye mindset zetu kuanzia raia hadi viongozi.
Kwani makanisa na misikiti inasaidia Nini?


Kila siku inaongezeka ila IDADI ya uhalifu na matukio ya hovyo yanazidi kuongezeka!


Huyo mungu hawezi kuiokoa jamii Hadi ajengewe majumba ya kutupigia kelele!
 
Tanazania imejaa wapumbavu wengi sana,

Hiyo misikiti na makanisa inazuia vipi viwanda visijengwe? imemaliza ardhi yote kiasi kwamba wawekezaji wamekosa maeneo?

Hivi hayo makanisa na misikiti yamejengwa na serikali? na kama watu wameamua kujenga majengo yao ya ibada unataka serikali iwakataze? then wakuabudu wewe?

tutoke huko tuje kwa hao waarabu na na hija.
unadhani na hao waarabu wa leo walikaa kikao na kusema tujenga hili kaaba kwa ajili ya watu waje kila mwaka ili tufanye biashara ama kivutio cha utalii.

Hiyo KAABA imejengwa na Ibrahim ambaye hakua mwarabu kabisa, alitoka huko Iraq, sasa hebu tujiulize hao wa Iraq wananufaika vipi na hiyo ibada.
Mwekezaji inatakiwa uwe wewe kichekoh na siyo mzungu aliyetoka Ulaya au Amerika... Fikirisha akili kidogo kaka
 
Yupoje sahihi? Makanisa na misikiti inazuiaje Maendeleo ya nchi na Maendeleo yako Binafsi?
Kwa mfano ukichukulia umbali wa msikiti mmoja mpaka mwingine ulipojengwa au kanisa moja mpaka lingine lilipojengwa. Unakuta wangejenga kanisa moja hiyo hela nyingine wangejenga kiwanda kidogo kitoe ajira kwa vijana. Hata hizo hospital zinazoota kama uyoga kila Mahali watu hawaumwi mzee. Watu wanastress za maisha zinazowaletea magonjwa. Gharama ya kujenga hospital kwa mfano ile ya tegeta pale. Unaweza kujenga kiwanda kikubwa tu ukawapunguzia watu pressure za maisha.
 
Tanazania imejaa wapumbavu wengi sana,

Hiyo misikiti na makanisa inazuia vipi viwanda visijengwe? imemaliza ardhi yote kiasi kwamba wawekezaji wamekosa maeneo?

Hivi hayo makanisa na misikiti yamejengwa na serikali? na kama watu wameamua kujenga majengo yao ya ibada unataka serikali iwakataze? then wakuabudu wewe?

tutoke huko tuje kwa hao waarabu na na hija.
unadhani na hao waarabu wa leo walikaa kikao na kusema tujenga hili kaaba kwa ajili ya watu waje kila mwaka ili tufanye biashara ama kivutio cha utalii.

Hiyo KAABA imejengwa na Ibrahim ambaye hakua mwarabu kabisa, alitoka huko Iraq, sasa hebu tujiulize hao wa Iraq wananufaika vipi na hiyo ibada.
Huo mstali wa mwisho umekosea na umeharibu maana nzima ya maoni yako, swala ni kwanini nguvu kubwa inawekwa kwenye ujenzi wa nyumba za ibada kuliko huduma za kijamiii kama vile hospitali nyumba za walimu vyuo vya ufundi n.k
 
Sa itakuaje??

Itakuwa raha sana. Kila mtu asubuhi anaamkia kiwandani kufanya kazi. Hakuna kushinda vijiweni kubishana mambo ya simba na yanga. Kwenu wadada pia Ndoa zitakuwa nyingi maana kipato kinaleta ndoa imara. Bila ajira wanaume wengi hawaoi wanakunywa visungura tu kutwa nzima
 
Tukijenga viwanda ndio tutaendelea.

Ushauri wangu Makanisa na misikiti yote igeuzwe viwanda.

Kila kata kubaki na msikiti mmoja tu na kanisa moja tu la kuzugia
Wenzako hawataki hivyo wanataka muendelee kuzozania Simba na Mlandege huku wao wanapiga Pesa kwenye biashara ya siasa, ukileta habari za viwanda usiwaguse wao na Ajira zao za siasa wewe njoo na kiwanda chako watakusaidia kuja kukata utepe
 
Acheni visingizio vya kipuuzi dini haijawahi kuwa kikwazo cha maendeleo kwa mtu yeyote yule, kwa sababu muda ulio tengwa kwa ajili ya kuabudu ni mdogo na dini hizo hizo zimewahimiza watu kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo yao.

