ntinanigwamvuyekule
Senior Member
- Apr 24, 2019
- 130
- 122
Inaweza akisi na uwezo wetu ki siasa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenyans now days are bogus, their IQ is very low, na ndio kizazi chao kina malizika maliza ivyo soon somalian will take overKwanza hiyo post yake kaikimbia... yaani alivyo zuzu alikuwa ana-copy copy tu kwenye v-blog visivyo na status yoyote! Anadai ni ya 2020 wakati official data ni zile zile zilizotolewa na akina Prof Lynn mwaka 2006 zinazoiweka KE kwenye 72 .
Sisi tulijua mapema tumeishaingia middle income tayari hata kabla hajatangaza, takwimu za uchumi is all about mathematics,not mere propaganda Kama hizoSo mabeberu ni wazuri sazile wameandika kitu kizuri kuhusu Tanzania lakini ikiwa otherwise ni wabaya wacha upuzi wewe.Waliposema Tanzania ni middle income si mulirukaruka na kusherekea hapa iwe vipi tena ni wabaya.Inauma but itabidii muzoeee😎
Utafiti wa kibeberu huo! lazima yafanye hivyo kwa sababu yanawatumia, ujinga ambao TZ walikataa! Akili gani wakati Al shaabab anakimbiza mkuu! Kenya na jeshi looote hilo mkuu mnashindwa kudhibiti chokoraa! wasio na nchi?Huu ni utafiti wa kisayansi...haujawahi kukosea.
Mumezoea kuwalaumu mabeberu kwa shida zenu sijui nani aliwapumbaza.Hawa mabeberu ndio wameinvent vitu vingi mnavyotumia hata io simu na computer unayotumia.Wewe kama Mtanzania una nini utasema.Utafiti wa kibeberu huo! lazima yafanye hivyo kwa sababu yanawatumia, ujinga ambao TZ walikataa! Akili gani wakati Al shaabab anakimbiza mkuu! Kenya na jeshi looote hilo mkuu mnashindwa kudhibiti chokoraa! wasio na nchi?
Unaona wanavo ogopa TZ/ wakienda huko watapigwa na wadada wa shule tu. / Mfano Moi na Nyerere nani ana akili za kuheshimika Duniani?
Utafiti wa kibeberu huo! lazima yafanye hivyo kwa sababu yanawatumia, ujinga ambao TZ walikataa! Akili gani wakati Al shaabab anakimbiza mkuu! Kenya na jeshi looote hilo mkuu mnashindwa kudhibiti chokoraa! wasio na nchi?
Unaona wanavo ogopa TZ/ wakienda huko watapigwa na wadada wa shule tu. / Mfano Moi na Nyerere nani ana akili za kuheshimika Duniani?
Kwani unalazimisha nielewe utakavyo, umuhimu wa kwenda shule ni ili kila mmoja wetu awe na uwezo wa kudadavua maelezo na sio kushikiliwa akili, hiki ni kitu hamjazoea huko Tanzania, fahamu kwamba kwetu huwa tuna uhuru na jeuri ya kuhoji. Wapumbavu wako kwenye kila nchi duniani, ila mataifa yanatofautiana idadi ya vilaza na ndio maana rankings kama hizi hufanywa ili kubaini wastani kwenye kila nchi, na ndio hapo kwa Tanzania imebainika yenu ni 72 yaani hoi kabisa.
Kuhusu nyie kuwakandamiza wapinzani niliitaja ili kukuonyesha tunawajua mlivyo baada ya wewe kutambia eti mpo vizuri sana kisiasa, ndio nikashangaa ni siasa zipi nje ya tunachoshuhudia mnavyowafanya wapinzani huko, ofisi zao mnatia viberiti, wabunge wao mnawaengua, miaka mitano mumewabana wasikusanyike ila nyie CCM kila siku mnafanya kampeni, hamna level playing field hivyo ni aibu kwako wewe kuja kututambia hapa jinsi nyie ndio bora kisiasa.
