Mkuu Freshman,the bittertruth you said itawaumiza wengi sana,ila kihualisia Africa inahotaji maendeleo ya technology zaidi ya theology.
Maana nchi nyingi ambazo hazina Ukristo wala Uislamu Zina maendeleo sana na mungu hawapi adhàbu yoyote,si kwamba mungu hayupo,mungu yupo ila si huyu wa Wakristo na WA Islam.
North Korea ukikutwa na bibilia au Quran adhàbu yake ni kifo,nchi kama Japan,China,laos,Bhutan, Armenia,North Korea etc. Hazina Uislamu Wala ukrisato na ndo matajiri,na asilimia 95% ya magari tunayotumia yanatokea nchi isiyokuwa na dini,Japan,kwann mungu asingetupa sisi tunaokesha misikitini na makanisani?