Tanzania has the lowest IQ in East Africa

Tanzania has the lowest IQ in East Africa

Nyinyi watanzania mnakuanga na akili kweli? This is a 2006 data kijana?
Lione, umejibiwa with facts from credible sources, iq isn't true but since u want it to be true, we were same back then, now from results on the ground tumeongezeka so called iq, but you guys that are curfewed at night to escape Corona, nyinyi lazima mmedrop kwa iq, Tz toys with you however we want and you can't reciprocate, that is low iq buddy.
 
Nyinyi watanzania mnakuanga na akili kweli? This is a 2006 data kijana?
Ndo maana nimekuambia acha kuokoteza vitu mtandaoni wakati hujui unachofanya!! Kwenye hiyo hiyo thread yako, click link iliyoandikwa "ranked categories"!

Hiyo ni blog tu about world population, wao wanaanyia wapi hiyo IQ Test, and HOW?! Uki-click kwenye link niliyokuambia, utakuwa directed to Brainstats, ambayo is nothing but a crap blog ambayo haina hata visitors.. Global Alexa Ranking ni 1.02M; na haijulikani hata mmiliki wa blog husika huku Pilottrust ikionesha ni 28%!!

Ni hiyo Brainstats ndiyo iliyotumika kama source

Kwenye hiyo Brainstats, ndio wamewataja Profs waliohusika na huo utafiti, and from primary source, ndo hizo nilizokuwekea hapo juu na sio hizo takataka ulizookoteza online bila kujua unaokoteza nini!!!
 
Ndo maana nimekuambia acha kuokoteza vitu mtandaoni wakati hujui unachofanya!! Kwenye hiyo hiyo thread yako, click link iliyoandikwa "ranked categories"!

Hiyo ni blog tu about world population, wao wanaanyia wapi hiyo IQ Test, and HOW?! Uki-click kwenye link niliyokuambia, utakuwa directed to Brainstats, ambayo is nothing but a crap blog ambayo haina hata visitors.. Global Alexa Ranking ni 1.02M; na haijulikani hata mmiliki wa blog husika huku Pilottrust ikionesha ni 28%!!

Ni hiyo Brainstats ndiyo iliyotumika kama source

Kwenye hiyo Brainstats, ndio wamewataja Profs waliohusika na huo utafiti, and from primary source, ndo hizo nilizokuwekea hapo juu na sio hizo takataka ulizookoteza online bila kujua unaokoteza nini!!!

Countries by IQ - Average IQ by Country 2020
 
Kingine ambacho huwalemaza kiakili ni hizi pumba za kujiaminisha kwamba mliikomboa Afrika eti ndio maana bado mpo maskini zaidi miaka hamsini baada ya uhuru, hamna jipy nyie wazembe na huo ujamaa ndio umesababisha mumezembea kwenye kila kitu ikiwemo kielimu na uwezo wa kujituma.
Masuala ya siasa hata ndio usitaje, tunaziona mlivyo, upinzani unakandamizwa kupita maelezo, wabunge wa upinzani wanaenguliwa bila huruma.
Ujamaa uliwafanya muwe watu wasiokua na uwezo wa kuhoji chochote, mnaishia kunung'unika ndani kwa ndani kimya kimya, hivi unafahamu Tanzania ipo kati ya mataifa kumi duniani ambayo wananchi wake wanaishi kwa majungu na dhiki, yaani mna kila raslimali lakini furaha hamna, soma hapa During a pandemic, what does being the world's happiest country mean?

Nitashangaa kama utakuwa ungali hujaelewa nilivyokuandikia nikiamini upo wazi kujielimisha kisomi kama tulivyo wengine.

Huwa tuna sema ustaarabu ni kitu cha bure.

Rejea kwenye bandiko langu:

IMG_20200901_095702_133.jpg


Wapi nimeandika sisi tumeikomboa Misri au Kenya? Kama una maswali nimekuelekeza pa kuuliza. Kama huwezi kufika huko kuuliza sema tukuelekeze pengine palipo karibu nawe.

Utakuwa wa ajabu mno kuona Kibera ilivyo kudhani kuwa basi ndiyo Kenya yote iko hivyo.

Kwamba upinzani unakandamizwa, with due respect upo nje ya mada kuhusiana na bandiko hili.

Heshimu kuwa wapumbavu wapo Tanzania kama walivyo-po Kenya, Uganda, USA nk.

Binafsi sikubaliani na wapuuzi walioko kwenye bandiko langu #5. Lakini haimaanishi kuwa wao ndiyo walio watanzania pekee kama unavyojaribu bado kujiaminisha. Labda kama pia unasema kwa vile pana wakora maeneo fulani pale Nairobi, ati basi kila mkenya hadi bwana uhuru ni mkora tu!

Mkururo wa mambo mengine uliyoandika labda kama ni jitihada yako ya kuonyesha kiwango chako cha kufikiria ni kidogo kiasi gani.

Kwa ujumla wake ninadhani wakenya wengi elite hawatakubaliana nawe in relation to bandiko langu lolote.

Angalia wenzio wasije wakaku disown kama wale lb7 wetu.

