Tanzania has the lowest IQ in East Africa

Tanzania has the lowest IQ in East Africa

Najisikia aibu sana kuwekwa kundi moja na Kenya ikiwa Wakenya wenyewe wanashindwa hata kujua wapi wanaweza kutoa data badala ya kuishia kuokoteza kila kilichopo online!!

Mtoa mada ambae inaonesha ni Mkenya ambae hatimae anathibitisha kwamba Wakenya wana Low IQ possibly in realiity wapo below the average, ameshindwa hata kufuatilia links alizowekewa ili ku-verify alichoandika!!

Na endapo angetumia dakika chache tu, angefahamu kwamba actual data ni:-


Kiumbe huyu kutoka taifa ambalo inaelekea hata hiyo 72 hawastahili, ametumia data kutoka mtandao ambao ukiufanyia web analysis, unagundua tovuti yenyewe is just piece of trash, manake hata Alexa Ranking ya mtandao husika ni 1.02M kuonesha mtandao husika unafahamika na wamiliki tu labda na mademu zao!

View attachment 1555172

Na raia kutoka mataifa yenye raia waliojaa maarifa kichwani waliwahi kuufanyia review huo mtandao wa Brainstats ambao umetumika kama source na kiumbe kutoka nchi ambayo inaonesha its IQ Average is even lower that it's thought!

Review ya mtandao husika ni hii hapa chini:-

View attachment 1555173
Yaani trust ya hiyo source from 51 Reviews is ONLY 1.4/5 ambayo ni 28%!!!!!

Hivi nyie viumbe kutoka Kenya huwa mnafundishwa nini darasani ikiwa mnashindwa kufahamu hata vitu vidogo namna hii ambavyo wala havihitaji kwenda darasani kuvifahamu?!
Hawezi kukujibu hii, af huyu jamaa huwa anajiita msomi, ss km wasomi wenyewe ndo hawa basi kenya ina safari ndefu mno kufika hapa tulipo.
 
Authors like you in Tanzania we are calling them "Utopolo".

Umesema watu wenye IQ kubwa wapo vizuri kiuchumi na ukasema Uganda wapo juu kwenye IQ kuliko sisi. Swali kwako, uchumi wa Uganda na sisi Watanzania ni upi upo imara?

After 5 years Wakenya mtakuwa mnatupigia magoti trust me.
 
Authors like you in Tanzania we are calling them "Utopolo".

Umesema watu wenye IQ kubwa wapo vizuri kiuchumi na ukasema Uganda wapo juu kwenye IQ kuliko sisi. Swali kwako, uchumi wa Uganda na sisi Watanzania ni upi upo imara?

After 5 years Wakenya mtakuwa mnatupigia magoti trust me.

Kunao wananyimwa kimoja na kupewa kingine, Uganda walipewa ubongo wakanyimwa raslimali, nyie mumepewa raslimali ila ubongo mkanyimwa na pia ujamaa ukawalemaza kwenye uwezo wa kujituma, mkaishia kuwa wazembe na maskini wa kutupwa.
Sisi tulinyimwa raslimali ila tukapewa ubongo na bidii ya kujituma, pia inawezekana ukapewa ubongo lakini usijitume.
Hivyo sisi kwa raslimali chache ila tunazidi mataifa yote ukanda huu kwa kila kitu, uchumi, kijeshi, teknolojia n.k.
 
Tanzania Nchi yenye watu wenye watu wenye IQ ndogo.

One of the best universities viko Tanzania
For instance UDSM and UDOM.

Kenya ni nchi yenye uchumi mkubwa ukilinganisha na Tanzania.

Ila licha ya IQ yetu ndogo Tanzania ndio yenye matajiri wengi ukilinganisha na nchi zote Afrika Mashariki.

Licha ya IQ ndogo Tanzania ndio inaongoza katika uzalishaji na kilimo East Africa.

Kwenye Diplomasia Tanzania ndio number one kwenye nchi zenye amani East Africa.

Licha ya IQ yetu ndogo Tanzania ndo imeongoza kwenye invention and innovation kwa mwaka 2020 East Africa..
 