Dini au kutokuwa na dini hakuja wahi kuwa kigezo cha kupata maendeleo, mfano mzuri ni hapa hapa Tz ukienda usukumani hasa sehemu za vijijini watu hawana habari na dini lakini wananuka umasikini mpaka kwenye nywele.
Usukumani wapi kwenye umasikini unaonuka we **** nini
 
Itakuwa raha sana. Kila mtu asubuhi anaamkia kiwandani kufanya kazi. Hakuna kushinda vijiweni kubishana mambo ya simba na yanga. Kwenu wadada pia Ndoa zitakuwa nyingi maana kipato kinaleta ndoa imara. Bila ajira wanaume wengi hawaoi wanakunywa visungura tu kutwa nzima
Ardhi ya akiba IPO ya kutosha njoo na kiwanda chako tunakupeleka Kimanzichana au Mkuranga kuna maeneo ya viwanda yapo tu unapewa unafungua kiwanda chako ya kusafirisha matunda nje ya Nchi Safi kabisa

Siku hizi misikiti na makanisa yanafuata watu sio watu wanafuata makanisa na misikiti zamani nakumbuka watu ndio waliokua wanafuata misikiti au makanisa yaan kanisa linajengwa mbali sana na makazi ya watu hata msikiti hivyo hivyo Ila siku hizi kila ukipiga kona kanisa hujamaliza kona msikiti huu hapa
 
Itakuwa raha sana. Kila mtu asubuhi anaamkia kiwandani kufanya kazi. Hakuna kushinda vijiweni kubishana mambo ya simba na yanga. Kwenu wadada pia Ndoa zitakuwa nyingi maana kipato kinaleta ndoa imara. Bila ajira wanaume wengi hawaoi wanakunywa visungura tu kutwa nzima
[emoji1] diamond mwijaku kafanyaje
Wema sijui vp Wolper yuko nani
Twende tukaione nyumba ya mwijaku

Ova
 
[emoji1] diamond mwijaku kafanyaje
Wema sijui vp Wolper yuko nani
Twende tukaione nyumba ya mwijaku

Ova

Hizo zote sababu watu hawana kazi za kufanya.. hakuna viwanda. Watu hawana pa kwenda zaidi ya misikitini na makanisani tu. Lazima waangaike na kina mwijaku
 
Kwa mfano ukichukulia umbali wa msikiti mmoja mpaka mwingine ulipojengwa au kanisa moja mpaka lingine lilipojengwa. Unakuta wangejenga kanisa moja hiyo hela nyingine wangejenga kiwanda kidogo kitoe ajira kwa vijana. Hata hizo hospital zinazoota kama uyoga kila Mahali watu hawaumwi mzee. Watu wanastress za maisha zinazowaletea magonjwa. Gharama ya kujenga hospital kwa mfano ile ya tegeta pale. Unaweza kujenga kiwanda kikubwa tu ukawapunguzia watu pressure za maisha.
Wajenge kiwanda kwa ajili ya nini? We umejenga kiwanda gani zaidi ya kubet na ufuska tu. Pumbau wahead wewe. Fanya kazi acha kujiita Afisa Ubashiri alafu ulalamike eti makanisa ndio chanzo.
 
Naunga mkono hoja hasa kwa haya makanisa na misikiti saccos , maana ni mali ya wachungaji na maimamu na ni mahsusi kwa ajili ya kujitafutia pesa tu wala hakuna kitu kingine, watu wanakusanya swadaka kama hawana akili nzuri kwa kuuza tuvitu twa ajabu ajabu kama mafuta udongo nywele , keki na kadhalika. UKO SAHIHI SANA MLETA MADA.
 
Pesa tunazochangishwa kwa ajiri ya ujenzi wa makanisa na misikiti ingetumiwa kwa kujenga viwanda tungekuwa mbali Sana kiuchumi.
Usitupangie matumizi ya hela zetu. Tunaishi dunia huru. Wewe jenga kiwanda, Sisi tutanenga nyumba za ibada. Jasho langu alafu unanipangia matumizi. Mbona bar zipo kila Kona hamsemi
 
Back
Top Bottom