Muhimu kujiuliza kiungwana tu, "u ijue wewe Tanzania kuliko sisi? Si yatakuwa maajabu ya Firauni?"
 
Tanzania IQ ndogo lakini ndiyo inayoongoza EA.

Tanzania ina IQ ndogo lkn ndo nchi pekee imeishinda corona kwa kutumia akili kubwa, big brain.

Mpaka sasa mkikuyu anachoweza ni kupiga chang'aa tu akiwa ikulu
Ati mnaongoza in East Africa? In what exactly?
 
Huu ni utafiti wa kisayansi...haujawahi kukosea.


MK254,acha kujieibisha,unasema utafiti wa kisayansi huwezi kukosea!? Hivi,wanatumia kifaa au methodology ipi kuhalalisha huo upuuzi? Sisi Wa TZ,hatuna muda wa kuwalamba makalio wazungu Kama nyinyi mnavyo walamba matako,sio kila kitu kisemwachonna mzungu ni kweli,leo hii mzungu anasema wafrika ni nyani, na wewe unakubali! Mzungu anasema waafrika wanafaankuwa watumwa, unakubali! Anasema waafrika ni wajinga na Wana akili Kama ya wanyama unakubali! Naomba kuwashauri wakenya, acheni kuwaabudu wazungu, hivi, ni nini ambaccho wakenya mmefanya, au mnacho wa TZ harunacho? Hivi, IQ si ni pamoja na kijitambua wewe ni nani na unapswa kutenda aunkutendea wenzako kivipi? Kenya mnabaguana na kuuana kwa ukabila, rushwa na ufisadi vimekidhiri, hivi hiyo ndio lQ? Acha utoto bhana.
 
Angalia ulivyo na hatimae kuendelea kuthibitisha ni jinsi gani hujui unachofanya kama nilivyosema hapo awali! Sasa hiyo link si ndo hiyo niliyokuambia ni blog ya population reviews, na nimekuuliza wanafanyia wapi hiyo IQ Test and HOW wakati wao wana-deal na population review?!

Umeshindwa kujibu!

Na nikakuambi, ukisoma kwenye thread yako, utaona link imeandika "ranked categories" ambayo kwenye hiyo link uliyoweka sasa huku kwa uzuzu wako ukidhani ni kitu kipya, hiyo "ranked categories" ni hii hapa chini:-

Zuzu.png


Which means, hiyo link uliyoweka sio wao waliotengeneza hizo data; wao is just a secondary school, sasa ulitakiwa kuangalia a primary source kwa ku-click hiyo hotlink ya "ranked categories" ambayo ingekupeleka kwenye source yenyewe ambayo ni Brainstats.com!

And as said earlier, hao brainstats are nothing but a crap blog kwa sababu hata visitors wa maana haina, that's way Global Alexa Rank yake ni 1.02M. Sio hiyo tu, data from Trust Pilot, Brainstats wanaaminika for only 28%, na kwa maana nyingine wanaaminika na mazuzu wasiojua how to verify data!
 
MK254,acha kujieibisha,unasema utafiti wa kisayansi huwezi kukosea!? Hivi,wanatumia kifaa au methodology ipi kuhalalisha huo upuuzi? Sisi Wa TZ,hatuna muda wa kuwalamba makalio wazungu Kama nyinyi mnavyo walamba matako,sio kila kitu kisemwachonna mzungu ni kweli,leo hii mzungu anasema wafrika ni nyani, na wewe unakubali! Mzungu anasema waafrika wanafaankuwa watumwa, unakubali! Anasema waafrika ni wajinga na Wana akili Kama ya wanyama unakubali! Naomba kuwashauri wakenya, acheni kuwaabudu wazungu, hivi, ni nini ambaccho wakenya mmefanya, au mnacho wa TZ harunacho? Hivi, IQ si ni pamoja na kijitambua wewe ni nani na unapswa kutenda aunkutendea wenzako kivipi? Kenya mnabaguana na kuuana kwa ukabila, rushwa na ufisadi vimekidhiri, hivi hiyo ndio lQ? Acha utoto bhana.
So mabeberu ni wazuri sazile wameandika kitu kizuri kuhusu Tanzania lakini ikiwa otherwise ni wabaya wacha upuzi wewe.Waliposema Tanzania ni middle income si mulirukaruka na kusherekea hapa iwe vipi tena ni wabaya.Inauma but itabidii muzoeee😎
 
Nitashangaa kama utakuwa ungali hujaelewa nilivyokuandikia nikiamini upo wazi kujielimisha kisomi kama tulivyo wengine.

Huwa tuna sema ustaarabu ni kitu cha bure.

Rejea kwenye bandiko langu:

View attachment 1555175

Wapi nimeandika sisi tumeikomboa Misri au Kenya? Kama una maswali nimekuelekeza pa kuuliza. Kama huwezi kufika huko kuuliza sema tukuelekeze pengine palipo karibu nawe.

Utakuwa wa ajabu mno kuona Kibera ilivyo kudhani kuwa basi ndiyo Kenya yote iko hivyo.