Your reply above cements your low IQ yenye tunasema hapa.Hata kweli hata kama we Ni kalaza namna gani unaona chenye umeandika kama Ni ukweli,Rudia tena kufanya research of the best universities in East Africa,Which country is the most innovative in East Africa?
Nakubaliana na unachosema sikatai neno..
Si chenye tunataka ni development tu kwa nchi na kwa individual lakini masuala ya IQ tuwaachie kina ninyi
 
Tanzania Nchi yenye watu wenye watu wenye IQ ndogo.

One of the best universities viko Tanzania
For instance UDSM and UDOM.

Kenya ni nchi yenye uchumi mkubwa ukilinganisha na Tanzania.

Ila licha ya IQ yetu ndogo Tanzania ndio yenye matajiri wengi ukilinganisha na nchi zote Afrika Mashariki.

Licha ya IQ ndogo Tanzania ndio inaongoza katika uzalishaji na kilimo East Africa.

Kwenye Diplomasia Tanzania ndio number one kwenye nchi zenye amani East Africa.

Licha ya IQ yetu ndogo Tanzania ndo imeongoza kwenye invention and innovation kwa mwaka 2020 East Africa..
This is now the low IQ that I was talking about. This is the list of the best universities in Africa. Ukipata hizo universities za kusomea uchawi mbele ya UoN, KU and JKUAT usikose kuniambia tafadhali.
Africa | Ranking Web of Universities: Webometrics ranks 30000 institutions
This is invention and innovation ranking in Africa. Actually the only thing a Tanzanian can invent ni ku-kula albino
Kenya ranked top tech hub in sub-Saharan Africa
 
Nakubaliana na unachosema sikatai neno..
Si chenye tunataka ni development tu kwa nchi na kwa individual lakini masuala ya IQ tuwaachie kina ninyi
Hata hiyo development bado mko nyuma ya Kenya, Ethiopia and Uganda.
 
Wazungu wanatuaminisha Afrika kuwa sisi ni wajinga.
Unajidai msomi kwa akili ya Mzungu
Nonsense
Hiyo Report kabla sijaisoma najua itakuwa ya wazungu.

Wanaanda report kisha wanazua mjadala baina ya Hao waafrika wanaojita intellects halafu wao wanapiga hela

Anything you do in Africa is termed as nonsense but Anything said by Whites is appreciated and valued...
Whites have known how to disrupt our minds and physcology
 
Wazungu wanatuaminisha Afrika kuwa sisi ni wajinga.
Unajidai msomi kwa akili ya Mzungu
Nonsense
Hiyo Report kabla sijaisoma najua itakuwa ya wazungu.

Wanaanda report kisha wanazua mjadala baina ya Hao waafrika wanaojita intellects halafu wao wanapiga hela

Anything you do in Africa is termed as nonsense but Anything said by Whites is appreciated and valued...
Whites have known how to disrupt our minds and physcology
Your reasoning is even below the 1%
2504222_IMG_20200901_023949_876.jpg
 
Okay smart kunyaland citizens [emoji23][emoji23]

I see you are chasing away your scum representatives. ....How barbaric!!! Mje huku kujifunza siasa

 
Okay smart kunyaland citizens [emoji23][emoji23]

I see you are chasing away your scum representatives. ....How barbaric!!! Mje huku kujifunza siasa


Siasa ya kupiga wapinzani risasi ama?
 
wachana na hizi mbuzi zipandane hapa, watakushusha kwenye ujinga wao kisha wakuonee kwa uzoefu wao.
Yeah bro
Ndio maana duniani siku zote wenye uelewa watabaki wachache kwasababu huwa hawapendi kubishana na endapo hutawaelewa hunyamaza[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kunao wananyimwa kimoja na kupewa kingine, Uganda walipewa ubongo wakanyimwa raslimali, nyie mumepewa raslimali ila ubongo mkanyimwa na pia ujamaa ukawalemaza kwenye uwezo wa kujituma, mkaishia kuwa wazembe na maskini wa kutupwa.
Sisi tulinyimwa raslimali ila tukapewa ubongo na bidii ya kujituma, pia inawezekana ukapewa ubongo lakini usijitume.
Hivyo sisi kwa raslimali chache ila tunazidi mataifa yote ukanda huu kwa kila kitu, uchumi, kijeshi, teknolojia n.k.

Ni raslimali gani milizonyimwa ambazo sisi Watanzania tunawazidi? Na unajua kama kuna baadhi ya mambo huko kwenu mnafanya ila huku Tanzania ni illegal?
 
Back
Top Bottom