Tanzania has the lowest IQ in East Africa

Tanzania has the lowest IQ in East Africa

Wakenya bhana..

Wanachoweza ni kutamani tu kula chapoo na mandondo(chapati maharage)
 
Your grey matter is tear gassed by hates .
 
Hilo lipo wapi Tanzania, ukiona raia bado zinaishabikia Ccm huhitaji uchawi kujua watu wa hili taifa wana uwezo mdogo wa kung'amua mambo.
 
Kwenye majadiliano humuhumu utagundua kuwa Kenya ni nchi yenye watu wenye IQ ndogo.pia korona imedhihirisha nchi gani afrika mashariki inajielewa ina IQ kubwa
 
Pana bandiko comment #5 sijui kama uliliona pale. Mengine nilikuandikia wewe moja kwa moja haiyumkiniki hujaruka mahali na umeona kimoja kimoja, vyote kabisa katika nilivyoandika kwenye uzi huu.

Ni muhimu kutambua nchi hii imetoka mbali na bado haijafika mwisho. Kutokea hapo tu, suala unalongelea la kuchagua sijui kimoja linakuwa halipo kabisa yaani "immediately it becomes null and void."

Sina hakika na philosophy ya Kenya kama taifa. Ila labda nikudokeze ya Tanzania ilivyo.

Kitanzania tunaamini maendeleo yanategemea vitu vinne: Watu, Ardhi, Siasa safi na uongozi bora. Hakuna kitu kama chagua moja kati ya mawili kama unavyojaribu ku "beat around the bush."

Nini kifanyike sasa au lini, inafahamika na si kutokea leo.

Pamoja na kuvijua vyote hivi kwa watanzania "utu kwanza" ni priority kabla ya mali. "This explains the peace and tranquility you see around."

Kitanzania umimi kwanza hauna nafasi. Ndiyo maana ilikuwa muhimu kutumia muda na raslimali zetu nyingi kuona ndugu zetu waafrika wenzetu waliokuwa bado wako chini ya wakoloni wanakuwa huru na salama.

Uliza Mozambique, Zimbabwe, Namibia, Africa Kusini, na wengi wengine ambako watanzania wenzetu wamekufa wakiwapigania.

Tanzania haiendekezi faida ya mali peke yake. Bali hata ile salama ya ndugu zetu wakiwamo wakenya, waganda, wacongo, warundi, wanyarwanda nk. ni muhimu kwetu kama binadamu. Hii ni hata kama "some ignorant fools somewhere may not have even the courtesy to say thank you."

Umenisoma mkuu?

Kingine ambacho huwalemaza kiakili ni hizi pumba za kujiaminisha kwamba mliikomboa Afrika eti ndio maana bado mpo maskini zaidi miaka hamsini baada ya uhuru, hamna jipy nyie wazembe na huo ujamaa ndio umesababisha mumezembea kwenye kila kitu ikiwemo kielimu na uwezo wa kujituma.

Masuala ya siasa hata ndio usitaje, tunaziona mlivyo, upinzani unakandamizwa kupita maelezo, wabunge wa upinzani wanaenguliwa bila huruma.

Ujamaa uliwafanya muwe watu wasiokua na uwezo wa kuhoji chochote, mnaishia kunung'unika ndani kwa ndani kimya kimya, hivi unafahamu Tanzania ipo kati ya mataifa kumi duniani ambayo wananchi wake wanaishi kwa majungu na dhiki, yaani mna kila raslimali lakini furaha hamna, soma hapa During a pandemic, what does being the world's happiest country mean?
 
Sema kuna kaukweli, wewe waza nchi kama Tanzania yenye raslimali za kila aina, madini ya kumwaga, ardhi kubwa yenye rotuba kila sehemu, vivutio bora vya utalii kuzidi mataifa yote Afrika, maziwa, gesi ya kumwaga na kila ktiu lakini bado mnatajwa maskini wa kutupwa. Yaani kuna mataifa yanatoka kwa kutumia tu mojawapo wa hizo raslimali.

Hupewi vyote....uchague kimoja kati ya raslimali na akili.
Mimi Nita amini
tu huo utafiti ikiwa2025 tutamwacha magufuli asiendelee kuwa raisi kwa zaidi ya miaka 20
 
Kipimo cha akili ya mtu ni pale yanapotokea matatizo.
Tatizo la corona limetuonyesha nani ana iQ kubwa .
Wakati mnajifungia maambukizi yanaongezeka sisi tunaendelea na maisha kama kawaida.
Kama mnafikiri IQ ni kuongea kiingeleza endeleeni kuamini hivyohivyo.
Hawa jamaa juzi wasanii wao si walikua hapa bongo na wote walisema wanatamani wangekua watanzania, na sijui wariporudi huko kwao kama waliwaweka karantini, kama wanavyojidai
 
Huu Utafiti kama ni kweli, ni matusi kwa waafrika, naona waafrika tu ndio wenye IQ ndogo

Ila chochote kutoka kwa mabeberu huwa lazima waipondee Tanzania sababu wanajua kwa sasa Africa, Tanzania pekee ndio inaweza kuwaambia https://jamii.app/JFUserGuide you on their straight face

Ni Taifa gani linaweza kumkoromea beberu usoni kama Tanzania?
 