Kwamba upinzani unakandamizwa, with due respect upo nje ya mada kuhusiana na bandiko hili.

Heshimu kuwa wapumbavu wapo Tanzania kama walivyo-po Kenya, Uganda, USA nk.

Binafsi sikubaliani na wapuuzi walioko kwenye bandiko langu #5. Lakini haimaanishi kuwa wao ndiyo walio watanzania pekee kama unavyojaribu bado kujiaminisha. Labda kama pia unasema kwa vile pana wakora maeneo fulani pale Nairobi, ati basi kila mkenya hadi bwana uhuru ni mkora tu!

Mkururo wa mambo mengine uliyoandika labda kama ni jitihada yako ya kuonyesha kiwango chako cha kufikiria ni kidogo kiasi gani.

Kwa ujumla wake ninadhani wakenya wengi elite hawatakubaliana nawe in relation to bandiko langu lolote.

Angalia wenzio wasije wakaku disown kama wale lb7 wetu.

Muhimu kujiuliza kiungwana tu, "u ijue wewe Tanzania kuliko sisi? Si yatakuwa maajabu ya Firauni?"

Kwani unalazimisha nielewe utakavyo, umuhimu wa kwenda shule ni ili kila mmoja wetu awe na uwezo wa kudadavua maelezo na sio kushikiliwa akili, hiki ni kitu hamjazoea huko Tanzania, fahamu kwamba kwetu huwa tuna uhuru na jeuri ya kuhoji. Wapumbavu wako kwenye kila nchi duniani, ila mataifa yanatofautiana idadi ya vilaza na ndio maana rankings kama hizi hufanywa ili kubaini wastani kwenye kila nchi, na ndio hapo kwa Tanzania imebainika yenu ni 72 yaani hoi kabisa.

Kuhusu nyie kuwakandamiza wapinzani niliitaja ili kukuonyesha tunawajua mlivyo baada ya wewe kutambia eti mpo vizuri sana kisiasa, ndio nikashangaa ni siasa zipi nje ya tunachoshuhudia mnavyowafanya wapinzani huko, ofisi zao mnatia viberiti, wabunge wao mnawaengua, miaka mitano mumewabana wasikusanyike ila nyie CCM kila siku mnafanya kampeni, hamna level playing field hivyo ni aibu kwako wewe kuja kututambia hapa jinsi nyie ndio bora kisiasa.
 
Hii huwa hata hainishangazi, mara nyingi huwa nasema haiwezekani ukapewa vyote, aidha upewe raslimali ila unyimwe ubongo au ubarikiwe uwezo wa kutumia akili lakini unyimwe raslimali.

Watanzania wamepewa raslimali nyingi lakini huu utafiti unadhihirisha walinyimwa IQ na ndio maana wao ni maskini kwa kipindi kirefu licha ya kuwa na kila kitu.

Huwa wamejenga uadui na Wakenya kwa ajili ya wivu lakini ukweli ni kwamba sio sisi tuliwanyima ubongo.
A very stupid comment and/or argument from a very stupid and arrogant person
 
Hii huwa hata hainishangazi, mara nyingi huwa nasema haiwezekani ukapewa vyote, aidha upewe raslimali ila unyimwe ubongo au ubarikiwe uwezo wa kutumia akili lakini unyimwe raslimali.

Watanzania wamepewa raslimali nyingi lakini huu utafiti unadhihirisha walinyimwa IQ na ndio maana wao ni maskini kwa kipindi kirefu licha ya kuwa na kila kitu.

Huwa wamejenga uadui na Wakenya kwa ajili ya wivu lakini ukweli ni kwamba sio sisi tuliwanyima ubongo.
Kila sku huwa ni nyie ni dhahiri wakenya ndo mna wivu na +255 shida nn ishini maisha yenuu smhhhhhhh.
 
Teargass, Ndio maana hawategemei chakula cha msaada wanajitosheleza IQ kubwa haina faida maana wenye IQ kubwa mpaka leo kujilisha hawawezi
 
Which IQ to be exactly are you talking ?may be IQ has change its meaning ....if this [emoji116] is your IQ plz spare me with your stupidy mentle
JamiiForums-2146971657.jpg
JamiiForums-1791930298.jpg
JamiiForums-278291200.jpg
2486662_4BCEEF3E-4693-4EE5-B0E7-A519F8C7F34E.jpg
Screenshot_20200726-140423.jpg
JamiiForums1068646375.jpg
 
Labda ww ukiwemo !
Kwanza hiyo post yake kaikimbia, yaani alivyo zuzu alikuwa ana-copy copy tu kwenye v-blog visivyo na status yoyote! Anadai ni ya 2020 wakati official data ni zile zile zilizotolewa na akina Prof Lynn mwaka 2006 zinazoiweka KE kwenye 72.
 

Attachments

  • Screenshot_20200901-151812_1598962768107.jpg
    Screenshot_20200901-151812_1598962768107.jpg
    34.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20200901-151750_1598962813657.jpg
    Screenshot_20200901-151750_1598962813657.jpg
    33.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20200901-151341_1598962836000.jpg
    Screenshot_20200901-151341_1598962836000.jpg
    54.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom