Tanzania haiwezi survive bila Wazungu. Rais aache kuhadaa wajinga

Wapi kasema inaweza survive bila wazungu?
 
😀 😀
 
Diaspora wa huko wanakuangaliaje?
Diaspora waliitwa ? Na hao wazungu wanaomiliki hekari kadhaa bongo ...Nchi inaweza kuweka estrictions hata wakisema tusitumie vitu kutoka nchi fulani inawezekana ...Ndio maana ulaya bangi ni halali ila bongo haifai .

Kwa hiyo ni wazo la nchi husika , hata leo wakiamua kuwa mshirika wa china na ku'cut diplomatic ties na mzungu inawezekana na hakuna kitu mnaweza kufanya .
 
Umechomwa ndui wewe au unaropokwa tu? Chanjo ya polio kakupa mchina? Angalia mkono wako wa kushoto huna ndui? Aliekupiga hio ndui unamjua?
 
Umechomwa ndui wewe au unaropokwa tu? Chanjo ya polio kakupa mchina? Angalia mkono wako wa kushoto huna ndui? , hio ndui unamjua?
Ndio maana nikakuambia wewe ni bwege tena kiazi kabisa ,nchi ya TZ narudia haifungamani na nchi yoyote inapokea kokote ...Tz ni mshirika wa karibu wa Marekani miaka mingi tu . Kama angekuwa angekuwa hafungamani NA capitalism hata huyo USA tusingemjua mambo yake , tungebaki chini ya china ..


Unaijua china au unadanganywa kweny movie?

Kwa hyo wachina hawana chanjo ya polio ? Corona walimalizaje kwao na ndio ilipoanzia.
 
Ninaomba mwenye matokeo ya kidato cha Nne ya SSH, atuwekee hapa.

Nimefikiria,nimekuta Kuna shida mahali.
 
sikia wewe hapa sio suala la uzungu ni suala ya kuzingatia conventions za kidunia zisemavyo
 
Akili mgando
 
Hizi Airbus na Bombadier mnazopanda zipo controlled na hao wamarekani mnao wachafua, ndege zao zinatumia smart link system. Yaani wakiamua kuwamaliza ni swala la sekunde tu.
 
Sio kweli, ni wazungu ndio hawawezi kuikosa Africa, kama hamuamini waambieni wasije, kwanini wanajileta leta?
Magufulu hakwenda kwao ila wao kutwa walikuwa hapa
Shen enzy type
Umewahi kufika uzunguni? Karibu 95% wazungu naoishi nao hapa hawajui Tanzania; na hawajawahi kufikiria kuja au kuhusu hiyo nchi unayotaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…