hilo nalo mbna lipo wazi hata haitajiki utafiti wa kisayansi
 
Huu Utafiti kama ni kweli, ni matusi kwa waafrika, naona waafrika tu ndio wenye IQ ndogo

Ila chochote kutoka kwa mabeberu huwa lazima waipondee Tanzania sababu wanajua kwa sasa Africa, Tanzania pekee ndio inaweza kuwaambia **** you on their straight face

Ni Taifa gani linaweza kumkoromea beberu usoni kama Tanzania?
kauli kama hizi kumhusisha beberu kwa kila matatizo yenu yote ndo huonesha mlivyo na iq ndogo
 
Wali wapima vp sample zao sababu anga lilifungwa karibu dunia nzima. Iyo survey yao wana mpelekee malkia wao mwenye IQ negative 0
 
Najisikia aibu sana kuwekwa kundi moja na Kenya ikiwa Wakenya wenyewe wanashindwa hata kujua wapi wanaweza kutoa data badala ya kuishia kuokoteza kila kilichopo online!!

Mtoa mada ambae inaonesha ni Mkenya ambae hatimae anathibitisha kwamba Wakenya wana Low IQ possibly in realiity wapo below the average, ameshindwa hata kufuatilia links alizowekewa ili ku-verify alichoandika!!

Na endapo angetumia dakika chache tu, angefahamu kwamba actual data ni:-

Full IQ.png
Kiumbe huyu kutoka taifa ambalo inaelekea hata hiyo 72 hawastahili, ametumia data kutoka mtandao ambao ukiufanyia web analysis, unagundua tovuti yenyewe is just piece of trash, manake hata Alexa Ranking ya mtandao husika ni 1.02M kuonesha mtandao husika unafahamika na wamiliki tu labda na mademu zao!

Alexa.png


Na raia kutoka mataifa yenye raia waliojaa maarifa kichwani waliwahi kuufanyia review huo mtandao wa Brainstats ambao umetumika kama source na kiumbe kutoka nchi ambayo inaonesha its IQ Average is even lower that it's thought!

Review ya mtandao husika ni hii hapa chini:-

Review.png


Yaani trust ya hiyo source from 51 Reviews is ONLY 1.4/5 ambayo ni 28%!!!!!

Hivi nyie viumbe kutoka Kenya huwa mnafundishwa nini darasani ikiwa mnashindwa kufahamu hata vitu vidogo namna hii ambavyo wala havihitaji kwenda darasani kuvifahamu?!
 
Hilo lipo wapi Tanzania, ukiona raia bado zinaishabikia Ccm huhitaji uchawi kujua watu wa hili taifa wana uwezo mdogo wa kung'amua mambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]honestly i pit you...
 
Wali wapima vp sample zao sababu anga lilifungwa karibu dunia nzima .... Iyo survey yao wana mpelekee malkia wao mwenye IQ negative 0
Now, this the low IQ that we are talking about. These are 2019 research that has been released in 2020. Kwali watanzania wanatumia asilimia moja ya akili zenu.
2504222_IMG_20200901_023949_876.jpg
 
Najisikia aibu sana kuwekwa kundi moja na Kenya ikiwa Wakenya wenyewe wanashindwa hata kujua wapi wanaweza kutoa data badala ya kuishia kuokoteza kila kilichopo online!!

Mtoa mada ambae inaonesha ni Mkenya ambae hatimae anathibitisha kwamba Wakenya wana Low IQ possibly in realiity wapo below the average, ameshindwa hata kufuatilia links alizowekewa ili ku-verify alichoandika!!

Na endapo angetumia dakika chache tu, angefahamu kwamba actual data ni:-

Kiumbe huyu kutoka taifa ambalo inaelekea hata hiyo 72 hawastahili, ametumia data kutoka mtandao ambao ukiufanyia web analysis, unagundua tovuti yenyewe is just piece of trash, manake hata Alexa Ranking ya mtandao husika ni 1.02M kuonesha mtandao husika unafahamika na wamiliki tu labda na mademu zao!

View attachment 1554962

Na raia kutoka mataifa yenye raia waliojaa maarifa kichwani waliwahi kuufanyia review huo mtandao wa Brainstats ambao umetumika kama source na kiumbe kutoka nchi ambayo inaonesha its IQ Average is even lower that it's thought!

Review ya mtandao husika ni hii hapa chini:-

View attachment 1555081

Yaani trust ya hiyo source from 51 Reviews is ONLY 1.4/5 ambayo ni 28%!!!!!

Hivi nyie viumbe kutoka Kenya huwa mnafundishwa nini darasani ikiwa mnashindwa kufahamu hata vitu vidogo namna hii ambavyo wala havihitaji kwenda darasani kuvifahamu?!
Nyinyi watanzania mnakuanga na akili kweli? This is a 2006 data kijana?
 
kauli kama hizi kumhusisha beberu kwa kila matatizo yenu yote ndo huonesha mlivyo na iq ndogo
Beberu ni takataka tu ndio maana tunamuita beberu sababu kwenye hiyo takataka yake kawa weka waafrika tu kwenye low IQ, wazungu na Caucasians wote wana IQ kubwa isipokua waafrika tu tena Sub-Saharan Africans

Usitegemee mtanzania mwenye IQ kubwa kama sisi tukakubaliana nao
 
Back
Top Bottom