Am not a form six toddler,to argue with a fool like you,put fact on the table,as l have done,usilete upuuzi.Low IQ. Kubali nyinyi ni wajinga tu
Pole sana chief, sikujua IQ yako ni kama ya wale lb7 na labda hata chini ya hapo (kuna mtu alionya hilo mapema).
Wa hivyo huwa hatupotezi nao muda kubishana.
Tuna mambo ya muhimu zaidi chief. Ngoja tumpambanie mgombea wetu mahiri ajaye.
Kila mtu na apambane na hali yake:
Tanzania, Kenya kama mataifa huru ya kongole kwenu
Pili pili msizozila zaweza kuwawasha namna gani?
Hehehe umeambulia kuimba ngonjera, siku nyingine ukijitutumua kujadili chochote na Mkenya uwe unavuta aerial na kuwa tayari kutumia akili, sisi huwa hatuelekezwi elekezwi, tunakuhoji kauli zako hadi kamasi linakutoka, haya kwaheri rudi huko sijui huwa mnaita Lumumba ukapokee buku saba zako leo umejitahidi kwa Mkenya....hehehe
Inaonyesha una elimu ndogo sana chief.
Tafadhali Sina muda nawe. Don't even mind to write back.
Asante mkuuNchi yetu ni ya maziwa na asali, hatuitaji IQ nyingi ili tu survive. Tumeishinda corona kwa application ya IQ zetu ndogo na maisha yanaendelea. Kwa IQ zetu ndogo tumeleta social justice kwa kiasi kwamba karibu kila mtanzania ni land owner na sehemu kubwa ya private sector inamilikiwa na wazawa. Tumekataa kutumia lugha za wakoloni na kukataa tamaduni zao. Wenye iQ kubwa wamejifungia ndani wanaogopa corona huku sehemu kubwa ya jamii yao ikiwa haimiliki ardhi (wanaishi Kibera) huku ardhi yote ikimilikiwa na Malkia Elizabeth na vibaraka wake na wao wakiwa watumishi na wapiga mapambio wa mabeberu (foreign investors). Taifa lao linatumia lugha ya wakoloni huku wananchi wao wakijinasibu kwa kufuata tamaduni za colonial masters. Kibaya zaidi wanaaminishwa kwa tafiti za uchochoroni kwamba wao wana IQ kubwa zaidi ili wazidi kuwa submissive to their colonial masters. Africa bado tuna safari ndefu, upumbavu ni kipaji
Just like ua IQ explains itself u brainless fool.I would kill myself if I'd climb up ua Ego and jump to your IQAm not a form six toddler,to argue with a fool like you,put fact on the table,as l have done,usilete upuuzi.
And plz correct your grammar.Ignorant foolAm not a form six toddler,to argue with a fool like you,put fact on the table,as l have done,usilete upuuzi.
I do understand ni mungu wenu na amewabebea ubongo ndio maana hamuwezi kufikiria.You shouldn't have to worry, JPM is there to rise up our IQ
Katika hiyo hiyo asilimia moja wameitumia kupambana na corona pamoja na njaa wakati nyinyi mnaotumia aslimia mia mnakufa kwa njaa pamoja na coronaNow I can understand why these Tanzanians are always dump.
View attachment 1554896
Nyie mna mna aikyu. IQ mtaitolea wapi?Hii huwa hata hainishangazi, mara nyingi huwa nasema haiwezekani ukapewa vyote, aidha upewe raslimali ila unyimwe ubongo au ubarikiwe uwezo wa kutumia akili lakini unyimwe raslimali.
Watanzania wamepewa raslimali nyingi lakini huu utafiti unadhihirisha walinyimwa IQ na ndio maana wao ni maskini kwa kipindi kirefu licha ya kuwa na kila kitu.
Huwa wamejenga uadui na Wakenya kwa ajili ya wivu lakini ukweli ni kwamba sio sisi tuliwanyima ubongo.
Hao wanasayansi kama wameshindwa kukusaidia kuiondoa korona nchini mwenu tutakua na hakika gani na tafiti zao?Huu ni utafiti wa kisayans, haujawahi kukosea.